Nakukumbuka miaka ya nyuma wakati nipo jkt recruits walikuwa wanatulazimisha kulala chali.Makamanda walikuwa wanapita kufanya bed check wakikukuta umelala tofauti na hivyo ni lazima uamshwe.Dunia ina mchana na usiku
imani potofu. Hazina ukweli wowote.Nakukumbuka miaka ya nyuma wakati nipo jkt recruits walikuwa wanatulazimisha kulala chali.Makamanda walikuwa wanapita kufanya bed check wakikukuta umelala tofauti na hivyo ni lazima uamshwe.
Tuliambiwa ukilala kifudifudi au kiubavu basi huwezi kuhisi hatari inayokunyemelea.Mimi sikuwahi kuamini hilo ila nilijilazimisha mpaka nikazoea.
Baada ya kurud uraiani nilikuja kuamini kuwa ni kweli, maana niliendelea kulala chali. Hii ilinisaidia kunusurika na majaribio mengi ya kuibiwa. Inanifanya nistuke hata Kama Kuna mtu yupo dirishani ananichungulia.
Nakumbuka siku moja nikiwa nimelala chali nipo katika usingizini mzito, nimewahi kumpiga mke wangu ngumi kwa bahati mbaya baada ya kunikaribia. Hisia ilinijia Kama kuna mtu mbele yangu anataka kunifanyia jbo baya.
Mkuu mimi siamini hili katika dhana nguvu za kiroho. Ila kiukweli Kuna namna viungo vingine unavifanya viendelee kufanya kazi ya kukupa hisia.imani potofu. Hazina ukweli wowote.
Mtu akutazame uamke? Ujue hukua na usingizi
Nakumbuka siku moja nikiwa nimelala chali nipo katika usingizini mzito, nimewahi kumpiga mke wangu ngumi kwa bahati mbaya baada ya kunikaribia. Hisia ilinijia Kama kuna mtu mbele yangu anataka kunifanyia jbo baya.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nadhani alikoma!Nakukumbuka miaka ya nyuma wakati nipo jkt recruits walikuwa wanatulazimisha kulala chali.Makamanda walikuwa wanapita kufanya bed check wakikukuta umelala tofauti na hivyo ni lazima uamshwe.
Tuliambiwa ukilala kifudifudi au kiubavu basi huwezi kuhisi hatari inayokunyemelea.Mimi sikuwahi kuamini hilo ila nilijilazimisha mpaka nikazoea.
Baada ya kurud uraiani nilikuja kuamini kuwa ni kweli, maana niliendelea kulala chali. Hii ilinisaidia kunusurika na majaribio mengi ya kuibiwa. Inanifanya nistuke hata Kama Kuna mtu yupo dirishani ananichungulia.
Nakumbuka siku moja nikiwa nimelala chali nipo katika usingizini mzito, nimewahi kumpiga mke wangu ngumi kwa bahati mbaya baada ya kunikaribia. Hisia ilinijia Kama kuna mtu mbele yangu anataka kunifanyia jbo baya.