Stuka

JF-Expert Member
Jul 19, 2022
214
686
Rais anashauriwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwenye kila jambo la mikataba na sheria, sasa mkataba huu baina ya Tanzania na Dubai unaosambaa kwenye mitandaoni hauna sahihi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Suala la Bandari sio la Wizara moja ni suala la nchi haliwezi kuamuliwa kiwizara, watanzania tulitegemea kuona sahihi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali baada ya kuwa amesoma na kujiridhisha juu ya vipengele vya mkataba wa kuipa bandari Kampuni ya Dubai kwa muda usiojulikana kuendeleza na kuendesha bandari zote Tanzania za Baharini na maziwa makuu yote.

Maana yake ni bandari zetu ikiwemo Bandari ya Dar es Salaam, Mtwara, Tanga, Mwanza, Bukoba, Musoma, Kigoma, Karema, Itungi, Mbamba Bay, kwa ufupi ni bandari zote.

Kinachoonekana huu mkataba hauna Baraka ya Mwasheria Mkuu wa Serikali na ndio maana hakuna sahihi yake, watanzania wengi wanajiuliza Rais alijiridhisha kupitia mamlaka gani kwamba vipengele na masharti ya mkataba yako sawa na vimezingatia maslahi mapana ya nchi yetu hadi kuweka sahihi.

Kikatiba sina uhakika kama Rais ana mamlaka kusaini mkataba wa nchi na nchi kabla ya kulishirikisha Bunge katika hatua za awali, serikali ilikuwa na nafasi ya kulishirikisha Bunge katika hatua za awali kwa kuipeleka MOU bungeni ambayo ilikuwa na vipengele vyote muhimu vinavyokwenda kutumika kutengeneza mkataba.

Mkataba mkubwa wa nchi na nchi una kasoro kubwa upande wa Tanzania Waziri na Rais wamesaini kwa majina yao na vyeo vyao lakini kwa upande wa Katibu Mkuu amesaini bila kutaja jina la Katibu Mkuu lakini eneo la Katibu Mkuu unaona imetumika saini mbili moja ya wino wa kijani na nyingine wino wa bluu na hazijulikani saini hizo ni za kina nani?

Lakini kwa upande wa Dubai kwenye mkataba amesaini msimamizi wa bandari badala ya Rais wa nchi ya Dubai wala Waziri mwenye dhamana ya uchukuzi huko dubai kama ilivyokuwa kwa upande wetu wa Tanzania na akasaini mtu mmoja kwenye maeneo yote ya mkataba.

Ikumbukwe kuwa Mwansheria Mkuu wa Serikali ndiye Mshauri wa mwisho wa Sheria kwa Serikali kwenye mkataba huu hakuna sahihi yake.

Sheria ya Mamlaka ya Nchi kuhusiana na Umiliki wa Rasilimali na Maliasili ya Mwaka 2017 (The Natural Wealth and Resources (Permanent Soveveighty) Act, 2017) imezingatiwaje? Mwanasheria Mkuu angetusaidia hapo.

Lakini kwenye Mkataba Waziri Mbarawa inaonekana ameghushi sahihi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kuna wino wa Kijani wa kalamu ya Waziri alafu hapo hapo kuna wino wa bluu.

Lakini Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi ina Makatibu wakuu wawili Balozi Mhandisi Aisha Amour (Katibu Mkuu Ujenzi) na Bw. Gabriel J. Migire (Katibu Mkuu Uchukuzi) sasa kwenye mkataba huu aliyesaini sehemu ya Katibu Mkuu ni nani?

Nini Hatma ya Taifa letu…
 
"Kuna watu wako Shambani kufanya mambo yetu shambani ".

Tanga (shamba)
Nyika (mbugani)

Pwani (Mwambao)

Mwambao ni sehemu waishiyo wenye Mashamba Nyikani.

Sasa Vibarua wa Shambani wameanza kulia lia nini?!

Wanamnung'unikia Mwenye shamba kufanya boresho la mapokezi ya Nyumbani kwake?

Waliolelewa kwa Pweza hawawezi endeshwa na waliolelewa kwa mihogo.

Aliyekulia mihogo akachangamka mrushie mkia wa Pweza, matako yatalia Mbwata - mbwata
 
Lakini kwenye Mkataba Waziri Mbarawa inaonekana ameghushi sahihi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kuna wino wa Kijani wa kalamu ya Waziri alafu hapo hapo kuna wino wa bluu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa katibu alipelekewa akaambiwa "saini hapaa", huku Mbalawa akigusagusa na peni yake ya kijani. Tena serikalini wakitaka kukutia presha basi wajuu yako anasaini mapema kabisa, alafu anaileta document mguu kwa mguu na haondoki hadi usaini. Unatakiwa kuwa mzalendo kwelikweli kukataa.

