kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,239
- 17,677
- Thread starter
- #7,321
Last edited by a moderator:
teh teh teh...
mwambie tena Nyani Ngabu ni mshikaji wako.
hata 'Valentina' mmesoma nae..
lazma akaeb
!!!
kwe kwe kwe kwe!!!
nilikuwa nampa jamaa ujanja wakupata demu hapa..
kwe kwe kwe kwe!!!
nilikuwa nampa jamaa ujanja wakupata demu hapa..
ye mwenyewe yuko vizuri tu..
poa bro..
ni mrembo basi!!
Ssshh tunabiringishana na Ngabu wangu sahizi...
Teh teh...naomba niwe refrii
He hee njoo kama sebene utaliweza
Nataka nikopi maufundi
cute b pita hapa unipe hi mtoto mzur..halafu ikiwezekana tuliunge mimi na wewe
Wewe mwanaume unafanya nini huku saa hivi? Hebu turudi tukalale
chaguo ni lako, mi natoa assistance pale inapobidi tu!!