Hao wakimbizi hawatambuliki popoteSasa kwa nini hao wakimbizi wenu wamewadanganyeni?
Gaddafi alikuwa AKILI KUBWAKuna mkutano mmoja wa UN, Gaddafi aligoma kulala hotelini, yeye na msafara wake uliweka mahema nje. Alikodi na mobile toilets.
Lete huwo ushahidi kwa sababu wewe ndiye uliyesema.Mwambie Lema, jamani ndiyo alisema kuwa wamefanya kila kitu huko nje kuzuia Rais Samia asiende Mareakani kwenye mkutano, mimi ndiyo nauliza mbona anaenda, sasa mimi kosa langu lipi hapo?
Takbiiiir!Nilishakuambia siku nyingi ulivyokuja DM dini yangu inakataza kuzoeana na mashoga pia huu mchezo ni laana, najua hizi zote ni hasira.
Wanaukumbi.
Lema na Lissu, pamoja wafuasi wa Chadema kwenye Space kule Twitter mlituambia kuwa Rais Sania hawezi kuruhusiwa kwenda Marekani mmeshawambia maitafa ya Ulaya na na Marekani kuwa Rais Samia, hafai kuongoza Tanzania hamna demokrasia na wamekubali kuwa hawawezi kumruhusu.
Kulikoni tena kesho anaelekea New York Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 23 anatarajiwa kulihutubia Baraza hilo, pia atahudhuria mikutano ya kilele ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi.
Lema, Lissu na wafuasi wa Chadema wazungu naona wanawapuuza tu.
Na jeuri ya pesa pia alikua nayo. Mwenye pesa ana nguvu.Gaddafi alikuwa AKILI KUBWA
🤣🤣🤣Lete huwo ushahidi kwa sababu wewe ndiye uliyesema.
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Ngoja nikusaidie kitu, Samia anaenda marekani kwenye mkutano wa umoja wa mataifa hiyo inaruhusiwa hata mugabe alikuwa anaenda pamoja na kuwa aliwekewa vikwazo. Samia hataruhusiwa kwenda kwa ziara ya kutembelea marekani kama kuna vikwazo.Wanaukumbi.
Lema na Lissu, pamoja wafuasi wa Chadema kwenye Space kule Twitter mlituambia kuwa Rais Sania hawezi kuruhusiwa kwenda Marekani mmeshawambia maitafa ya Ulaya na na Marekani kuwa Rais Samia, hafai kuongoza Tanzania hamna demokrasia na wamekubali kuwa hawawezi kumruhusu.
Kulikoni tena kesho anaelekea New York Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 23 anatarajiwa kulihutubia Baraza hilo, pia atahudhuria mikutano ya kilele ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi.
Lema, Lissu na wafuasi wa Chadema wazungu naona wanawapuuza tu.
Nyama mbovu!Tafuta hela ule na watoto waende shule nzuri,achana na CDM utalaza njaa familia kuliko kukaa unaumiza kichwa sababu ya CDM
Tubakini kwenye hoja tafadhali, tunasisitiza tubakini kwenye hoja.Kwani jiwe yuko wapi sasa?
Hawajaandaa maandamano huko Twitter?Wanaukumbi.
Lema na Lissu, pamoja wafuasi wa Chadema kwenye Space kule Twitter mlituambia kuwa Rais Sania hawezi kuruhusiwa kwenda Marekani mmeshawambia maitafa ya Ulaya na na Marekani kuwa Rais Samia, hafai kuongoza Tanzania hamna demokrasia na wamekubali kuwa hawawezi kumruhusu.
Kulikoni tena kesho anaelekea New York Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 23 anatarajiwa kulihutubia Baraza hilo, pia atahudhuria mikutano ya kilele ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi.
Lema, Lissu na wafuasi wa Chadema wazungu naona wanawapuuza tu.
ChaMA Lissu lemma ni kama MFA maji haishi kutapatapa Kila wanalolifikiria wanafukiri linawezekana wazungu wanawachora tu nakuwaona mazuzu nchi yenye amani kama Tanzania uwaambie haifai wakati wait wanakujaga kupumzika huku shame apon them chademaWanaukumbi.
Lema na Lissu, pamoja wafuasi wa Chadema kwenye Space kule Twitter mlituambia kuwa Rais Sania hawezi kuruhusiwa kwenda Marekani mmeshawambia maitafa ya Ulaya na na Marekani kuwa Rais Samia, hafai kuongoza Tanzania hamna demokrasia na wamekubali kuwa hawawezi kumruhusu.
Kulikoni tena kesho anaelekea New York Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 23 anatarajiwa kulihutubia Baraza hilo, pia atahudhuria mikutano ya kilele ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi.
Lema, Lissu na wafuasi wa Chadema wazungu naona wanawapuuza tu.
Na shughuli zingine baada ya kuhutubia baraza unazizungumziaje?United nations session ni kwa kila taifa linatambulika na umoja wa mataifa
Rejea
Mugabe
Rais wa Iran
Venezuela
Maadaui wakubwa wa Marekani
Wameshaenda na kuwatukana maraisi wa Marekani mubashara