Live: Kizota Dodoma

Live: Kizota Dodoma

  • Thread starter Thread starter MegaPyne
  • Start date Start date
Mkutano umekwisha. Matokeo mpaka kesho saa tano.
Kuhusu wabunge, spiika kasema kipindi cha maswali na majibu kitaanza saa tatu na kusitishwa saa nne nna nusu. Saa tano mkutano wa CCM utaanza. Watakaokuwa wanakwenda kwa treni itaondoka saa kumi badala ya saa saba. alafu bunge litaendelea tena saa kumi na moja. Thats it for 2day

Wanaotaka kwenda kulala wakalale tuu, matokeo ni mpaka Keshoooooooooooooooooo.
 
Mkutano umekwisha. Matokeo mpaka kesho saa tano.
Kuhusu wabunge, spiika kasema kipindi cha maswali na majibu kitaanza saa tatu na kusitishwa saa nne nna nusu. Saa tano mkutano wa CCM utaanza. Watakaokuwa wanakwenda kwa treni itaondoka saa kumi badala ya saa saba. alafu bunge litaendelea tena saa kumi na moja. Thats it for 2day

Wanaotaka kwenda kulala wakalale tuu, matokeo ni mpaka Keshoooooooooooooooooo.

utabiri wa
Kitila umetimia breaking news feki, in fact they are broken news. Mnaangalia TVT alafu mnasema mnasema mna mjumbe ndani ya kamati ya uchaguzi .. bure kabisa.
 
Mkutano umekwisha. Matokeo mpaka kesho saa tano.
Kuhusu wabunge, spiika kasema kipindi cha maswali na majibu kitaanza saa tatu na kusitishwa saa nne nna nusu. Saa tano mkutano wa CCM utaanza. Watakaokuwa wanakwenda kwa treni itaondoka saa kumi badala ya saa saba. alafu bunge litaendelea tena saa kumi na moja. Thats it for 2day

Wanaotaka kwenda kulala wakalale tuu, matokeo ni mpaka Keshoooooooooooooooooo.

baab kubwa ! umejitahidi sana mkuu kuanzia mwanzo hadi hapa !
 
Kwa vile posting nyingi katika mjadala huu zimekuwa za Kada pekee (in large measure), ngoja tumuunge mkono kwa kufikiri vya kufikirika.

What if, katika maigizo haya ya domokrasia huko Kizoto; atokee mtu (fisadi hasa, big time), mwenye mapesa ya kutupa tu.

Huyo mtu apite kwa wajumbe wa mkutano mkuu usiku huu akimwaga greenbucks za Kichaka Bush - $1000 kila mjumbe atakayekubali kupiga kura ya "HAPANA" kwa Mwenyekiti asichaguliwe kuendelea na wadhifa huo.

Kama tunavyojua uchu na uchoyo wa wajumbe wa chama siku hizi - hebu fikiria kizaazaa hicho.

Tungempa kazi hiyo ya kwenda kugawa hicho kifurushi Kada......mmmmh; hataiweza kazi hiyo. Tumpe nani yule......? Pendekezo la Kada linaeleweka; tunamwomba asitutajie.
 
Hivi jamani, ni kwa nini matokeo hayakutoka leo mbele ya wajumbe? Kwa nini yaahirishwe mpaka kesho? Sitta ndio msimamizi wa kuhesabu kura ni sa ngapi watamaliza kuhesabu kisha alivae joho lake kutoka Uingereza kuanza kikao?

Huu ndio mwanzo wa dhuluma na uhujumu katika mfumo wa kupiga kura Tanzania.
 
Bunge la Muungano wa Tanzania linabadilishiwa muda, ili kupisha mkutano wa CCM, now talk about getting our priorities twisted..
 
Hivi jamani, ni kwa nini matokeo hayakutoka leo mbele ya wajumbe? Kwa nini yaahirishwe mpaka kesho? Sitta ndio msimamizi wa kuhesabu kura ni sa ngapi watamaliza kuhesabu kisha alivae joho lake kutoka Uingereza kuanza kikao?

Huu ndio mwanzo wa dhuluma na uhujumu katika mfumo wa kupiga kura Tanzania.

Hilo ni goli la Arsenal katika dakika za majeruhi, hivi hukuona wajumbe jinsi walivyofungwa?
 
Hivi jamani, ni kwa nini matokeo hayakutoka leo mbele ya wajumbe? Kwa nini yaahirishwe mpaka kesho? Sitta ndio msimamizi wa kuhesabu kura ni sa ngapi watamaliza kuhesabu kisha alivae joho lake kutoka Uingereza kuanza kikao?

Huu ndio mwanzo wa dhuluma na uhujumu katika mfumo wa kupiga kura Tanzania.

Chama kinachojiita ni cha KIDEMOKRASI kumbe kimejaa upupu mtupu! watu walidhani kutakuwa na uchaguzi wa kweli wa nafasi za makamu wa mwenyekiti, katibu mkuu na wajumbe wa NEC kumbe zilikuwa ni hadithi za alinacha. Usiku huu wizi na ujambazi utashamiri ili kuhakikisha wale wanaochaguliwa ni wale wanaoungwa mkono na MTANDAO!

Itakuwa patashika nguo kuchanika pale wale watakaoshindwa watakayakataa kata kata matokeo yaliyojaa wizi na ujambazi.
 
Kwa vile posting nyingi katika mjadala huu zimekuwa za Kada pekee (in large measure), ngoja tumuunge mkono kwa kufikiri vya kufikirika.

