FD
Heshima mkuu. tunasubiri habari kutoka kwako tuanze kukupa hongera, nadhani mambo hayatakuwa mabaya, tunakuombea
Mambo nasema si shwari hapa .
lunyungu,
mambo si shwari kivipi? hebu tufafanulie
na kura kwani si lazima zitangazwe? zitatangazwa tu .....wewe vuta subira.
Trekta tumeambiwa lenyewe lilikuwa linapita kila sehemu, kwenye matope, maji, hata kwenye miiba.
you got that right!!!!!!!!!!!Majuma, Fatma Said Ally, Amin Maburuki, xxx Dau, Asha Bakari Makame