Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Mapenzi ya maigizo siyataki kuanzia leo, kumbe unamchepuko Mkuu kiwatengu njoooo huku ushuhudie ninavyo toa talaka mashahidi ni cute b, WARREN T kibo 10 kimario chakula, vinywaji na muzik utakuwepo nawakarbisha sana

Woyoooo kumbe kuna msosiii na vinywaji..
Toa talaka mkuu.
Ila nilikuambiaga mwanzo hukusikiaaa
 
Last edited by a moderator:
Kuachwa kubaya,am thank God am safe!....Hiyo tabia yako ya kuacha watu siyo nzuri,inaumiza watu sana,ukishachagua mmoja kaa nae huyohuyo acha kuchepuka wewe mwanamke!!!

Duuuuh! Leo unaongea hadi kiinglish!! Am say, am ze waifu ofu my hazband.

Nilichepuka wapi? Lini? Na nani? Ulinishikia mguu? Acha majungu dogo, niko na kipenzi cha moyo wangu,laazizi,usinhizi wangu,the one and only Manga ML pekee.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaaa mkeo kapewa talaka na mchepuko lol kweli maombi yako ya maca yamefanya kazi

Tangu lini uliona mchepuko anapewa talaka!! Am wandaz kwakweli, na ni lini kwanza alikuwa mchepuko mayb!! Mie ni Manga ML tuuu, yaani hapa sisikii wala siambiwi.
 
Last edited by a moderator:
Duuuuh! Leo inaongea hadi kiinglish!! Nilichepuka wapi? Lini? Na nani? Ulinishikia mguu? Acha majungu dogo, niko na kipenzi cha moyo wangu,laazizi,usinhizi wangu,the one and only Manga ML pekee.

Mpaka sasa hivi umewaacha wanaume tisa,huyu ulie nae sasa hivi ni wa kumi na amekuja kwako kichwa kichwa kwani hana data yeyote kuhusu wewe,yaani namwonea huruma!!....Mwanamke gani kazi ni kuchepuka kutwa nzima!!
 
Last edited by a moderator:
We chekaaaaa ukimaliza sisi bado twapendana

Oooooh unafanya moyo udunde mara 10 kwa sekunde mume wangu, yaani kwako mie nyang'anyang'aaaa Kiba kasingiziwa.
Cc cute b
 
Last edited by a moderator:
Mpaka sasa hivi umewaacha wanaume tisa,huyu ulie nae sasa hivi ni wa kumi na amekuja kwako kichwa kichwa kwani hana data yeyote kuhusu wewe,yaani namwonea huruma!!....Mwanamke gani kazi ni kuchepuka kutwa nzima!!

Acha niwe wa mia mkuu sibanduki mpka amue
 
Mpaka sasa hivi umewaacha wanaume tisa,huyu ulie nae sasa hivi ni wa kumi na amekuja kwako kichwa kichwa kwani hana data yeyote kuhusu wewe,yaani namwonea huruma!!....Mwanamke gani kazi ni kuchepuka kutwa nzima!!

Hata wangekuwa mia, ila wht mataz ni kuwa Manga ML ndio wa mwisho, yaani nimefika kabisaaa, huyu ndio nilikuwa nahangaika kumtafuta na tumetoka mbali mnooo, usidhani ni wa leo huyu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom