Kwanini ukimwangalia usoni aliyelala huamka?

Kwanini ukimwangalia usoni aliyelala huamka?

Milango mitano ya fahamu hupata ganzi baada ya mtu kulala kabisa. Mtu akilala fofofo mwili huachia homoni inayofanya milango hiyo ya fahamu kufa ganzi yaani haifanyi kazi kwa asilimia 100.

Ukiona mtu amelala alafu baada ya wewe kumuangalia usoni akaamka ujue hakulala kwa Asilimia Mia Bali alifumba macho. Pia mwili wake haukuachia homoni ya kuupa mwili ganzi kwa Asilimia 100.

Huo ni Uzushi kabisa.
we ni poyoyoo kabisaaa...hopless maandazi
 
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] kulala kuna tafsiri pana, hata walio kaburini wamelala, na kuna watembeao lakini wamelala.... Kulala kuna tafsiri pana [emoji144] [emoji144] [emoji144]
Ah ah ha ah Father Maneno Hayo Maneno Hayo

Kuna Wanaotembea Lakin Wamelala Acha Bass Masihala Mzeee[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Rejea kwa Dk Shika ukishika kitovu nyoka akufanyi chochote ataishia kugaragara chini tuu,ukikutana na nyoka mtoto wa kiume shika kengere zako mbwa hata awe mkali vipi ata ishia kukuangalia tuu .je mshana jr kuna ukweli juu ya haya mambo?
my friend.....don't try it at home..utang'atwa hapohapo uliposhika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom