Hovyoooooo
Inavyoonekana hana habari kama kuna watu udenda unatutoka kwa kumtaka mtoto!
Inavyoonekana hana habari kama kuna watu udenda unatutoka kwa kumtaka mtoto!
Sidhani kama analijua hilo, ngoja aje afanyiwe mpokonyo ndio atajifunza
Mama weee, shemeji kakabidhi kuwadi mke...kifuatacho hakuna maswali.
Mama weee, shemeji kakabidhi kuwadi mke...kifuatacho hakuna maswali.
Mimi maombi/sala zangu kwa mungu apotee moja kwa moja kama ile ndege ya Malasia ili nipate chance mimi!!
Nin tena kimetokea hapa mbona mnataka nilete ugomvi baby ebu niambie
Mkuu naona mnatikisa mzinga wa nyuki Mchana tena jua linawaka
Kuanzia leo natangaza rasm nmemvua kiwatengu madaraka ya ulinz nmeamua kua mlinzi mwenyewe haya!! Baby kuanzia sasa mm ni mlinzi Ondoa shaka
Sidhani kama analijua hilo, ngoja aje afanyiwe mpokonyo ndio atajifunza
Mimi maombi/sala zangu kwa mungu apotee moja kwa moja kama ile ndege ya Malasia ili nipate chance mimi!!
Nikiona mtu ananipokonya mke namfuta kwenye uso wa dunia