Lakini the fact kwamba pamoja na usiri wote bado kuna watu wameweza kufichua hili inaleta matumaini kidogo.
 
YANII hii nchi imelaaniwaa mpaka mwishoo, laana mpaka vizazi vya 200 hukooo.. kweli UNABINAFSISHA BANDARIIIIIIII? SERIOUS? ndo maana kagame iliwahii mdharau yule mzee kwa kumwambi mimi nipe bandari tu niendeshee hiyo nchii kiukweli hii idea nahisi yule mzee kampa mama...ameona ya bagamoyooo haitoshii sasa kaamia ya DAR.
 
State house wako buzy na Yanga mwezi mzima unategemea nchi isiliwe kiulaini? Nani ana mda wa kufuatilia madudu yanayofanywa na watumishi/watendaji wa serikali. Kila siku Yanga Yanga mara milion 5, 10, 20 mara ndege, mara GSM, mara Feitoto ndio maendeleo yanayozungumzwa kila kukicha. Hakuna mrejesho wa waliotafuna fedha za umma kama ripoti ya CAG ilivyoeleza ni kimya na kujificha kwenye kivuli cha mpira wa miguu wa Wakongo wa Yanga.
 
Rais anashauriwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwenye kila jambo la mikataba na sheria, sasa mkataba huu baina ya Tanzania na Dubai unaosambaa kwenye mitandaoni hauna sahihi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Suala la Bandari sio la Wizara moja ni suala la nchi haliwezi kuamuliwa kiwizara, watanzania tulitegemea kuona sahihi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali baada ya kuwa amesoma na kujiridhisha juu ya vipengele vya mkataba wa kuipa bandari Kampuni ya Dubai kwa muda usiojulikana kuendeleza na kuendesha bandari zote Tanzania za Baharini na maziwa makuu yote.

Maana yake ni bandari zetu ikiwemo Bandari ya Dar es Salaam, Mtwara, Tanga, Mwanza, Bukoba, Musoma, Kigoma, Karema, Itungi, Mbamba Bay, kwa ufupi ni bandari zote.

Kinachoonekana huu mkataba hauna Baraka ya Mwasheria Mkuu wa Serikali na ndio maana hakuna sahihi yake, watanzania wengi wanajiuliza Rais alijiridhisha kupitia mamlaka gani kwamba vipengele na masharti ya mkataba yako sawa na vimezingatia maslahi mapana ya nchi yetu hadi kuweka sahihi.

Kikatiba sina uhakika kama Rais ana mamlaka kusaini mkataba wa nchi na nchi kabla ya kulishirikisha Bunge katika hatua za awali, serikali ilikuwa na nafasi ya kulishirikisha Bunge katika hatua za awali kwa kuipeleka MOU bungeni ambayo ilikuwa na vipengele vyote muhimu vinavyokwenda kutumika kutengeneza mkataba.

Mkataba mkubwa wa nchi na nchi una kasoro kubwa upande wa Tanzania Waziri na Rais wamesaini kwa majina yao na vyeo vyao lakini kwa upande wa Katibu Mkuu amesaini bila kutaja jina la Katibu Mkuu lakini eneo la Katibu Mkuu unaona imetumika saini mbili moja ya wino wa kijani na nyingine wino wa bluu na hazijulikani saini hizo ni za kina nani?

Lakini kwa upande wa Dubai kwenye mkataba amesaini msimamizi wa bandari badala ya Rais wa nchi ya Dubai wala Waziri mwenye dhamana ya uchukuzi huko dubai kama ilivyokuwa kwa upande wetu wa Tanzania na akasaini mtu mmoja kwenye maeneo yote ya mkataba.

Ikumbukwe kuwa Mwansheria Mkuu wa Serikali ndiye Mshauri wa mwisho wa Sheria kwa Serikali kwenye mkataba huu hakuna sahihi yake.

Sheria ya Mamlaka ya Nchi kuhusiana na Umiliki wa Rasilimali na Maliasili ya Mwaka 2017 (The Natural Wealth and Resources (Permanent Soveveighty) Act, 2017) imezingatiwaje? Mwanasheria Mkuu angetusaidia hapo.

Lakini kwenye Mkataba Waziri Mbarawa inaonekana ameghushi sahihi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kuna wino wa Kijani wa kalamu ya Waziri alafu hapo hapo kuna wino wa bluu.

