Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

Vita bado mbichi kusema Marekani ammeshindwa ni mapema Sana.

Kwa ninavyoona jinsi Amerika alivyopania. Sioni kama atashindwa. Atatumia Kila mbinu kubadilisha utawala hapo Iran.

Watu Aina ya Trump sio watu WA kukubali kushindwa
Kasi ya Iran kushambulia jirani zake imepungua sana. Military Bases nyingi za Iran zimepigwa na zinaendelea kupigwa, awamu hii Iran mambo yamemkalia vibaya.
 
Wewe nikikumbuka ulivyokuwa unatuaminisha mwanzoni mwa vita vya Urusi



Wewe jamaa tangu uandike uongo uongo kule kwenye uzi wa mgogoro wa Urusi na Ukraine, inahitaji kusoma mara mbili mbili unachoandika.
Kwa hiyo nyinyi mnafurahi taifa moja kuua political leadership ya taifa jingine kisa vita???Hiyo ni sign ya weakness sio nguvu.Nguvu inatambulika kwenye utiifu wa sheria za kimataifa, sio kulipua watu na nchi kisa una jeshi kubwa, nguvu kubwa etc.
Pili mlitaka Urus wamle kichwa Zelensky ili tu awafurahishe watu kama nyinyi et ndo nguvu hizo au sio???Umesahau Putin alimuhakikishia waziri mkuu wa Israel kipindi kile kuwa hatomgusa Zelensky???Uo ndo uongozi...
Vita sio betting, au Simba na Yanga, kwamba mna-prove ubishi wenu kwa kutembea na roho za watu.
Et Urusi hatawali anga, mosi hujui kuwa kuna vijeba vimejichimbia pale -NATO na air defenses za Kutosha, utalinganisha na Iran??
Pili Urusi anawezapiga popote kwa missiles akitokea kwake, kwa nini ahangaike kuweka rehani maisha ya airforce yake wakati ana alternative??Makombora tu na drones zinagusa kila kona..

US atashinda pambano pale Iran lakini hatshinda vita...BATTLES yes, atawatwanga kwelikweli lkn kushinda vita sio rahisi pale, nchi kubwa ile, milima na mapango kama yote
Very nice analysis
 
Weka na source mkuu

Shida mko kibishi sana,haya hiyo ni moja ya habari ya USA kupoteza rada zake.
Shida rada zote Tano hazikupigwa kwa siku moja,hivyo watafiti wamekuawakikusanya taarifa Kila siku.
Kwa maana hiyo taarifa hii inaonesha rada karibu tatu zilizopotea,habari za mbele zinaonesha rada mbili zilizopotea jumla zinakua rada tano.thamani yake jumla zinafikia Dola 5b.
logo
mer

US lost nearly $2B worth of military equipment in first 4 days of strikes against Iran



Losses include SATCOM terminals, F-15E Strike Eagles and radar equipment, according to data by Anadolu

Efe Ozkan |04.03.2026 - Update : 05.03.2026

US lost nearly $2B worth of military equipment in first 4 days of strikes against Iran

File Photo



ISTANBUL

The US has lost nearly $2 billion worth of military equipment amid its military operations against Iran since Saturday, according to estimates and data compiled by Anadolu.

The chief driver of the cost is a US AN/FPS-132 early warning radar system at Al Udeid Air Base in Qatar, valued at $1.1 billion, which was hit with a missile strike by Iran on Saturday. Qatar confirmed that the radar was hit and damaged.

web.jpg


On Sunday, 3 F-15E Strike Eagles were lost in a friendly fire incident by Kuwaiti air defenses. While all six aircrew survived, the planes did not; the cost of replacing them is estimated at $282 million.

During its opening attack Saturday, Iran struck the US Navy’s Fifth Fleet headquarters in Manama, Bahrain, destroying two satellite communications terminals and several large buildings.

Using open-source intelligence reports, the targeted SATCOM terminals were identified as AN/GSC-52Bs, which approximately cost $20 million, factoring in deployment and installation costs.

Iran also claimed to have destroyed the AN/TPY-2 radar component of the THAAD Anti-Ballistic Missile (ABM) System deployed at Al-Ruwais Industrial City in the United Arab Emirates. Satellite imagery through open-source intelligence reports suggests that there has been a hit. The destroyed radar component is estimated to be worth $500 million.

