Kwanini hivi jamani...

Kwanini hivi jamani...

Kujifunza namna ya kuishi na watu .. dawa low profile akufukunyue asikupate vilivyo..

Usipoteze muda ukishaona rangi nyekundu.

Usipende kujadili wenzio kama wewe hupendi kujadiliwa ..

Acha kutaka kujua wanasema nini juu yako hayakuhusu.

Mtu akileta person issue kwenye jukwaa mfuate pm mweleze hutaki shobo za kisengerema...

Akijadili person issue hakuna haja ya kujibu ni kumuignore tu akiendelea mtie kwenye ignore list usione na wala asikuone..

Maisha mafupi sana dili na maisha yako hayamuhusu mtu ishi utakavyo na si kama watavyo.. huwezi ridhisha dunia but play your part .
Una akili saana
Miss mchaga.
 
Mimi naona kikubwa ni kuheshimiana.
Sidhani kama mtu unaweza ukaonana nae mkawa na mahusiano mkaheshimiana halafu baadae mje mtangazane.
Tatizo lazima mmoja aanze kumchokoza mwenzake... Na kumwonyeshea dharau za wazi..
Sasa geniveros unadhani mtu atamalizaje hasira yake bila kuandika madhaifu yako na wewe?
Mimi Mtu nikishakuwa na mawasiliano naye hata nikikuta anatukanwa mahali napita kama sioni.
Kwa sababu nikichangia lazima atachukia na akichukia kama ana udhaifu wangu atauleta tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
kweli lakini
cha msingi tuheshimiane tu kama tumevuana nguo tusidharauliane maana dharau ndo tatizo linaloamsha hasira

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
Ni kweli mtu akikufuata pm amekuamini. Hivyo na wewe mfuatwa unapaswa utunze siri.
But ile siku wewe ulivujisha pm yangu.
Umenifanya nikafuatilie convs zetu kisha nirudi. Ni kweli nilivujisha. Hizo zilikuwa tuhuma and JF public talk. Ukaniahidi mtetewa atajitokeza umeshakubaliana naye ila kumbe hatokei.




Nashukuru Mungu kwamba sikuandika cha kutisha wala sikumsema mtu sijui ningeficha wapi sura yangu.
And I was not going to reveal that.


Hivi unakumbuka pia kuna vitu uliongea na wewe? Haukuviandika mbona.?
Niliongea vingi tu ikiwemo wanawake waliokuwa wananinafikia humu na ndicho kilichopelekea nikafungue uzi ili waje wathibitishe walichokuwa wanaongea kuhusu mimi.

Labda ndiyo hicho au kuna kingine maana sikutoka nje ya mada.

Hata hivyo nimeshindwa kujizuia kukuuliza hili.
sumbai unisamehe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unao uhuru wa kuuliza just go on
 
Ni kweli mtu akikufuata pm amekuamini. Hivyo na wewe mfuatwa unapaswa utunze siri.
But ile siku wewe ulivujisha pm yangu.
Nashukuru Mungu kwamba sikuandika cha kutisha wala sikumsema mtu sijui ningeficha wapi sura yangu.
Hivi unakumbuka pia kuna vitu uliongea na wewe? Haukuviandika mbona.?
Hata hivyo nimeshindwa kujizuia kukuuliza hili.
sumbai unisamehe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Another series.
Unafiki haujawahi kumwacha Mtu salama. Kwenye ule Uzi wa daby wa kujitetea niliona anajitetea kwa kutoa siri za watu za pm.
Halafu Leo anaandika upupu.
Ubuyu hahaha Leo naweka kijiwe hapa mtu anashikwa umbea.
Episode imeanza...
Kwanza mvujisha taarifa na mvujishwaaji wa hizo taarifa wanatakiwa wajitathimini wote. Wengi wao huwa ni matahira wote.

Mtu mwenye busara atatongoza mwenye busara. Asiye na busara mara nyingi atatongoza matahira wenzake.

Wewe mwanamke/mwanamme unashindwa kumsoma mtu hata kwenye chatting. Basi za jukwaani umeshindwa je za pm. Au ukishafika pm haraka haraka mnapeana location na namba mambo yamekwisha.
 
Hapa tatizo kila mtu ataziponda hizo tabia na kuweka taswira kuwa yeye hanazo ila wengine ndo wanazo.

It's life!
Ila Mimi mkuu nimeshindwa kuelewa kitu Fulani hivi.

Baada ya kuufatilia huu Uzi vizuri.

Mbona watu wanaichukia tabia ya Ku expose mambo ya pm Ila still wana expose wanayokutana nayo huko pm.

Aiseeee.....! Au kuna ya kuwa exposed na yasioyotakiwa kuwa exposed.???

Kama mtu anaweza kuexpose kusema anasalimiwa deile

Mwingine anaexpose Fulani ana pua nyeupe

Mbona hapa naona ngoma droo.

Anyway we can't solve problem by the same level of thinking.
 
Ila Mimi mkuu nimeshindwa kuelewa kitu Fulani hivi.

Baada ya kuufatilia huu Uzi vizuri.

Mbona watu wanaichukia tabia ya Ku expose mambo ya pm Ila still wana expose wanayokutana nayo huko pm.

Aiseeee.....! Au kuna ya kuwa exposed na yasioyotakiwa kuwa exposed.???

Kama mtu anaweza kuexpose kusema anasalimiwa deile

Mwingine anaexpose Fulani ana pua nyeupe

Mbona hapa naona ngoma droo.

Anyway we can't solve problem by the same level of thinking.
Hahahaa....such is life.

It's always someone else's fault and not yours.
 
Another series.
Unafiki haujawahi kumwacha Mtu salama. Kwenye ule Uzi wa daby wa kujitetea niliona anajitetea kwa kutoa siri za watu za pm.
Halafu Leo anaandika upupu.
Ubuyu hahaha Leo naweka kijiwe hapa mtu anashikwa umbea.
Episode imeanza...
geniveros Shunie huyu muhenga hajawahi muacha mtu salama

dark angel hebu nitag huko
 
Back
Top Bottom