What if, katika maigizo haya ya domokrasia huko Kizoto; atokee mtu (fisadi hasa, big time), mwenye mapesa ya kutupa tu.

Huyo mtu apite kwa wajumbe wa mkutano mkuu usiku huu akimwaga greenbucks za Kichaka Bush - $1000 kila mjumbe atakayekubali kupiga kura ya "HAPANA" kwa Mwenyekiti asichaguliwe kuendelea na wadhifa huo.

Kama tunavyojua uchu na uchoyo wa wajumbe wa chama siku hizi - hebu fikiria kizaazaa hicho.

Tungempa kazi hiyo ya kwenda kugawa hicho kifurushi Kada......mmmmh; hataiweza kazi hiyo. Tumpe nani yule......? Pendekezo la Kada linaeleweka; tunamwomba asitutajie.

Babu usijali, kifurushi kitafika, hakitafunguliwa hata kidogo na kama ukiona damaged on delivery basi ajali !
 
Bunge la Muungano wa Tanzania linabadilishiwa muda, ili kupisha mkutano wa CCM, now talk about getting our priorities twisted..

wee si unakula, unavaa, unalala, tatizo lako nini ? na najua shule husomi, medical unalipa mwenyewe tena na kodi unawapa hao wa detroit ! talking about priorities + taxes !


LOL !
 
Hivi jamani, ni kwa nini matokeo hayakutoka leo mbele ya wajumbe? Kwa nini yaahirishwe mpaka kesho? Sitta ndio msimamizi wa kuhesabu kura ni sa ngapi watamaliza kuhesabu kisha alivae joho lake kutoka Uingereza kuanza kikao?

Huu ndio mwanzo wa dhuluma na uhujumu katika mfumo wa kupiga kura Tanzania.

wengine mbona tushajua matokeo !
Mnagula yumo, Msabaha(wa ZNZ) yumo na wengine siweze kuwataja !
 
Bunge la Muungano wa Tanzania linabadilishiwa muda, ili kupisha mkutano wa CCM, now talk about getting our priorities twisted..

Ktk mara kadha wa kadha, ambazo ni chache ninazokubaliana nawe hii ni moja wapo. Translation hapo ni kuwa CCM is Bigger than Serikali ya Dar, which is sad to know, but eazy to find out!!!..........lakini mie najifariji NE Pats wamechukua big win against Colts!. Holla, next stop kwenye Conference finals!!. Li-Tanzania hilo, kazi ipo kweli kweli.
 
Ktk mara kadha wa kadha, ambazo ni chache ninazokubaliana nawe hii ni moja wapo. Translation hapo ni kuwa CCM is Bigger than Serikali ya Dar, which is sad to know, but eazy to find out!!!..........lakini mie najifariji NE Pats wamechukua big win against Colts!. Holla, next stop kwenye Conference finals!!. Li-Tanzania hilo, kazi ipo kweli kweli.

Haya Hongera kwa ushindi sasa angalia Amazing Race. Mkutano huu ulikuwa ni nafasi nzuri ya CCM kujisafisha, lakini kujisafisha wakati umekumbatia wala rushwa , mafisadi, viongozi waroho wa utajiri na wasiojali maslahi ya nchi yao si kitu kidogo. Machoni mwa Watanzania CCM haina credibility tena kimekuwa ni chama cha matajiri wachache.
 
Bubu,
tupo pamoja ndugu yangu, lakini kwa kupitia hapa JF naona kazi ni kubwa na ngumu mno.....kiasi kwamba mtu unaweza ku-quit, ndio maana mie nikawa najiangalizia zangu football huku nakata "import."!!!......sipendi amazing race, bora niangalie 60 minutes sunday ingawa imebadilika toka yule mzee mnugu mwenye kipuli avute(somebody Bradley). Haya ndugu yangu na wengine pia kila la heri, ma-monday hayo Magharibi ya mbali!!!!. Eazy.
 
Kwa mujibu wa chanzo changu, saa nane ya usiku wa kuamkia leo mgombea uenyekiti ( Kikwete) na wagombea umakamu wake wawili walitoka nje ya ukumbi na mkutano ukaongozwa na Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi. Mgombea uenyekiti na wenzake waliombewa kura. Kura zikapigwa kwa pamoja ( wote watatu) ili kuokoa muda. Baaada ya hapo mwenyekiti wa muda aliahirisha mkutano hadi saa tano asubuhi hii ya leo ambapo matokeo yatatangazwa rasmi. Kuna kila dalili kuwa Mzee Makamba atanusurika kwa kupigiwa kura za itifaki na pengine za huruma kwa vile aliweza kutumia kipaji chake cha kuzungumza kuwashawishi wajumbe wamsamehe kwa yote mabaya na kuwa wamuhukumu kwa mema aliyokitendea chama. Kuna dalili pia kuwa huenda Shy-Rose Bhanji anaweza kutoka hai kwenye "kundi la kifo" kwa jinsi alivyomudu kujieleza kwa ufasaha. Na tusubiri tuone. Kwa habari zaidi katika picha, tembelea; http://mjengwa.blogspot.com
 
cheo kitamu, watu wamejitetea kama wapo mahakama kuu!

tusubiri matokeo tuone
 
Kama ningekuwa mwanaCCM, na mjumbe wa Mkutano Mkuu, wa Kwanza kumwonea huruma angekuwa dada Shy-Rose, nadhani anakipenda chama sana, kwa muda mfupi niliomjua nimesikia akigombea sehemu nyingi sana na akawa anapigwa chini...
 
Back
Top Bottom