Combining these costs, Iran has damaged $1.902 billion worth of US military assets in the region.

Iran has so far targeted at least seven US military sites across the Middle East since the United States and Israel began striking Iran on Saturday: the US Fifth Fleet’s headquarters in Bahrain, Camp Arifjan, Ali Al Salem Air Base and Camp Buehring in Kuwait, Erbil Base in Iraq, the UAE’s Jebel Ali Port, the US Navy's largest port of call in the Middle East, and Al-Udeid Air Base in Qatar.

In Kuwait, images taken Sunday afternoon revealed collapsed rooftops at multiple points within Ali Al Salem Air Base following reports of an Iranian strike the previous day. Camp Arifjan was the primary site where six US service members were killed. A widely circulated video recorded Sunday inside Camp Buehring in Kuwait showed a drone flying over the installation before exploding within its perimeter.

Footage and photographs confirmed by the New York Times suggested that Iran repeatedly targeted the military installation at Erbil International Airport in Iraq, where US forces are stationed, throughout Saturday and Sunday. Smoke and flames were visible rising from the area. By Sunday morning, satellite images showed that four structures in one section of the base had been damaged or destroyed, with fires still burning into early Monday.

Meanwhile, satellite imagery Sunday of Jebel Ali Port in Dubai showed smoke rising from a large building within a fenced US Navy recreational zone. Although not an official US base, Jebel Ali is among the navy’s most frequently used ports.

In addition to the military bases, US diplomatic missions in Saudi Arabia, Kuwait and the UAE have also been a target of strikes.

The US Embassy in Riyadh, Saudi Arabia was hit by two drones. The Saudi Defense Ministry reported "limited fire and minor material damage" to the compound. According to The Washington Post, the CIA Station inside the compound was also hit.

The US Embassy in Kuwait City, Kuwait was attacked with drone and missile strikes described as a "brutal" Iranian attack by Kuwaiti officials. Smoke was reported near the compound, with damage details remaining limited in public reporting. The embassy closed "until further notice" with non-essential staff and families being evacuated.

The US Consulate General in Dubai, UAE was hit by a suspected Iranian drone that struck a parking lot adjacent to the chancellery building. A fire started but was quickly contained by local authorities. The consulate grounds sustained some impact but no major structural destruction.
 

logo

[COLOR=rgba(255, 255, 255, 0.85)][COLOR=rgba(255, 255, 255, 0.85)]logo

Anadolu Ajansı

[COLOR=rgba(255, 255, 255, 0.85)]×[/COLOR]

[/COLOR]
[/COLOR]





US lost nearly $2B worth of military equipment in first 4 days of strikes against Iran


Losses include SATCOM terminals, F-15E Strike Eagles and radar equipment, according to data by Anadolu

Efe Ozkan |04.03.2026 - Update : 05.03.2026

US lost nearly $2B worth of military equipment in first 4 days of strikes against Iran

File Photo



ISTANBUL

The US has lost nearly $2 billion worth of military equipment amid its military operations against Iran since Saturday, according to estimates and data compiled by Anadolu.

The chief driver of the cost is a US AN/FPS-132 early warning radar system at Al Udeid Air Base in Qatar, valued at $1.1 billion, which was hit with a missile strike by Iran on Saturday. Qatar confirmed that the radar was hit and damaged.

web.jpg


On Sunday, 3 F-15E Strike Eagles were lost in a friendly fire incident by Kuwaiti air defenses. While all six aircrew survived, the planes did not; the cost of replacing them is estimated at $282 million.

During its opening attack Saturday, Iran struck the US Navy’s Fifth Fleet headquarters in Manama, Bahrain, destroying two satellite communications terminals and several large buildings.

Using open-source intelligence reports, the targeted SATCOM terminals were identified as AN/GSC-52Bs, which approximately cost $20 million, factoring in deployment and installation costs.

Iran also claimed to have destroyed the AN/TPY-2 radar component of the THAAD Anti-Ballistic Missile (ABM) System deployed at Al-Ruwais Industrial City in the United Arab Emirates. Satellite imagery through open-source intelligence reports suggests that there has been a hit. The destroyed radar component is estimated to be worth $500 million.

