Mwanasheria wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Mohamed Salum amesema mkataba baada ya kusainiwa Oktoba 25, 2022 ulipelekwa Bungeni Februari 2023 kwa ajili ya hatua za uridhiwaji ambapo alisisitiza kuwa kabla ya Azimio halijapelekwa Bungeni lilipitiwa na Mfumo mzima wa Serikali ambao ni Wakurugenzi wote wa Sera na Mipango (DPP) kutoka Wizara zote, Makatibu Wakuu wote wa wizara zote chini ya mwenyekiti wao Katibu Mkuu Kiongozi (CS) na Baraza la Mawaziri ambapo Rais ndiye Mwenyekiti ambapo wote kwa pamoja waliridhia mkataba huo kwenda Bungeni.
Mwanasheria wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Mohamed Salum
Mwanasheria wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Mohamed Salum