Mkuu nan huyo tena?? Nipo hai bado cjafa bwn anataka kuridhi hiyo kitu ctaruhusu kabsaa
Kama nani hivi maana sijaonekana muda humu ndani.karibu, kuna unaetaka kumshushia vocal?
ha ha ha ha... we jamaa mkali sana aisee!!
nakupa offer ya vocals..
chagua yeyote kwa jina langu nitakupatia.
Dear sasa inabidi ni mrudishe mlinzi huu mchezo cjaupenda ngoja yaan unaninyima nisichepuke kumbe ww unatafuta mchepuko ngoja niite mlinzi Mkuu kiwatengu njoooo huku sasa nakurudisha kazini rasm na mshahara nakupandishia
Sasa mkuu mimi sijui hata kutag,hebu naomba kwanza nipe maujanja ya kutag halafu ndo nianze mambo,kwani kuna mtoto mmoja humu ambae huwa namzimia sana,juzijuzi niligongana nae kwenye thread fulani hivi yaani ilikuwa ni shidaaaa!!
Tokea mnisimamishe kazi, mengi yatatokea!! nawaambia
Mimi mkuu nilifikiri hizo ni scientific methods and methodology za kuanzia!!
pandisha dau fastaa..huyu njiwa anaruka ukimtizama...
pangusa udenda shusha maneno!!
Baby hujalala tu? Si umeniaga unakwenda kulala? Huku tena umefuata nini lkn?