Combining these costs, Iran has damaged $1.902 billion worth of US military assets in the region.

Iran has so far targeted at least seven US military sites across the Middle East since the United States and Israel began striking Iran on Saturday: the US Fifth Fleet’s headquarters in Bahrain, Camp Arifjan, Ali Al Salem Air Base and Camp Buehring in Kuwait, Erbil Base in Iraq, the UAE’s Jebel Ali Port, the US Navy's largest port of call in the Middle East, and Al-Udeid Air Base in Qatar.

In Kuwait, images taken Sunday afternoon revealed collapsed rooftops at multiple points within Ali Al Salem Air Base following reports of an Iranian strike the previous day. Camp Arifjan was the primary site where six US service members were killed. A widely circulated video recorded Sunday inside Camp Buehring in Kuwait showed a drone flying over the installation before exploding within its perimeter.

Footage and photographs confirmed by the New York Times suggested that Iran repeatedly targeted the military installation at Erbil International Airport in Iraq, where US forces are stationed, throughout Saturday and Sunday. Smoke and flames were visible rising from the area. By Sunday morning, satellite images showed that four structures in one section of the base had been damaged or destroyed, with fires still burning into early Monday.

Meanwhile, satellite imagery Sunday of Jebel Ali Port in Dubai showed smoke rising from a large building within a fenced US Navy recreational zone. Although not an official US base, Jebel Ali is among the navy’s most frequently used ports.

In addition to the military bases, US diplomatic missions in Saudi Arabia, Kuwait and the UAE have also been a target of strikes.

The US Embassy in Riyadh, Saudi Arabia was hit by two drones. The Saudi Defense Ministry reported "limited fire and minor material damage" to the compound. According to The Washington Post, the CIA Station inside the compound was also hit.

The US Embassy in Kuwait City, Kuwait was attacked with drone and missile strikes described as a "brutal" Iranian attack by Kuwaiti officials. Smoke was reported near the compound, with damage details remaining limited in public reporting. The embassy closed "until further notice" with non-essential staff and families being evacuated.

The US Consulate General in Dubai, UAE was hit by a suspected Iranian drone that struck a parking lot adjacent to the chancellery building. A fire started but was quickly contained by local authorities. The consulate grounds sustained some impact but no major structural destruction.
Usiwape hizi taarifa, waache watafute wenyewe.....

Hapa atakuja kusema chanzo chako hakiaminiki, hivyo usipoteze muda......

Some people will always be committed to misunderstanding you no matter how hard you explain....
 
Kasi ya Iran kushambulia jirani zake imepungua sana. Military Bases nyingi za Iran zimepigwa na zinaendelea kupigwa, awamu hii Iran mambo yamemkalia vibaya.
Rais wa iran amewaomba radhi majirani zake kwa yaliyotokea akisema ilikuwa haina namna.
Pia amesema balaza la mpito limeamua kwamba hawatafnya mashambulizi kwenye hizo nchi labda wao wakishambuliwa kutokea huko.

Hii kauli ni ya mtu aliekata tamaa

Stock ya misiles itakuwa imekauka.
 
Usiwape hizi taarifa, waache watafute wenyewe.....

Hapa atakuja kusema chanzo chako hakiaminiki, hivyo usipoteze muda......

Some people will always be committed to misunderstanding you no matter how hard you explain....
Mkuu ulitegemea hakutakuwa na loss?
Wenzako wanaangalia faida ya baadae!

Hayo mabilioni unayosema wewe yamepotea, wenzako wameshajua watayarudiashaje.

Ni sawa na kule Venezuel US aliwekeza pesa nyingi jinsi ya kumkamata Maduro lakin baada ya kufanikiwa sasa hela zinarudi.
 
