princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,687
- 19,357
kwanini mkuuAna raha sana
kwanini mkuuAna raha sana
ni kwelimkuuKuna watu usingizi kama huo wanaununua
Ni kweliRaha sana watu wa jinsi yake hawana stress au hawaziendekezi
Duuh haya asantenaskia jose uko the amazon college unapga mambo ya mapishi.pole kwa kubanwa na cozwork mkuu
Kweli mkuu mi ilishanitokea nilikua nimelala chumban mdogo wangu akaingia nakuchukua laptop yangu badae akairudisha nilikua kama naota nilipoamka nikamwambia kila kituNdio anaweza kukuona kwa hisia na macho asifumbue
Mshazari ndo kulala namna gani. Unaweza kuweka picha ili isaidiye kuelimishaHapana ukiwa kwenye mlalo mzuri I mean mshazari ni ngumu sana mwanga kufanya yake... Ni mpaka aidha uwe chali ama kifudifudi... Sana sana atasonya na kuondoka zake
Nikiwa a_level kuna jamaa alkua akillila mkono wa kushoto lazima akabwe uskuMshazari, usiiangalie dunia/mbingu wala usiipe kisogo
Mimi Kila nikifumba macho na kuomba naisi kuna kitu mbele yangu au nikizima taa za chumbani ili nilale naisi kuna kitu sometime nikiahtuka usiku naona live akini nikishtuka na kukaza macho ya kawaida sioni kitu ila nauakika kilikuwapo je sababu ni ilo jicho la 3??
Hapana huwezi kulizuia ni something inbuilt na sometimes hivi tunavyoviona ni hallucinations tuuVipi naweza kuzuia lisifunguke maana atulali wengine
nitagNgoja kuna mada yake nitakutag