Lakini Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi ina Makatibu wakuu wawili Balozi Mhandisi Aisha Amour (Katibu Mkuu Ujenzi) na Bw. Gabriel J. Migire (Katibu Mkuu Uchukuzi) sasa kwenye mkataba huu aliyesaini sehemu ya Katibu Mkuu ni nani?

Nini Hatma ya Taifa letu…
Hawa watawala ni wa kuwatoa mapema kupiga kelele hizi hakusaidii they must go
 
Rais anashauriwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwenye kila jambo la mikataba na sheria, sasa mkataba huu baina ya Tanzania na Dubai unaosambaa kwenye mitandaoni hauna sahihi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Suala la Bandari sio la Wizara moja ni suala la nchi haliwezi kuamuliwa kiwizara, watanzania tulitegemea kuona sahihi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali baada ya kuwa amesoma na kujiridhisha juu ya vipengele vya mkataba wa kuipa bandari Kampuni ya Dubai kwa muda usiojulikana kuendeleza na kuendesha bandari zote Tanzania za Baharini na maziwa makuu yote.

Maana yake ni bandari zetu ikiwemo Bandari ya Dar es Salaam, Mtwara, Tanga, Mwanza, Bukoba, Musoma, Kigoma, Karema, Itungi, Mbamba Bay, kwa ufupi ni bandari zote.

Kinachoonekana huu mkataba hauna Baraka ya Mwasheria Mkuu wa Serikali na ndio maana hakuna sahihi yake, watanzania wengi wanajiuliza Rais alijiridhisha kupitia mamlaka gani kwamba vipengele na masharti ya mkataba yako sawa na vimezingatia maslahi mapana ya nchi yetu hadi kuweka sahihi.

Kikatiba sina uhakika kama Rais ana mamlaka kusaini mkataba wa nchi na nchi kabla ya kulishirikisha Bunge katika hatua za awali, serikali ilikuwa na nafasi ya kulishirikisha Bunge katika hatua za awali kwa kuipeleka MOU bungeni ambayo ilikuwa na vipengele vyote muhimu vinavyokwenda kutumika kutengeneza mkataba.

Mkataba mkubwa wa nchi na nchi una kasoro kubwa upande wa Tanzania Waziri na Rais wamesaini kwa majina yao na vyeo vyao lakini kwa upande wa Katibu Mkuu amesaini bila kutaja jina la Katibu Mkuu lakini eneo la Katibu Mkuu unaona imetumika saini mbili moja ya wino wa kijani na nyingine wino wa bluu na hazijulikani saini hizo ni za kina nani?

Lakini kwa upande wa Dubai kwenye mkataba amesaini msimamizi wa bandari badala ya Rais wa nchi ya Dubai wala Waziri mwenye dhamana ya uchukuzi huko dubai kama ilivyokuwa kwa upande wetu wa Tanzania na akasaini mtu mmoja kwenye maeneo yote ya mkataba.

Ikumbukwe kuwa Mwansheria Mkuu wa Serikali ndiye Mshauri wa mwisho wa Sheria kwa Serikali kwenye mkataba huu hakuna sahihi yake.

Sheria ya Mamlaka ya Nchi kuhusiana na Umiliki wa Rasilimali na Maliasili ya Mwaka 2017 (The Natural Wealth and Resources (Permanent Soveveighty) Act, 2017) imezingatiwaje? Mwanasheria Mkuu angetusaidia hapo.

Lakini kwenye Mkataba Waziri Mbarawa inaonekana ameghushi sahihi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kuna wino wa Kijani wa kalamu ya Waziri alafu hapo hapo kuna wino wa bluu.

Lakini Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi ina Makatibu wakuu wawili Balozi Mhandisi Aisha Amour (Katibu Mkuu Ujenzi) na Bw. Gabriel J. Migire (Katibu Mkuu Uchukuzi) sasa kwenye mkataba huu aliyesaini sehemu ya Katibu Mkuu ni nani?

Nini Hatma ya Taifa letu…
Hatima ya taifa letu ndugu mleta mada ipo kwa wanasiasa kwa sasa!
 
YANII hii nchi imelaaniwaa mpaka mwishoo mamaeeeee.....laana mpaka vizazi vya 200 hukooo.. kweli UNABINAFSISHA BANDARIIIIIIII???? SERIOUS????? ndo maana kagame iliwahii mdharau yule mzee kwa kumwambi mimi nipe bandari tu niendeshee hiyo nchii kiukweli hii idea nahisi yule mzee kampa mama...ameona ya bagamoyooo haitoshii sasa kaamia ya DAR.
Tamaa na ulafi zimewazidi na kuwatia ukichaa ambao kila wakiingia kwenye ofisi zao wanafikiria michongo ya wizi.
 
