Kwanini ukimwangalia usoni aliyelala huamka?

Kwanini ukimwangalia usoni aliyelala huamka?

Mkuu. moderator ni kama spika wa bunge maamuzi yake hayahojiwi popote. Teheteheee
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji30][emoji30][emoji30][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji25][emoji25][emoji25]
 
Kuna siku nili lala chali bhana ..dah kwanza niliota ndoto mbaya zina tisha afu kama napigana na watu uku nguvu zina niishia kabsa.mala kama nime zungukwa na watu yani naona vitu avi heleweki .
 
black-man-in-mirror.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom