Live: Kizota Dodoma

Live: Kizota Dodoma

  • Thread starter Thread starter MegaPyne
  • Start date Start date
Kudi la watu 20 kutoka Zanzibar.

Mohamed Shein
Shams Vuai Naotha
Husein Ali Mwinyi
Mohamed Bilali
Sale Feruzi
Muhamed Khatibu
Samia Hassan
Kidawa Sale
Salim Msabaha
Hadija Abood
Mansuru Hemed
Omari Yusufu Mzee
Balozi Seif Iddi
Mohamed Moyo
Modilin Sirus
Prof. Makambe Mnyaa
Vuai Ali Vuai
Brig. Adam Mwakanjuki
Edinton Kisasi
Shau Abdala Hamisi



NOTE: Majina menngine nimekosea kuspell!

Zanzibar wana wawakilishi wengi kuliko hata bara, hivi CCM walitumia vigezo vya namna gani kwa uwakilishi wa wanachama walio Zanzibar ambao hawazidi hata laki tano?
 
Jumptv nao wajinga, wamekata matangazo wakati kundi la vigogo linaanza
 
20 BORA KWA KUNDI LA CCM BARA

Edward Lowassa
Makamba
Andrey Chenge
Bernand Membe
Jaka Mwambi
Kapuya
Kinana
Kachuma
Wassira
Jakay Mwabi
Makongoro Mahanga
Sumaye
Katp. Komba
Kingunge
Lukuvi
Chiligati
Amos Makala
Samweli Wangwe
Mwakusya
Jackson Msome

NOTE; Spelling za majina mengine nimekosea
 
Zanzibar wana wawakilishi wengi kuliko hata bara, hivi CCM walitumia vigezo vya namna gani kwa uwakilishi wa wanachama walio Zanzibar ambao hawazidi hata laki tano?

Madai ya kudumisha muungano....uchizi huo
 
Kama uroho wao walidhani sisiem ni mteremko ambapo ukipayuka umepata wameliwa. Mzee Siguyamisi mara nyingi amekaririwa akisema sisiem ina wenyewe!!!!

sio chama cha waja leo wapata leo.
 
namuonea huruma dada shy ...anastahili kupata amejaribu muda mrefu sana...tunamuombea mungu inshaalah...rais atamkumbuka kwenye kapu lake la wajumbe 10 wa kuteuliwa....niliona hata yeye alipatwa butwaa kidogo pale...

shy asikate tamaaa.
 
Je, mwanachama mwenzetu hapa JF, Mhe Fikiraduni naye yumo??

Pole mzee naona alirudi Dar kabla ya matokeo. Atakuja kuweka mambo sawa hapa. Lakini alisema lazima ashinde cha kustaabisha imekuwaje arudi Dar kabla ya matokeo au ni danganya toto tu wakati wote alikuwa anachungulia TV?

Hii ndiyo mikingamo ya CCM. Hakuna jipya ni maluelue tu.
 
20 BORA KWA KUNDI LA CCM BARA

Edward Lowassa
Makamba
Andrey Chenge
Bernand Membe
Jaka Mwambi
Kapuya
Kinana
Kachuma
Wassira
Jakay Mwabi
Makongoro Mahanga
Sumaye
Katp. Komba
Kingunge
Lukuvi
Chiligati
Amos Makala
Samweli Wangwe
Mwakusya
Jackson Msome

NOTE; Spelling za majina mengine nimekosea

..na mengine umekosea,haijalishi sana!kanyaga twende!tunataka news!
 
Jambo forum ni mtandao wa hali ya juu naupenda sana,hongereni wote mliochukua muda wenu katika kutuletea kila kilichojiri hapo ddm,keep it up guys
 
naona sumaye kapata kura za kawaida tu ..amepitwa hadi na bwana mdogo ..makongoro mahanga..
 
JK amepita kama Mwenyekiti.

Lakini kura 5 hapana na 1987 ndio. Karume na Msekwa wamepita pia!
 
Sasa ni TOT kwa kwenda mbele, Capt, Kopa na Mzee Yusuph.

Ajumbe wamepagawa nini?
 
namuonea huruma dada shy ...anastahili kupata amejaribu muda mrefu sana...tunamuombea mungu inshaalah...rais atamkumbuka kwenye kapu lake la wajumbe 10 wa kuteuliwa....niliona hata yeye alipatwa butwaa kidogo pale...

shy asikate tamaaa.

This lady is very talented and I dont see how she can fit in CCM. If she wants to really exploit her political potential she should join CHADEMA with immediate effect. Otherwise, hers will be a wasted potential and opportunity. So long as she maintains her straightforwardeness, meritocracy, soberness and an ethical conduct, she should forget about getting leadership in CCM. These attributes are just anti-CCM. I really feel sorry for her and others who think that CCM is the only avenue through which to exploit one's political potential!
 
Final Version!

20 BORA KWA KUNDI LA CCM BARA

Edward Lowassa
Makamba
Andrew Chenge
Bernand Membe
Jaka Mwambi
Kapuya
Kinana
Kachuma
Wassira
Jaka Mwambi
Makongoro Mahanga
Sumaye
Katp. Komba
Kingunge
Lukuvi
Chiligati
Amos Makala
Samwel Wangwe
Mwakuysa
Jackson Msome


Kudi la watu 20 kutoka Zanzibar.

Mohamed Shein
Shams Vuai Naotha
Hussein Ali Mwinyi
Mohamed Bilali
Sale Feruzi
Muhamed Khatibu
Samia Hassan
Kidawa Sale
Salim Msabaha
Hadija Abood
Mansuru Hemed
Omari Yusufu Mzee
Balozi Seif Iddi
Mohamed Moyo
Modilin Sirus
Prof. Makambe Mnyaa
Vuai Ali Vuai
Brig. Adam Mwakanjuki
Edinton Kisasi
Shau Abdala Hamisi

Hawa ni Kundi la Wazazi Bara NEC CCM

Stela manyanya
Zainab Gama
Musa Assan zungu
Adam Malima
Muhamed Nondo
Richard Said Nyaulawa

Washindi kwa wanawake. CCM BARA


Sofia simba
Kate Silvia Kikamba
Asha baraka
Hadija Omari Kopa
Samsha Mwagunga
Rehema Nchimbi
Anna Malecela
Aisha Kidoga
Diana mkumba Chilolo
Anna Semamba Makinda
Pinde Chanda
Zakia Megji
Magret Sita


Washindi NEC Vijana. CCM BARA

Lucy Mahenga
Zainab Mfaume Kawawa
Violet Mzindakaya
Nape Moses
Jerry William Slaa
Sara Msfari Ali
Seleman Chambi
Benard Malisa
Edwin Sanda


NOTE; Spelling za majina mengine nimekosea
 
asante sana CMB kwa kutupatia habari moja kwa moja kama zilivyojiri.

suala
ccm inategemea kupata faida gani kwa kuwachagua kama kina khadija kopa?
 
Final Version!

20 BORA KWA KUNDI LA CCM BARA

Edward Lowassa
Makamba
Andrey Chenge
Bernand Membe
Jaka Mwambi
Kapuya
Kinana
Kachuma
Wassira
Jakay Mwabi
Makongoro Mahanga
Sumaye
Katp. Komba
Kingunge
Lukuvi
Chiligati
Amos Makala
Samweli Wangwe
Mwakusya
Jackson Msome

Jamani kwenye kundi la bara hakuna mwanamama hata mmoja...heri ya kundi la Zanzibar walau kuna wadada wachache...
 
Back
Top Bottom