Rais anashauriwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwenye kila jambo la mikataba na sheria, sasa mkataba huu baina ya Tanzania na Dubai unaosambaa kwenye mitandaoni hauna sahihi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Suala la Bandari sio la Wizara moja ni suala la nchi haliwezi kuamuliwa kiwizara, watanzania tulitegemea kuona sahihi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali baada ya kuwa amesoma na kujiridhisha juu ya vipengele vya mkataba wa kuipa bandari Kampuni ya Dubai kwa muda usiojulikana kuendeleza na kuendesha bandari zote Tanzania za Baharini na maziwa makuu yote.

Maana yake ni bandari zetu ikiwemo Bandari ya Dar es Salaam, Mtwara, Tanga, Mwanza, Bukoba, Musoma, Kigoma, Karema, Itungi, Mbamba Bay, kwa ufupi ni bandari zote.

Kinachoonekana huu mkataba hauna Baraka ya Mwasheria Mkuu wa Serikali na ndio maana hakuna sahihi yake, watanzania wengi wanajiuliza Rais alijiridhisha kupitia mamlaka gani kwamba vipengele na masharti ya mkataba yako sawa na vimezingatia maslahi mapana ya nchi yetu hadi kuweka sahihi.

Kikatiba sina uhakika kama Rais ana mamlaka kusaini mkataba wa nchi na nchi kabla ya kulishirikisha Bunge katika hatua za awali, serikali ilikuwa na nafasi ya kulishirikisha Bunge katika hatua za awali kwa kuipeleka MOU bungeni ambayo ilikuwa na vipengele vyote muhimu vinavyokwenda kutumika kutengeneza mkataba.

Mkataba mkubwa wa nchi na nchi una kasoro kubwa upande wa Tanzania Waziri na Rais wamesaini kwa majina yao na vyeo vyao lakini kwa upande wa Katibu Mkuu amesaini bila kutaja jina la Katibu Mkuu lakini eneo la Katibu Mkuu unaona imetumika saini mbili moja ya wino wa kijani na nyingine wino wa bluu na hazijulikani saini hizo ni za kina nani?

Lakini kwa upande wa Dubai kwenye mkataba amesaini msimamizi wa bandari badala ya Rais wa nchi ya Dubai wala Waziri mwenye dhamana ya uchukuzi huko dubai kama ilivyokuwa kwa upande wetu wa Tanzania na akasaini mtu mmoja kwenye maeneo yote ya mkataba.

Ikumbukwe kuwa Mwansheria Mkuu wa Serikali ndiye Mshauri wa mwisho wa Sheria kwa Serikali kwenye mkataba huu hakuna sahihi yake.

Sheria ya Mamlaka ya Nchi kuhusiana na Umiliki wa Rasilimali na Maliasili ya Mwaka 2017 (The Natural Wealth and Resources (Permanent Soveveighty) Act, 2017) imezingatiwaje? Mwanasheria Mkuu angetusaidia hapo.

Lakini kwenye Mkataba Waziri Mbarawa inaonekana ameghushi sahihi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kuna wino wa Kijani wa kalamu ya Waziri alafu hapo hapo kuna wino wa bluu.

Lakini Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi ina Makatibu wakuu wawili Balozi Mhandisi Aisha Amour (Katibu Mkuu Ujenzi) na Bw. Gabriel J. Migire (Katibu Mkuu Uchukuzi) sasa kwenye mkataba huu aliyesaini sehemu ya Katibu Mkuu ni nani?

Nini Hatma ya Taifa letu…
hivi wewe muongo mkubwa mkataba wa kuuza bandari umeuona wapi?
 
Kama kuna michango ya pesa pia tujuzane
Hatutaki bandari yetu iuzwe
Niko tayari kushiriki maandamano
 
Kwani saini inatumia dakika ngapi mkuu je kama hii ilikuwa kabla haijasainiwa hujajiuliza yote hayo.
 
Rais anashauriwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwenye kila jambo la mikataba na sheria, sasa mkataba huu baina ya Tanzania na Dubai unaosambaa kwenye mitandaoni hauna sahihi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Suala la Bandari sio la Wizara moja ni suala la nchi haliwezi kuamuliwa kiwizara, watanzania tulitegemea kuona sahihi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali baada ya kuwa amesoma na kujiridhisha juu ya vipengele vya mkataba wa kuipa bandari Kampuni ya Dubai kwa muda usiojulikana kuendeleza na kuendesha bandari zote Tanzania za Baharini na maziwa makuu yote.

