Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Acha uongo wewe, si ulikwenda kulewea advance ulopewa hata kazi hufanyi!! Usilete balaa we kazi huiwezi so tulia tujipetipeti sie.

ushapima unguli wangu eeh!! kazi naiweza 101%``
na play na kona zako ipasavyo..
Mkuu wax fungua macho sense!! ona kaka!!!
 
Last edited by a moderator:
Haina shida Mkuu kikubwa evidence tuu

evidence ya kwanza!! si unaona jinsi mkeo ananikataa kwa nguvu zote nisimsimamie mimi?
anajua shughuli yangu..
mguu kwa jicho...
kona kwa mnyooko.. ki idara niko vyema.
 
Inaniuma sana hii thread inaitwa mtongozano ila nashangaa sisi wakaka tu ndo tunawatongoza wadada ila wadada hawatutongozi sisi wakaka,wadada badilikeni jamani anzeni kututongoza na sisi wakaka!!.....khaa kila siku sisi tuwatongoze tu ninyi???,siyo haki kabisa yaani!!
 
Inaniuma sana hii thread inaitwa mtongozano ila nashangaa wakaka tu ndo wanatongoza wadada ila wadada hawatongozi wakaka,wadada badilikeni jamani anzeni kututongoza na sisi wakaka!!.....khaa kila siku sisi tuwangoze tu ninyi???,siyo haki kabisa yaani!!

biblicaly this is okay!!
 
Inaniuma sana hii thread inaitwa mtongozano ila nashangaa sisi wakaka tu ndo tunawatongoza wadada ila wadada hawatutongozi sisi wakaka,wadada badilikeni jamani anzeni kututongoza na sisi wakaka!!.....khaa kila siku sisi tuwatongoze tu ninyi???,siyo haki kabisa yaani!!

Ukiona hivyo ujue huna vigezo vya kutongozwa.
 
Ukiona hivyo ujue huna vigezo vya kutongozwa.

Looooh!!.....mbona vigezo vyote ninavyo jamani!....kama ni dushe ninalo size ya kutosha kiasi kwamba linakaribia la popobawa,kama ni kupeti peti basi mimi ndo mwalimu e.t.c!.....au nimekosa nini????....au wadada hawapendi hii tabia yangu ya kumendea mashemeji zangu????
 
Back
Top Bottom