x shem unajua kunipa raha.
Ila shem lol sio kwa kumwacha shoga angu hivyo.
Ina maana hutaki ata mchepuko? Ngoja nivae dela yaani leo ni kukata mauno kama vile nakufa kesho
wax anatumia defencive mechanism tu, hapo kwani we hujui nani kaachwa? He never was so walaaa hawezi kunipa talaka, acha afanye sherehe nikaserebuke nitumie pesa zake za mwisho miwisho nikanywe st.ana za kutosha niongeze genye nikirudi home ni kugaragazana na manga wangu mpaka kunakucha.
Bahati nzuri sijawahi kuachwa shogaa!! Yaani tiktak niichezayo ni matata, nawaacha wajifariji tu na bao la mkono, ila nafsi zao zinakuwa zinajua nani kaachwa, huoni hawaishi kunifuata fuata km nzi wa machinjioni!!
Ila Manga ML ndio ukomo wangu, yaani kwake ndio duuuh sijui niseme nini, ila i love this guy alot, hapa hakuna kuachwa wala kuachana.
Chezea mimi wewe! Kabaki ngozi tu, ila ajitahidi hata akakope tu ili party iwe ya nguvu, alafu kiwatengu kuna kipengele cha msingi nimekikumbuka nataka uki-include kwenye talaka hebu tuwasiliane.
Chezea mimi wewe! Kabaki ngozi tu, ila ajitahidi hata akakope tu ili party iwe ya nguvu, alafu kiwatengu kuna kipengele cha msingi nimekikumbuka nataka uki-include kwenye talaka hebu tuwasiliane.
Ntahakikisha huandikishwi BVR ya kiwatengu.....hupo sipo naanzaje kwa mfano? Huyu cute b nimehisi anaeza kuwa na msaada mkubwa. Hebu fanya namna nimekumisa sana bana