Maana yake ni bandari zetu ikiwemo Bandari ya Dar es Salaam, Mtwara, Tanga, Mwanza, Bukoba, Musoma, Kigoma, Karema, Itungi, Mbamba Bay, kwa ufupi ni bandari zote.

Kinachoonekana huu mkataba hauna Baraka ya Mwasheria Mkuu wa Serikali na ndio maana hakuna sahihi yake, watanzania wengi wanajiuliza Rais alijiridhisha kupitia mamlaka gani kwamba vipengele na masharti ya mkataba yako sawa na vimezingatia maslahi mapana ya nchi yetu hadi kuweka sahihi.

Kikatiba sina uhakika kama Rais ana mamlaka kusaini mkataba wa nchi na nchi kabla ya kulishirikisha Bunge katika hatua za awali, serikali ilikuwa na nafasi ya kulishirikisha Bunge katika hatua za awali kwa kuipeleka MOU bungeni ambayo ilikuwa na vipengele vyote muhimu vinavyokwenda kutumika kutengeneza mkataba.

Mkataba mkubwa wa nchi na nchi una kasoro kubwa upande wa Tanzania Waziri na Rais wamesaini kwa majina yao na vyeo vyao lakini kwa upande wa Katibu Mkuu amesaini bila kutaja jina la Katibu Mkuu lakini eneo la Katibu Mkuu unaona imetumika saini mbili moja ya wino wa kijani na nyingine wino wa bluu na hazijulikani saini hizo ni za kina nani?

Lakini kwa upande wa Dubai kwenye mkataba amesaini msimamizi wa bandari badala ya Rais wa nchi ya Dubai wala Waziri mwenye dhamana ya uchukuzi huko dubai kama ilivyokuwa kwa upande wetu wa Tanzania na akasaini mtu mmoja kwenye maeneo yote ya mkataba.

Ikumbukwe kuwa Mwansheria Mkuu wa Serikali ndiye Mshauri wa mwisho wa Sheria kwa Serikali kwenye mkataba huu hakuna sahihi yake.

Sheria ya Mamlaka ya Nchi kuhusiana na Umiliki wa Rasilimali na Maliasili ya Mwaka 2017 (The Natural Wealth and Resources (Permanent Soveveighty) Act, 2017) imezingatiwaje? Mwanasheria Mkuu angetusaidia hapo.

Lakini kwenye Mkataba Waziri Mbarawa inaonekana ameghushi sahihi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kuna wino wa Kijani wa kalamu ya Waziri alafu hapo hapo kuna wino wa bluu.

Lakini Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi ina Makatibu wakuu wawili Balozi Mhandisi Aisha Amour (Katibu Mkuu Ujenzi) na Bw. Gabriel J. Migire (Katibu Mkuu Uchukuzi) sasa kwenye mkataba huu aliyesaini sehemu ya Katibu Mkuu ni nani?

Nini Hatma ya Taifa letu…
Kwani mkataba upi ambao Huwa sahihi yake inakuwepo?
 
Mbarawa ni kama mwanasesere wa Samia, na Samia nae ni bahati mbaya tu, sijui tukimbilie wapi.

Kuna watu ni wakuwapa vifungo virefu sana gerezani nchi hii, bila kujali umri wao, wala jinsia, wanaongoza nchi kama wanatawala mbuzi.
Tiss ndio wanastahili hiki unachokisema..wao ndio main character wa hii drama, na wanaleta fujo hii ili kuficha kile hasa wamekuwa wanakifanya, kuingilia ingilia operations za mashirika ya serikali kwa interest zao. Sio kweli kwamba ni vigumu kupata kampuni nzuri kuendesha bandari..lakini kwa vile wametaka kumislead mjadala wamemleta DP kutoka Dubai mwenye maskendo ya rushwa ili kuonyesha upande hasi wa kupata kampuni ya nje kuendesha bandari..kwa nini DP, wamempataje, kwani yuko huyo tu.. dawa ya haya mambo ni katiba mpya kupunguza mamlaka ya viongozi na kuweka checks and balance kwenye governance.
Kwa wanaotaka kuandamana, bora kuandamana Tiss ifanyiwe reforms kuliko maandamano kupinga bandari kupewa DP dubai waendeshe.
Mbarawa hana matatizo, is good and genuine person.
 
Back
Top Bottom