Sijui kama wanajua watafutie wapi. Taarifa ya
kendy itawasaidia sana vijana wa Kenya na Uganda wanaosoma JF. Hawa wakwetu lugha ni tatizo, kutafuta habari tatizo !
Sidhani kama watahoji chanzo! kwani wameelewa kilichoandikwa!
Nawatetea Vijana hakuna misunderstanding kuna ignorance ya hali ya juu sana Tanzania.
Wengi wanasoma ili kujibu kilichoandikwa, hawasomi kuelewa kilichoandikwa ndio maana wanabisha tu katika mabandiko. Hawana uwezo wa ku rebuttal hoja. Ujinga umekolezwa na DINI. Yaani hawana muda wa kuangali jambo kutoka angle tofauti! huku Wayahudi kule Waarabu! hawajishughulishi hata kutafuta facts
Mfano, nimewauliza kosa la Iran ni lipi hadi ashambuliwe? Hakuna anayejibu, wapo bize, apigwe !