Kenge (Eng)
JF-Expert Member
- Dec 7, 2006
- 543
- 162
Hivi Jaka Mwambi na Jakay Mwabi ni majina mawili tofauti?
CMB
God bless you...kazi nzuri na nzito sana hii. Well done
asante sana CMB kwa kutupatia habari moja kwa moja kama zilivyojiri.
suala
ccm inategemea kupata faida gani kwa kuwachagua kama kina khadija kopa?
Jamani kwenye kundi la bara hakuna mwanamama hata mmoja...heri ya kundi la Zanzibar walau kuna wadada wachache...
Ni jina limekosea linatakiwa liandike Jaka MwambiHivi Jaka Mwambi na Jakay Mwabi ni majina mawili tofauti?
YES.ndio mkuu
Jamani kwenye kundi la bara hakuna mwanamama hata mmoja...heri ya kundi la Zanzibar walau kuna wadada wachache...
Aibu tupu! Pamoja na kujiaibisha kote kule lakini wamegungulika kuwa wao ni wachumia tumbo tuu. Kama kifo cha mende vile !Mnataka kuniambia Tambwe na Ngawaiya wametupwa nje?
Huyu ana uhusiano wowote na Wilbroad Slaa?Jerry William Slaa
Huyu ana uhusiano wowote na Wilbroad Slaa?
Huyu ana uhusiano wowote na Wilbroad Slaa?