wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,940
- 5,746
Hamna tulikuwa tumekumiss tu ndio tukakuita
Acha wamng'ate
Mmmmh!! Unamvuaga hivyohivyo alafu unamvalsha tena.
Simvalishi tena sijapenda tabia yake
Hamna tulikuwa tumekumiss tu ndio tukakuita
Acha wamng'ate
Mmmmh!! Unamvuaga hivyohivyo alafu unamvalsha tena.
Mkuu naona mnatikisa mzinga wa nyuki Mchana tena jua linawaka
Baby alafu ukiwa jela mie nabaki na nani?
Duh!!!....mkuu umefufuka tena????Mimi nilikuwa nimeshafurahi kwani nilifikiri umepotea kama ile ndege ya Malasia!!
Baby siwez kwenda Jela namuotesha busha tuu apambane nalo tuu
Uko huru!! Kuwa tu...
Good man
oh!! shemeji nifah? mambo vipi lakini?
sijawahi kuwa na nia wala mtazamo wowote mbaya juu yako.
Ninachokisema ni kweli kabisa..
listen, we ni mzuri na unahitaji mtu makini..
mwenye uwezo mzuri kusimama whenever ur in need..
Physical and spiritual....
I declare that Mr. Capt Nemo is fit for you..
Hajakutokea PM he came out on public, hii inadhibitisha ur the only one he needs..
huyo mdukuzi mpe free time yakuwadukuwa wengine.
Mimi maombi/sala zangu kwa mungu apotee moja kwa moja kama ile ndege ya Malasia ili nipate chance mimi!!
unatongoza ama unasaidiwa mnakuwa couple!!
na kama yeye hanitaki .anataka mwingine itakua je?
Nawapenda wadada fulani wachangiaji mahiri ,ukweli sijawahi kusoma kama wamechangia matusi katika majukwa .Nawapongeza waume zao