Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

Lakini pia hilo wenda lingeipa urahisi pia Iran kuwadhuru wamarekani tofauti na sasa ambapo wako mbali.
Nadhani unataka kuja na hoja ya kwamba Marekani ingekuwa imepakana na Iran mashambulizi yake dhidi ya Iran yangekuwa rahisi lakini kumbuka kuwa hata sasa kambi zote za Marekani zilizo izunguka Iran zote amezikimbia amerazimika kushambulia kutoka mbali.
Mpaka sasa hakuna hata risasi moja iliyorushwa Marekani, hii vita anayepoteza ni Iran. Kushambulia kambi haifanyi Marekani apoteze vita, hizo za Iran zinashambuliwa kwa intensity kubwa kuliko. Sasa nchi hata haimiliki anga lake hiyo kweli useme inashinda.

Wangepakana kweli mashambulizi kadhaa yangefika US ila ndio US ingekuwa na nguvu kubwa zaidi ya kushambulia.
 
Kuna hili lifala linaitwa let the caged bird sings ni moja kati ya Mabazazi na Madunya ya humu ndani. Limetoka shimoni baada ya maumivu makali ya moyo, likaharisha ujinga halafu likaenda kuvimbiwa futari ya Kwaresma.

Lenyewe na wenzake wengi humu ndani niliwahi kuwaambia mwaka 2022 kwamba muda ni mwalimu mzuri sana, wekeni akiba ya maneno. Katika wooote ambaye huwa hajawahi kunivunjia heshima kwenye mijadala ni mdogo wangu T14 Armata , atabishana na mimi vikali ila hajawahi kubisha kitu bila walau kuweka hoja. Katika hili namheshimu sana sanaaa.

Mengine sasa hivi yanachungulia yanapita kimyakimya kama mapepo yakitegemea walau CNN watangaze chochote kibaya kilichowakuta Iran ili wakilete hapa, lakini wapiiiiii. Mimi niko nao tu hawaa Weekend yote hiiiii
Huyo let the caged bird sings ni religious fanatic and Extrimist mijadala mingi anaiweka katika mtazamo wa chuki za kidini.

Miaka mingi Jf ila Hana lugha za staha katika majadiliano haswa yanayohusisha dini hata kwa asilimia 1% lazima atapokea kwa sura nyingine na kuanza matusi , kebehi na ujinga badala ya ustaarabu na facts
 
Ushuhuda kutoka kwa mtu wa Mungu aliye onyeshwa MAONI YA UFUNUO na Yesu...kwamba IRANI ina silaha hatari zaidi duniani zenye uweze mkubwa zaidi wa kuharibu sehemu kubwa zaidi ya duniani kuliko nchi yeyote duniani...

Na kwamba Yesu hataruhusu zitumike kabla hajawaondoa watu wake (watakatifu ama kanisa)..katika UNYAKUO WA WATAKATIFU...mana hizo silaha ambazo zimefichwa kwa siri IRANI ni silaha hatari kabisa duniani..YESU alimuonyesha mpaka zilipofichwa akamuelezea na uwezo wake wa kufanya madhara makubwa duniani...

TAKE HOME MESSAGE

UNYAKUO WA WATAKATIFU UMEKARIBIA sana...tengeneza mambo ya nyumba yako..hizi ni dakika za mwishoni....
 
Kuvamia taifa jingine huru, kijeshi kwasababu linafanya maamuzi yake kisiasa ni kosa kisheria.

Urusi mwenyewe aliwaruhusu Wayukraini watoke kwenye Muungano mwaka 1991.

Kinachofanyika hapa ni siasa za mataifa makubwa (Great Power Politics) ambapo ukweli mchungu ni kwamba sheria inakataza, ila uhalisia ni kitu kingine, kwamba ukiingilia maslahi ya taifa kubwa halafu wewe ni kitaifa kidogo ndiyo madhara ambayo yanaikuta Ukraine. Sheria inamlinda Ukraine, lakini uhalisia wa siasa za dunia una taswira nyingine kabisa. Marekani na NATO walimponza Ukraine, naye akijidanganya akaingia mazima, mwishowe yakamkuta.

