Kwanini hivi jamani...

Ndo hivyo mkuu,ila mie humu napaogopa kama ukoma,sjawahi mtongoza mtu wala sina matarajio hayo,nipo JF kubadilishana mawazo,kupata habari motomoto,kujifunza mambo mapya,kupiga soga na kutoa maoni yangu baas,mambo ya wachumba labda itokee tu mchuchu aamue kunitunuku na nijithibishie without rizonabo doubt kuwa siingii mkenge.
Mzee wengine tumetumwa kutongoza JF.... huwanajitahidi basi angalau kwa week nitongoze 5 hapo randomly nitachezea vya mbavu vi3 vi2 nitakubaliwa.
 
kile kikristo cha Karucee sijawahi hata kumfikiria sijui hata pa kuanzia
najua no zitakua nyingi sitaki tabu
Unajua bana, kipindi cha nyuma I used to think kwamba JF couples ni just a big online joke. So I played along.

Kuja kugundua its actually real na watu wanakutan a wanafall in love na wanaachana. Hapo ikabidi nipige u-turn.

I am a married woman with two kids. I cannot afford to play such dangerous games.

So nikiona PM zaidi ya salamu and bye bye I just ignore and if they persist I ask them politely to back off.
 
Mzee wengine tumetumwa kutongoza JF.... huwanajitahidi basi angalau kwa week nitongoze 5 hapo randomly nitachezea vya mbavu vi3 vi2 nitakubaliwa.
hahah hapo unacheza na hesabu za probability,kila la kheri mkuu,different strokes for different folks.mie ni mhafidhina kwenye maswala ya kutongozana,kama sjamuona live ama picha zake (tena nkahakikisha ni za kwake kweli) bas siwezi kumtongoza hata siku moja.
 
Tchaaaa

Kumbe huko piemu kuna mambo mazito
Huyu kaka ni mnafiki.
Ukisoma ule Uzi wake ndiyo malumbano ya Jana kati ya cute b na mhenga mwenzetu rubii kupamba moto.
Alitoa siri pm na kwenye kuwasilisha akawasilisha kana kwamba cute na Raimundo ni wapenzi. ( baadae akasema siyo wapenzi) rubii bila kujua akamwita cute wifi . vita ikaanza.
Sasa hapo ni wazi licha ya unafiki pia ni mchochezi.
Cc maserati.
Shost huku umeme umekatika movie na watch hapaaaa

Mkuu huyu ni zaidi ya muuaji.
Utatoaje siri za watu za pm kama siyo ushankupeee?
Basi toa usisema nani amesema .
Eti cute b alinifuata pm akaniambia hivi na hivi ......shwain.
Na kujidai anajiondoa jf ...
Hata kama Nyani Ngabu nikaja kukuambia unasukiwa njama za kuuwawa.. Wewe kwa nini unitaje mimi nimesema?
Halafu mnafiki wa kutupwa kwa nini aliyoyasema yeye hakuyaandika.?
Daby wewe ni mnafiki

Sent using Jamii Forums mobile app

hili halikuwa na maana kwenye kuweka sawa nilichoweka. Ni zamu yako kusema... na niwanafiki walininafikia kwangu lipo wazi.

Daby ni mbeya kwa lipi? Labda kwa tafsiri yako akilini mwako na sio akilini mwangu. Pm nilikuita au uliniita? Nani mbeya kati yangu na wewe. Uliyeniletea taarifa za uongo au niliyesema ukweli.



Nani kasema alishutumiwa kwa ajili yako. Ulikuja kusema mtuhumiwa atakuwa na press cha Ajabu hakutokea na watu walikuwa wanasubiri. Sasa huoni ulikuwa na cha kujibu? Ulitoa feedback gani baada ya mtuhumiwa kutokuja?



Huruma za nani? Ili iweje? Kuna wa kunihurumia humu? Naona hauna pointi zaidi ya kulalamika kutajwa palipostahili wewe kutajwa.

namna ipi? Namna zako na namna zangu ni lazima ziwe sawa ili iweje? Na wewe una namna yako ya kujitetea jitetee.

Siri ulitoa maana uliandika ulichoambiwa pm. Kingekuwa siyo siri angekuambia kwenye Uzi.
Wewe ni sababu kubwa ya hayo mambo kutokuisha hadi Leo kwa sababu mods walifuta nyuzi zote wewe ukafukua mpya. Na ugomvi wa cute b na rubii ndiyo ulianzia pale.
Pata ukweli shushia na Pepsi.

Mbona haukuandika kwamba "na Mimi nikamwambia Fulani na Fulani ni wanafiki sana"? Mbona hicho haukukiandika kwenye Uzi wako.?
Daby wewe na mbea na hiyo ndiyo fact.
Kwanza kumbuka Mimi nilikuja jf nikakuta tayari wewe ni MSHUTUMIWA na wala siyo kwa sababu yangu ulishutumiwa.
Aje asije haihusiani na wewe kutoa pm za siri na kwenda kuzipachika kwenye Uzi wako kutafuta huruma za wana jf..
Haya hizo huruma ulizipata?
Na Leo unaandika hapa utoko tuu.
" eti mvujisha siri na mvujishiwa wote matahira"
Ulikuwa na namna ya kujitetea bila kuanza kusema hata Fulani alisema hivi.. Pambana na hali yako ndiyo uanaume huo.
Huu Uzi una kuhusu wewe 100 percent.
Dada Gen asante..

Sent using Jamii Forums mobile app

Umbea gani mnanishika? Wewe ndiyo mnafiki unashindwa kuonyesha unafiki Wa Daby.

Siri zipi nilitoa au unaandika tu ilimradi umeandika? Kumwambia mtu fulani anakuja kujitetea nazo ni siri?

Kumbe uzi wa Daby uliusoma eeh. Haya msomaji wa Nyuzi zangu.

Umenifanya nikafuatilie convs zetu kisha nirudi. Ni kweli nilivujisha. Hizo zilikuwa tuhuma and JF public talk. Ukaniahidi mtetewa atajitokeza umeshakubaliana naye ila kumbe hatokei.





And I was not going to reveal that.



Niliongea vingi tu ikiwemo wanawake waliokuwa wananinafikia humu na ndicho kilichopelekea nikafungue uzi ili waje wathibitishe walichokuwa wanaongea kuhusu mimi.

Labda ndiyo hicho au kuna kingine maana sikutoka nje ya mada.


Unao uhuru wa kuuliza just go on
 
jf ilkuwa zaman..sisi wakongwe tunajua..zaman ilikuwa poa sana..nasafiti toka mbeya mpaka arusha kwenda kuhudhulia haruso ya mwanajf..tunachangiana michango..tunachoma nyama nk...na yote yalifanyika bika kusemana vibaya..
leochii jf imejaa wambea na watafuta sifa..malaya wote wamejaa hapa..
mxiuuuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom