Mzee_2015
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 255
- 58
mfano nani na nani? ishu sio wanachochangia bana..
kama umevuta walete hapa, uanze na mmoja mmoja...
sawa ntawaleta nkipata ridhaa zao.ila nawapenda
mfano nani na nani? ishu sio wanachochangia bana..
kama umevuta walete hapa, uanze na mmoja mmoja...
Naona huyu mumeo hakupendi!!
We shindwa! Ananipenda mnoo! Now kaamua kuwa mlinzi mwenyewe, tangu lini kuwadi akawa mlinzi wa mke wa mtu!!
samahani lakini hivi hili neno kuwadi lina maana gani? nimewasikia muda mrefu mkiniita hivyo, siwaelewi
BTW I'm not handsome that much!!
kwani maana yake ni nini?
Man with alot of money? ohh!! i don't have that much...
We shindwa! Ananipenda mnoo! Now kaamua kuwa mlinzi mwenyewe, tangu lini kuwadi akawa mlinzi wa mke wa mtu!!
Nasema na alegee huyo, mambo my dear
mkuu tatizo lako huwa unafanya maamuzi sehemu za hatari na bado unakosea..
listen unamtaka huyu mkeo aendelee kuwa mkeo?
Poa dear, umeshindaje?
aisee what u don't know is what will cost you!!
nikikupa hints chache tu, na njia nilizoweza kuzibiti kwa mkeo for this few days..
utaniongeza mshahara mara 3.
aisee what u don't know is what will cost you!!
nikikupa hints chache tu, na njia nilizoweza kuzibiti kwa mkeo for this few days..
utaniongeza mshahara mara 3.
Nipo vzr mpenzi wangu nmekumic tuu my dear