Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?


Your browser is not able to display this video.

Iran kaamua kama ni kushuka kiuchumi, Asishuke mwenyewe.

Kifo cha wengi harusi.

Anataka kila nchi ionje joto la jiwe.
 
Vita bado mbichi kusema Marekani ammeshindwa ni mapema Sana.

Kwa ninavyoona jinsi Amerika alivyopania. Sioni kama atashindwa. Atatumia Kila mbinu kubadilisha utawala hapo Iran.

Watu Aina ya Trump sio watu WA kukubali kushindwa
Kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo Iran anaanza kuwa wa baridi.
 
Hali itazidi kuwa mbaya for the coming days
US anaanza kuachilia vikwazo kwa Mrusi kisa mafuta
Waarabu lazima wamuinamie Muajemi

Vita hii ni ya kiuchumi na sio kidini
Pamoja na kuuwa viongozi 48 wa Iran lakini kosa kubwa kuuwa kiongozi Mkuu

Wachambuzi wa vita wanajua kabisa US ameishafeli pakubwa
Ila sio wachambuzi uchwara wa humu ambao wao wanaamini imani zao Badala ya uhalisia

Hawa wanaweza kubishana na wataalamu wa kivita wakidhani wanajua zaidi
 
Adolf Hitler alipovamia USSR mwaka 1941 alidhani vita ingaisha wiki tatu tu, ikageuka miaka minne.

Benitho Mussolini alipovamia kisiwa cha Crete mwaka 1940 alidhani itakuwa wiki, kumbe miezi nane.

Lyndon Johnson alipeleka vikosi Vietnam mwaka 1965 wakitegemea itaisha mapema wakafika 1973.

Bill Clinton alipeleka vikosi Somalia mwaka 1993 akisema operesheni itakuwa ya saa moja, ikawa siku 1.

Siasa za dunia haziendeshwi kama MCHEZO WA UPATU, hii dunia ina mmliki wake halali na siyo USA.
 
Mzee unaogopa kuwa na record mbaya kwa mafaili ya jamaa wa Msasani pale Mwai Kibaki?
Unaogopa kunyimwa ruhusa kujivinjari nchini kwao 😃
Mambo ya kugongewa muhuri kwenye mkoba au siyo?
'Titicomb', wewe ni mchokonozi.
Habari zote zimewekwa hapo; halafu wewe unakuja na vinadharia covu namna hii!

Kwa hali ilivyo sasa hivi duniani hakuna tena anayepapatikia kugongewa mhuri kwenda kokote. Tutabanana tu hapa hapa na hawa waovu mpaka waiachie nchi yetu iwe huru.
Hii ni nchi ya waTanzania, siyo wa Genge la watu waovu.

Naomba tafadhali usinikosee heshima tena, mkuu wangu 'Titi'.; kwa sababu mimi nakuheshimu kwa misimamo yako juu ya hatma ya taifa hili.
 
Kwa kuongezea kwa uchache ni kwamba, kama Iran ingepakana na US kama Russia na Ukraine, yamkini hadi sasa hali kwa Iran ingekuwa ni mbaya mbaya zaidi.
Sasa kwa nini na wewe usikumbuke kuwa Ukraine hapigani peke yake!

Hapana, simwondolei sifa ya wapiganaji wake; wameonyesha ujasiri na uwezo mkubwa sana; lakini bila ya 'sponsorship' anayopata kutoka kwa waliomchochea avimbe kichwa hali yake sasa hivi ingekuwa ni mbaya zaidi.
Sisemi kuwa angekuwa amesalimu amri moja kwa moja, lakini maeneo ya Donbas anayodai mRusi wakati huu yangekuwa yametwaliwa yote.
 
US alifelivibaya sana vita ya Afghan ambay ilidumu kwa miaka 10 toka 2011 -2021 na mpaka leo Taliban wako madarakani
 
Hivi ulivyo empy set AKA debe tupu AKA mbumbumbu AKA zuzu kiasi hiki.
Unapataje uthubutu wa kumquote Lumumba!?
Watu mnajiamini sana humu ndani!!!
 
You're pathetic Scumbabag Dujeumsaeng
 
Ilitegemewa kwamba Iran lazima atajibu kwa nguvu tena alisema kabisa atakuwa anapiga kwenye kambi za USA zilizopo kwenye nchi za kiarabu na ilishatokea kwenye ile vita ya siku 12
Iran alijibu within hours baada ya kushambuliwa tena akifumua Radar kubwa ya Marekani middle east, akapiga kambi zote za Marekani middle east. Hakuna Taifa lililoshambulia kambi za Marekani zaidi ya Pearl Harbour miaka 85 iliyopita. Iran imeweza tena si kwa kubahatisha, ni kuilazimu USA kuomba hifuadhi Cyprus
Sasa Iran anakata moto kadri siku zinavyosogea! Awali alikuwa anarusha drones na makombora yapatayo 500 kila siku, leo anarusha chini ya 20 kwa siku.
Hapa ndipo inaonyesha hujui kinachoendelea, unahitaji msaada

Anga la Israel linalindwa na layers nyingi kuliko anga lolote duniani kwa mifumo hii, THAAD ya Marekani, PATRIOT ya Marekani, David Sling , Arrow na Iron dome. Iran ilihitaji kufumua mifumo hiyo kwanza.

Drones na makombora yalilenga ku deplete stock ya anti missile. Drone moja ina bei ya Dollar 25,000 wakati anti missile moja ina dola milioni moja. Iran ilichofanya ni ku flood the sky na kulazimisha Israel kutungua drone na makombora ya zamani kiasi cha kumaliza mfumo wa anga wa Israel

Baada ya hapo unaona Tel Aviv inapigwa kama Gaza. Kila kombora la Iran linatua eneo lolote la Israel.
Kwasasa Iran haihitaji kutumia makombora na drones nyingi kwasababu anga la Israel lipo wazi kama ilivyo middle east. Iran ilishambulia nchi zote zilizozuia makombora kutokana na somo la vita ya siku 12

Kwasasa kombora moja tu lina madhara kwasababu drones zimeufumua mfumo wa anga wa Israel.
Hakuna Taasisi yoyote ya ulinzi ya Israel iliyosimama.

Katika vita hii Israel yupo kama jina, wenye vita ni hawa; USA, UK, Australi, Netherland, Germany, France na EU ukiondoa Spain. Vita kati ya Israel na Iran ilikwisha, Iran ana deal na mkusanyiko wa Mataifa

Israel imepiga marufuku mashirika ya habari kupiga picha bila ruhusa.
Raia anayepiga picha anafungwa miaka 5.Unajua ni kwanini?
Kwa sababu lounchers na maghala ya siraha yanawindwa na Myahudi na kuyalipua kila siku.
Well, umeona teknolojia ya kuficha makombora ardhini?
Itafika hatua hututaona kombora hta moja ikitokea Iran ni suala muda tu
Iran haipigani vita kushinda inapigana ku survive. Iran inapigana na USA, EU na Washirika wao wa middle east
Juzi walionesha Khorramshir! wenyewe wanasema stock ya zamani imekwisha, wanaanza na mpya

Love or hate Iran, wapeni maua yao!
 
Nimecheka kifala!
Weeeeh mzee una ubongo wa ajabu sana aisee!!!
Umewezaje kuja na huu mfano!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…