thetowerofbabel
JF-Expert Member
- Jul 17, 2010
- 253
- 340
That should be ur business and not mine...Na shughuli zingine baada ya kuhutubia baraza unazizungumziaje?
That should be ur business and not mine...Na shughuli zingine baada ya kuhutubia baraza unazizungumziaje?
Wakati wa mwendazake ulikuwa fyooooo kama kimbofya,kwasasa hata akitoa hewa mbaya utasifia kuwa unanukia kuliko marashi ya Pemba.Wanaukumbi.
Lema na Lissu, pamoja wafuasi wa Chadema kwenye Space kule Twitter mlituambia kuwa Rais Sania hawezi kuruhusiwa kwenda Marekani mmeshawambia maitafa ya Ulaya na na Marekani kuwa Rais Samia, hafai kuongoza Tanzania hamna demokrasia na wamekubali kuwa hawawezi kumruhusu.
Kulikoni tena kesho anaelekea New York Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 23 anatarajiwa kulihutubia Baraza hilo, pia atahudhuria mikutano ya kilele ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi.
Lema, Lissu na wafuasi wa Chadema wazungu naona wanawapuuza tu.
Japo nimechelewa hii mada yako ni ya kindezi kabisa. Pale UN kila rais anafika hata kama ana mahusiano mabovu na marekani.Wanaukumbi.
Lema na Lissu, pamoja wafuasi wa Chadema kwenye Space kule Twitter mlituambia kuwa Rais Sania hawezi kuruhusiwa kwenda Marekani mmeshawambia maitafa ya Ulaya na na Marekani kuwa Rais Samia, hafai kuongoza Tanzania hamna demokrasia na wamekubali kuwa hawawezi kumruhusu.
Kulikoni tena kesho anaelekea New York Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 23 anatarajiwa kulihutubia Baraza hilo, pia atahudhuria mikutano ya kilele ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi.
Lema, Lissu na wafuasi wa Chadema wazungu naona wanawapuuza tu.
Kwa hiyo Lissu, Lema et al na nyinyi mnaowafuta kama mitume wa Yesu ni waongo na wapotoshaji?United nations session ni kwa kila taifa linatambulika na umoja wa mataifa
Rejea
Mugabe
Rais wa Iran
Venezuela
Maadaui wakubwa wa Marekani
Wameshaenda na kuwatukana maraisi wa Marekani mubashara
Kwenda mkutano wa UN na Kwenda on state visit Marekani ni vitu viwili tofauti.Kwa hiyo Lissu, Lema et al na nyinyi mnaowafuta kama mitume wa Yesu ni waongo na wapotoshaji?
Vipi shule ya siasa ya Polepole inaendaje? Mwanafunzi wake SSH ameanza kuelewa madesa ya mwendazake?Sasa kwa nini hao wakimbizi wenu wamewadanganyeni?
Kwenda mkutano wa UN na Kwenda on state visit Marekani ni vitu viwili tofauti.
Inaonyesha hata basic knowledge ya international diplomacy huna...
Wanaukumbi.
Lema na Lissu, pamoja wafuasi wa Chadema kwenye Space kule Twitter mlituambia kuwa Rais Samia hawezi kuruhusiwa kwenda Marekani mmeshawambia mataifa ya Ulaya na Marekani kuwa Rais Samia, hafai kuongoza Tanzania hamna demokrasia na wamekubali kuwa hawawezi kumruhusu.
Kulikoni tena kesho anaelekea New York Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 23 anatarajiwa kulihutubia Baraza hilo, pia atahudhuria mikutano ya kilele ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi.
Lema, Lissu na wafuasi wa Chadema wazungu naona wanawapuuza tu.
Hata sijui.Vipi shule ya siasa ya Polepole inaendaje? ...
Na wewe na ukongwe wako umekubali kudanganywa na Jaffar kwamba Samia ana ziara Marekani ukafikiri wahusika ni serikali ya USA?Wanaukumbi.
Lema na Lissu, pamoja wafuasi wa Chadema kwenye Space kule Twitter mlituambia kuwa Rais Samia hawezi kuruhusiwa kwenda Marekani mmeshawambia mataifa ya Ulaya na Marekani kuwa Rais Samia, hafai kuongoza Tanzania hamna demokrasia na wamekubali kuwa hawawezi kumruhusu.
Kulikoni tena kesho anaelekea New York Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 23 anatarajiwa kulihutubia Baraza hilo, pia atahudhuria mikutano ya kilele ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi.
Lema, Lissu na wafuasi wa Chadema wazungu naona wanawapuuza tu.
Naona sukuma gang mmeanza kukana agenda zenu ovu against SSHHata sijui.
Nani mwenye uelewa, Ritz? Acha utani ndugu yangu, huo uelewa autoe wapi, aibe? Bahati mbaya uelewa hauibwi, kama huna huna hata ukilia machozi ya damu. Eti Ritz ana uelewa, mbona unanchekesha? Sasa mwambie ateremke kimombo, mbona hata kile cha dhalimu mwendakuzimu utakitamani. Ritz na uelewa ni kama maji na mafuta, mbona hilo kila mtu humu JF analijua?Nilidhani Ritz ni mtu mwenye uelewa ie knowledgeable or at least informed, kumbe ni takataka
Hahhahah yaani mtu akiongea kimombo kwako ni muelewa?🤣🤣 yaani lugha yako ya kichaga unaona aina mpango ulivyokuwa mtumwa wa akili😃 kwa hiyo wehu na machizi wa UK kwa ni watu makani sana.Nani mwenye uelewa, Ritz? Acha utani ndugu yangu, huo uelewa autoe wapi, aibe? Bahati mbaya uelewa hauibwi, kama huna huna hata ukilia machozi ya damu. Eti Ritz ana uelewa, mbona unanchekesha? Sasa mwambie ateremke kimombo, mbona hata kile cha dhalimu mwendakuzimu utakitamani. Ritz na uelewa ni kama maji na mafuta, mbona hilo kila mtu humu JF analijua?
Sema vyovyote vile utakavyo.Naona sukuma gang mmeanza kukana agenda zenu ovu against SSH
Masikini Ritz katika ubora wake, yaani uko mtupu kiasi hicho! Leo nimekuwa mchaga? Hata hivyo hakuna ubaya kuongea kichaga kama ninaimudu...tatizo ni kudandia lugha usioimudu kama alivyokuwa akifanya yule dhalimu mwendakuzimu na kuanza kuongea vitu visivyoeleweka; mara fent ford au vitu kama hivyo.Hahhahah yaani mtu akiongea kimombo kwako ni muelewa?🤣🤣 yaani lugha yako ya kichaga unaona aina mpango ulivyokuwa mtumwa wa akili😃 kwa hiyo wehu na machizi wa UK kwa ni watu makani sana.
Ulivyokuwa punguani unashikiwa akila na Lema daah.
Vipi kijijini kwenu mnaongea kichaga au mnaongea lugha ya kimgereza😃
Teh teh teh mpini umekuingia, leo hii unakataa kabila lako na unakimbilia kiingereza daah kwe mapunguani hawawezi kuisha.Masikini Ritz katika ubora wake, yaani uko mtupu kiasi hicho! Leo nimekuwa mchaga? Hata hivyo hakuna ubaya kuongea kichaga kama ninaimudu...tatizo ni kudandia lugha usioimudu kama alivyokuwa akifanya yule dhalimu mwendakuzimu na kuanza kuongea vitu visivyoeleweka; mara fent ford au vitu kama hivyo.
Nina hakika hukuelewa chochote alichosema Mh. Lissu!