Kwanini ukimwangalia usoni aliyelala huamka?

Kwanini ukimwangalia usoni aliyelala huamka?

Ufao ni mwili uharibukao, roho haifi.. Tunaposimuliwa habari za reincarnation na ufufuo siku ya mwisho, hizi ni habari za kiroho sio za kimwili.... Kuna watu wanafanya kazi huku wamelala mwili uko kwenye automation mode.. Anatenda kwa mazoea lakini mwili na akili vimechoka kabisa
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Samahani, naomba ufafanuzi hapo watembeao nao wamelala unamaanisha nini??. mtu anayetembea anaweza kuwa amelala kivi?. Ntashukuru ukipata nafasi ya kunijibu.
 
Nadhani tuna mada yake tayari ngoja tuone
basi utani tag hicho kipindi maana ku study nafanya nataka nipate nadharia mbalimbali ili kujua what is in, hata ulimi kuna namna unatoka na kukaa
 
basi utani tag hicho kipindi maana ku study nafanya nataka nipate nadharia mbalimbali ili kujua what is in, hata ulimi kuna namna unatoka na kukaa
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Kwa experience yangu ya kulala:-
kulala kifudifudi
-nakosa pumzi
-siwezi kulala
kulala mshazari/upande
-siwezi hisi chochote ni kama nakua nimejiconnect na kitanda
-sina ufahamu wowote mpaka pale nitakapo amka.
kulala chali
-nalala lakini akili huwa ipo active always(hata akipita mdudu chini sakafuni namhic)
-hili ni best pose kulala bila kujali ushirikina!.
Uko Kama Mimi mkuu
 
Ngoja nimvizie mumewangu Leo usiku wa nanane nione ataamka nikimuangalia
 
Sio kweli, mbona mi nimemkodolea mtoto hapa, tena kwa karibu 3cm lakini hajaamka !?
 
Haya mambo mazito mkuu big up...

Kuna matukio mengine yananitokea huwa nahisi kama nilishawahi kuyaona kabla/au kujirudia.

Kwa mfano nimekutana na watu wapya kabisa na sikuwa nawajua awali, lakini kichwani kwangu inanijia taswira ya mkutano huo kana kwamba nilishawahi iona/iota siku za nyuma.

Hii kitu ikoje mkuu Mshana Jr
 
Haya mambo mazito mkuu big up...

Kuna matukio mengine yananitokea huwa nahisi kama nilishawahi kuyaona kabla/au kujirudia.

Kwa mfano nimekutana na watu wapya kabisa na sikuwa nawajua awali, lakini kichwani kwangu inanijia taswira ya mkutano huo kana kwamba nilishawahi iona/iota siku za nyuma.

Hii kitu ikoje mkuu Mshana Jr
Kuna topic yake ya reincarnation ngoja takutag
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom