Jina lako ngumu aisee!!
Unaweza usitongozeke kweli...
Nipe Go on!! Leo nataka kufanya amendment ya huu uzi..nimtoe uran kwenye jina lako?
Ooh yes u can du that... Weka njia kuu yangu Nyani Ngabu hapo...
duh..hii ni mistari ama?
Mie nilipigwa na booonge la butwaa baada ya kusikia umeanza michepuko mapema yote hii!! kiwatengu akaniambia ushajimuvuzisha kwa mitara
Si alikula dau sasa akishindwa kazi inabidi arudishe hivyo inabidi apambane tu