Kumbe haya mafataki yanayolipuka ovyo yananitia tumbo joto bure? Ok, mm nataka tuwe kama moyo na mawashiwashi.
Machale yamenicheza kama naibiwa na ucngz umekata kabsaa bby unatakuniua na presha dear
Ndio hata mie namshangaa!
Mkuu utaandikiwa kesi ya mauaji.
Unda tuu Mkuu wadau wengi hapa jukwaani wanalijua hilo
Kwahiyo nawe ukakubali kutiwa tumbo joto? Mwanaume haogopi bwana.
Mkuu na mpenda sana mke wangu atoto na huwa ananiridhisha cnahaja ya kutafuta mchepuko ananifanya nawahi home mapema coz nataman kumuona kila wakat
Uuuuuwwwwiiii baby umenisaliti !!!!! mkuu kiwatengu ebu njoooo huku umckie huyu bebie
Sory mkuu ni makosa ya kiufundi!
Aisee umejuaje? Thats my blood group for sure.