Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,732
Mzee wengine tumetumwa kutongoza JF.... huwanajitahidi basi angalau kwa week nitongoze 5 hapo randomly nitachezea vya mbavu vi3 vi2 nitakubaliwa.Ndo hivyo mkuu,ila mie humu napaogopa kama ukoma,sjawahi mtongoza mtu wala sina matarajio hayo,nipo JF kubadilishana mawazo,kupata habari motomoto,kujifunza mambo mapya,kupiga soga na kutoa maoni yangu baas,mambo ya wachumba labda itokee tu mchuchu aamue kunitunuku na nijithibishie without rizonabo doubt kuwa siingii mkenge.