Shida mko kibishi sana,haya hiyo ni moja ya habari ya USA kupoteza rada zake.
Shida rada zote Tano hazikupigwa kwa siku moja,hivyo watafiti wamekuawakikusanya taarifa Kila siku.
Kwa maana hiyo taarifa hii inaonesha rada karibu tatu zilizopotea,habari za mbele zinaonesha rada mbili zilizopotea jumla zinakua rada tano.thamani yake jumla zinafikia Dola 5b.
logo
mer

US lost nearly $2B worth of military equipment in first 4 days of strikes against Iran



Losses include SATCOM terminals, F-15E Strike Eagles and radar equipment, according to data by Anadolu

Efe Ozkan |04.03.2026 - Update : 05.03.2026

US lost nearly $2B worth of military equipment in first 4 days of strikes against Iran

File Photo



ISTANBUL

The US has lost nearly $2 billion worth of military equipment amid its military operations against Iran since Saturday, according to estimates and data compiled by Anadolu.

The chief driver of the cost is a US AN/FPS-132 early warning radar system at Al Udeid Air Base in Qatar, valued at $1.1 billion, which was hit with a missile strike by Iran on Saturday. Qatar confirmed that the radar was hit and damaged.

web.jpg


On Sunday, 3 F-15E Strike Eagles were lost in a friendly fire incident by Kuwaiti air defenses. While all six aircrew survived, the planes did not; the cost of replacing them is estimated at $282 million.

During its opening attack Saturday, Iran struck the US Navy’s Fifth Fleet headquarters in Manama, Bahrain, destroying two satellite communications terminals and several large buildings.

Using open-source intelligence reports, the targeted SATCOM terminals were identified as AN/GSC-52Bs, which approximately cost $20 million, factoring in deployment and installation costs.

Iran also claimed to have destroyed the AN/TPY-2 radar component of the THAAD Anti-Ballistic Missile (ABM) System deployed at Al-Ruwais Industrial City in the United Arab Emirates. Satellite imagery through open-source intelligence reports suggests that there has been a hit. The destroyed radar component is estimated to be worth $500 million.

Combining these costs, Iran has damaged $1.902 billion worth of US military assets in the region.

Iran has so far targeted at least seven US military sites across the Middle East since the United States and Israel began striking Iran on Saturday: the US Fifth Fleet’s headquarters in Bahrain, Camp Arifjan, Ali Al Salem Air Base and Camp Buehring in Kuwait, Erbil Base in Iraq, the UAE’s Jebel Ali Port, the US Navy's largest port of call in the Middle East, and Al-Udeid Air Base in Qatar.

In Kuwait, images taken Sunday afternoon revealed collapsed rooftops at multiple points within Ali Al Salem Air Base following reports of an Iranian strike the previous day. Camp Arifjan was the primary site where six US service members were killed. A widely circulated video recorded Sunday inside Camp Buehring in Kuwait showed a drone flying over the installation before exploding within its perimeter.

Footage and photographs confirmed by the New York Times suggested that Iran repeatedly targeted the military installation at Erbil International Airport in Iraq, where US forces are stationed, throughout Saturday and Sunday. Smoke and flames were visible rising from the area. By Sunday morning, satellite images showed that four structures in one section of the base had been damaged or destroyed, with fires still burning into early Monday.

Meanwhile, satellite imagery Sunday of Jebel Ali Port in Dubai showed smoke rising from a large building within a fenced US Navy recreational zone. Although not an official US base, Jebel Ali is among the navy’s most frequently used ports.

In addition to the military bases, US diplomatic missions in Saudi Arabia, Kuwait and the UAE have also been a target of strikes.

The US Embassy in Riyadh, Saudi Arabia was hit by two drones. The Saudi Defense Ministry reported "limited fire and minor material damage" to the compound. According to The Washington Post, the CIA Station inside the compound was also hit.

The US Embassy in Kuwait City, Kuwait was attacked with drone and missile strikes described as a "brutal" Iranian attack by Kuwaiti officials. Smoke was reported near the compound, with damage details remaining limited in public reporting. The embassy closed "until further notice" with non-essential staff and families being evacuated.

The US Consulate General in Dubai, UAE was hit by a suspected Iranian drone that struck a parking lot adjacent to the chancellery building. A fire started but was quickly contained by local authorities. The consulate grounds sustained some impact but no major structural destruction.
Wenzako faida wataanza kuhesabu miaka 2 ijayo baada ya kufanikisha mision yao
 
Naomba kuuliza Wewe Malcolm ulitaka Russia wafanye Nini wakati majirani zao hao Ukraine walikuwa wana mpango wa kujiunga katika uwanachama wa NATO !?? Je alipaswa kuwaacha wajiunge !?

Kama ange waacha wajiunge vipi kuhusu Hali ya usalama wa Russia ingekuwaje !?
Kwani hiyo Ukraine ingekuwa NATO member wa kwanza kupakana na Russia? Tayari anapakana na nchi 9 wanachama
 
Hapa unalinganisha tembo na mbuzi kwenye uzito.

Russia imetimiza miaka minne tangu ianzishe mashambulizi dhidi ya Ukraine. Kwa kutumia vifaru, wanajeshi, helicopters, meli za kivita, bombers, fighter jets, submarines, missiles zikiwemo cruise, ballistic na hadi hypersonic, na silaha nyinginezo.

Marekani imeshambulia haina boots on ground, haina kifaru hata kimoja, inatumia missiles, ndege na meli sina hakika kama wametumia submarines mpaka sasa. Tofauti zao sasa:

1. Russia ina miaka minne (4), US haijatimiza mwezi.

2. Russia haijawahi miliki anga la Kiev, wala ndege yake kukatisha anga hilo walau mara moja katika miaka yote minne. US siku ya kwanza tu ndege zake zilifika Tehran na kila siku zinafika zinakotakiwa kufika popote ndani ya Iran. Ndoto kama hii kwa Russia haiwezekani.

3. Russia haijawahi muua mkuu wa majeshi, wala Rais, wala mkuu wa Air force, au wa Navy, au wa Army ya Ukraine. Upande wa Marekani hapa sitaji nitakukumbusha machungu.

4. Iran haijamuua General yeyote wa US, Ukraine imeua Russian Generals zaidi ya 15 kwenye mapigano.

5. Iran hajawahi shambulia mainland US. Wakati Ukraine anashambulia hadi ikulu ya Kremlin ya Urusi.

Hizo ni tofauti kubwa, mengine ni vita zina mambo yake. Ila aliyekutaarifu kuwa Marekani ameshindwa kummaliza Iran "kwa haraka" sijui ni nani.
Na sijui alikua anaamaanisha nini kusema Irani kammaliza Mmarekani
 
Comparison kivipi,kwamba inashindikana ukiwa Tanzania na kuishambulia Marekani kwa missiles? Hapo ndio ujue Iran sio level ya Marekani maana tumeona Marekani anatuma ndege kutoka kwake directly kwenda kushambulia Iran ambapo Iran hawezi hili.
Nani kasema kwamba IRAN ni level ya Marekani.. Tukiachana na hilo nani kaanza mshambulia mwenzake
 
IRAN kaonesha uwezo wa ajabu ambao USA na Trump hakuwategemea pamoja na ISRAEL, ingawa wame haribu sehemu kubwa ya IRAN ila nae amewatia adabu na bahati nzuri IRAN kaishasema hakuna kurudi nyuma
USA tokea lini alipigana vita bila kusaidiwa Iran wanaume wale mpaa mda huu hawataki msada na Mrusi kawambia mkitaka msada tupo tayari.
 
Rais wa iran amewaomba radhi majirani zake kwa yaliyotokea akisema ilikuwa haina namna.
Pia amesema balaza la mpito limeamua kwamba hawatafnya mashambulizi kwenye hizo nchi labda wao wakishambuliwa kutokea huko.

Hii kauli ni ya mtu aliekata tamaa

Stock ya misiles itakuwa imekauka.
Kadri siku zinavyoenda ndo tutazidi kuona mambo yanavyoenda. Iran ipo uchi sana mbele ya Magharibi.
 
Vita bado mbichi kusema Marekani ammeshindwa ni mapema Sana.

Kwa ninavyoona jinsi Amerika alivyopania. Sioni kama atashindwa. Atatumia Kila mbinu kubadilisha utawala hapo Iran.

Watu Aina ya Trump sio watu WA kukubali kushindwa
Watu wengi wametoa historia humu kuanzia Vietnam, Iraq , Afghanistan n.k huko pote USA amepoteza hadi Sasa kapoteza

Soon, Trump anaondoka hapo Iran maana kaanza kujipa ushindi kwa kutafsiri sivyo kauli ya Rais wa Iran
 
Back
Top Bottom