Kwanini hivi jamani...

Kwanini hivi jamani...

Hakuna jipya chini ya anga la sayansi na teknolojia..... Uchague kusuka au kunyoa na kama kunyoa lazima uchague mtindo sawa na kusuka pia...
 
Tatizo wanashindwa kutafautisha kati ya forum na sosho netwek ka ma fb na insta,JamiiFORUM sio sawa na whatsapp group,mbona enzi za kuanzia 2006-2012 haya mazoea mazoea ya ajabu hayakuwepo,sie tunaojimwayamwaya majukwaani bila kuleta mazoea na kujuanajuana mnatuona mafala eeh?.ngoja mpaka siku nudes za mtu ziwekwe humu ndo mtapata akili
 
jf ilkuwa zaman..sisi wakongwe tunajua..zaman ilikuwa poa sana..nasafiti toka mbeya mpaka arusha kwenda kuhudhulia haruso ya mwanajf..tunachangiana michango..tunachoma nyama nk...na yote yalifanyika bika kusemana vibaya..
leochii jf imejaa wambea na watafuta sifa..malaya wote wamejaa hapa..
mxiuuuuu
 
Tatizo wanashindwa kutafautisha kati ya forum na sosho netwek ka ma fb na insta,JamiiFORUM sio sawa na whatsapp group,mbona enzi za kuanzia 2006-2012 haya mazoea mazoea ya ajabu hayakuwepo,sie tunaojimwayamwaya majukwaani bila kuleta mazoea na kujuanajuana mnatuona mafala eeh?.ngoja mpaka siku nudes za mtu ziwekwe humu ndo mtapata akili
miaka ya nyuma huko jf ilikuwa ni full heshima..siki hiz wanaojielwqa hawachangii kama zamana maana mada za kitoto na uongo ni kipenda sifa..zaman ilikiwa loa sana ...si kwamba haya mambo ya kutongozana haya kuwepo yalokuqwpo ila staha na heshima vilitawala..
 
Aigooo..chatting zisikudanganye ndugu, Kuna watu wengine hawafanani kabisa na chatting zao. Unaweza ona mtu anacomment kichungaji ukasema mtu si ndio huyu? Hatari sana sheikh
We binti umeongea boooonge moja la pointi,kama vipi fika dukani uchukue Samsung S8 plus nakuja kulipia sasa hivi.
 
Tatizo wanashindwa kutafautisha kati ya forum na sosho netwek ka ma fb na insta,JamiiFORUM sio sawa na whatsapp group,mbona enzi za kuanzia 2006-2012 haya mazoea mazoea ya ajabu hayakuwepo,sie tunaojimwayamwaya majukwaani bila kuleta mazoea na kujuanajuana mnatuona mafala eeh?.ngoja mpaka siku nudes za mtu ziwekwe humu ndo mtapata akili
Mkuu kwa hiyo ulikuepo tangu hiyo 2006?
 
Back
Top Bottom