Taiwan na Japan wasipojifunza watakuja kupigwa na kitu kizito nao wasiamini.....

Military base za USA hazina maana yoyote kiufupi marekani kajiaribia ameonekana kajanja
 
Karuka sarakasi huku kavaa taulo.....

Ukweli mchungu ni kwamba, The Persian Gulf (Ghuba ya Uajemi) ni eneo ambalo linatuwezesha hata mimi na wewe kuweza kuwasiliana hivi hapa mtandaoni. Ni eneo ambalo linaathiri maisha yetu kwa kiwango kikubwa kupita maelezo. Tatizo ni kwamba Mabazazi na Madunya ya humu ndani yanadhania kila kitu ni ushabiki ilhali hayafahamu kwamba wahanga wa kwanza wa Energy Crisis watakuwa wao kwasababu ya mfumuko wa bei (Inflation) na uhaba wa dola (Dollar Scarcity) kwasababu mafuta ni moja ya bidhaa inayoongozwa kusambaza dolla hapa duniani.

Kiukweli Trump kacheza vibaya mno, na aliyemshauri (Netanyahu) katulia pembeni....
Sijui kwa nini Trump kawa mtumwa wa Netanyahu wakati Biden hakua ivyo
 
Josif Broz Tito hakuungwa mkono na US, ila aliachwa na mambo yake bila kuingiliwa. Ikumbukwe kuwa Tito alikuwa na form yake mwenyewe ya communism ambayo iliitwa Titoism, ilikuwa haifungamani na upande wowote (hata Communists wenzake) bali ilikuwa ya kitaifa tu kwa ajili ya Yugoslavia.

Ndio maana Tito alikuwa kwenye Non Aligned Movement kama kiongozi, na alikuwa na ugomvi mkubwa sana na Stalin ila waliheshimiana kwa kuogopana.
Tito hakuwa na tabia ya kulisha Titoism kwa nchi nyingine hivyo domino effect haikumhusu.
Sawa!

Vipi kuhusu Pol Pot wa Cambodia sasa ???

Jirani kabisa na Vietnam.....
 
Hapa unalinganisha tembo na mbuzi kwenye uzito.

Russia imetimiza miaka minne tangu ianzishe mashambulizi dhidi ya Ukraine. Kwa kutumia vifaru, wanajeshi, helicopters, meli za kivita, bombers, fighter jets, submarines, missiles zikiwemo cruise, ballistic na hadi hypersonic, na silaha nyinginezo.

Marekani imeshambulia haina boots on ground, haina kifaru hata kimoja, inatumia missiles, ndege na meli sina hakika kama wametumia submarines mpaka sasa. Tofauti zao sasa:

1. Russia ina miaka minne (4), US haijatimiza mwezi.

2. Russia haijawahi miliki anga la Kiev, wala ndege yake kukatisha anga hilo walau mara moja katika miaka yote minne. US siku ya kwanza tu ndege zake zilifika Tehran na kila siku zinafika zinakotakiwa kufika popote ndani ya Iran. Ndoto kama hii kwa Russia haiwezekani.

3. Russia haijawahi muua mkuu wa majeshi, wala Rais, wala mkuu wa Air force, au wa Navy, au wa Army ya Ukraine. Upande wa Marekani hapa sitaji nitakukumbusha machungu.

4. Iran haijamuua General yeyote wa US, Ukraine imeua Russian Generals zaidi ya 15 kwenye mapigano.

5. Iran hajawahi shambulia mainland US. Wakati Ukraine anashambulia hadi ikulu ya Kremlin ya Urusi.

Hizo ni tofauti kubwa, mengine ni vita zina mambo yake. Ila aliyekutaarifu kuwa Marekani ameshindwa kummaliza Iran "kwa haraka" sijui ni nani.
Kwa kuongezea kwa uchache ni kwamba, kama Iran ingepakana na US kama Russia na Ukraine, yamkini hadi sasa hali kwa Iran ingekuwa ni mbaya mbaya zaidi.
 
Hapa Malcolm umekosea kulinganisha.

Vita ya Iran na Marekani ni very systematic.

According to USA na Marekani baadhi ya Mashambulizi yaliyofanywa mwaka jana na mwaka huu kwa Iran yalipangwa miaka zaidi ya 20 kabla.

Kwenye vita ya Siku 12 Israel na USA walishambulia vinu vya nyuklia vya Iran na kuhakikisha Iran hawezi kuunda bomu wakati anashambuliwa.

Kwenye vita hii ukiangalia unaona focus ziko kwenye kuharibu program ya Iran ya Makombora na kuharibu uwezo wa serikali ya Iran kufanya kazi na kuzuia maandamano na vikundi vyote vya Uasi.
 
Mbona huo ukaribu haujamsaidia kwa kambi zake zilizoko karibu na mipaka ya Iran badala yake anashambulia kutoka mbali.
Suala la ukaribu au umbali sio sababu.
Hawa BAZAZI UNITED ni wagumu kuelewa...

Kama ukaribu ni sababu, kwanini CIA walishindwa kuivamia Cuba kanchi kadogo mwaka 1961 na kusababisha maelfu ya vifo vya majasusi wa CIA na waasi wa Cuba ??? Ile Oparesheni Marekani alishindwa vibaya mno na mpaka leo hii hajamsamehe Cuba, anamwekea vikwazo bila huruma yani. Kiukweli Marekani aliaibika vibaya mno. Mambo kama haya huwa yanatokea sana tu kwenye vita..
 
Wewe jamaa yangu unachekesha sana! Yaani unadiriki kabisa kuiita japani kuwa ni taifa dogo?
Kama eneo ndiyo ukubwa wa taifa basi Tanzania ni taifa kubwa kuliko taifa lolote la ulaya. Japani ni taifa la 3 kwa ukubwa kiuchumi duniani na lina watu milioni 125 how unasema ni taifa dogo?
Tukisema jamaa kapuyanga anatumind. Taifa dogo ambalo hata China mwenye alihofia??? Jamaa hapa kazingua.
 
Hapa Malcolm umekosea kulinganisha.

Vita ya Iran na Marekani ni very systematic.

According to USA na Marekani baadhi ya Mashambulizi yaliyofanywa mwaka jana na mwaka huu kwa Iran yalipangwa miaka zaidi ya 20 kabla.

Kwenye vita ya Siku 12 Israel na USA walishambulia vinu vya nyuklia vya Iran na kuhakikisha Iran hawezi kuunda bomu wakati anashambuliwa.

Kwenye vita hii ukiangalia unaona focus ziko kwenye kuharibu program ya Iran ya Makombora na kuharibu uwezo wa serikali ya Iran kufanya kazi na kuzuia maandamano na vikundi vyote vya Uasi.
Swali rahisi kabisa: Kama walifanikiwa kuharibu vinu vya nyuklia mwaka jana, sasa wanaharibu nini ???
 
Mpaka sasa hakuna hata risasi moja iliyorushwa Marekani, hii vita anayepoteza ni Iran. Kushambulia kambi haifanyi Marekani apoteze vita, hizo za Iran zinashambuliwa kwa intensity kubwa kuliko. Sasa nchi hata haimiliki anga lake hiyo kweli useme inashinda.

Wangepakana kweli mashambulizi kadhaa yangefika US ila ndio US ingekuwa na nguvu kubwa zaidi ya kushambulia.
Sasa mkuu ata rushaje wakati hawashei mpaka ? Mfano umbali walio nao Iran na Marekani ndo ungekuwa wa Ukraine na Urusi je Ukraine ingeweza kuoshambulia ardhi ya Marekani?
Kwa hiyo migogoro hii miwili inatofautiana katika mkitadha wa kijografia na malengo na sio kiuwezo.

Nje ya mada kwa mtazamo wako unavyo ona huyu mtoto wa Khamenei anaweza kweli kuiongoza Iran?
 
Back
Top Bottom