Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
I cnt wait for that day...namm napenda hapahapa ili watu waheshimu mali zanguTeh teh..siku ya live tutaambiana hapa hapa. Just wait and see.
I cnt wait for that day...namm napenda hapahapa ili watu waheshimu mali zanguTeh teh..siku ya live tutaambiana hapa hapa. Just wait and see.
Oooooh!! Basi hamna tatizo madam.upo kabisa hiyo namna naomba tuifanye tuijenge familia imara kabisaa...
halafu usimpelekeshe sana shemeji yangu
tunajenga ukoo tichaaa
wasiwasi wako nini...
Kwanza shost nikwambie humu wanaume wazuri wa jf wa kuhesabu ,,,wengine hovyo hovyo sura ngumu kama wasira,wengine ukiwaona vibaka si vibaka hahahaha,vingine vitotomimi sijawahi kukutana na watu wa aina hii
ila wapo humuhumu na tunasikia malalamiko kila siku ya watu na wengine wanapeana makavu live![]()
![]()
Hata hapa unaweza kuibiwa.. Teh teh teh..chunga mali yako!I cnt wait for that day...namm napenda hapahapa ili watu waheshimu mali zangu
Kaizer... mwingine huyu hapa naona kama anatufaaBado wewe kuwekwa kati![]()
Hapana, undugu siwezi kuuzia. Ila huo ushemeji ndio umanitia mashaka!!au hutaki udugu uendelee![]()
![]()
![]()
![]()
hao niliokutana nao mimi wazurii balaaKwanza shost nikwambie humu wanaume wazuri wa jf wa kuhesabu ,,,wengine hovyo hovyo sura ngumu kama wasira,wengine ukiwaona vibaka si vibaka hahahaha,vingine vitoto
Muwe makini shoga zangu
...!!!Mali huibiwa kama zimetaka kuibiwa si vinginevyoHata hapa unaweza kuibiwa.. Teh teh teh..chunga mali yako!
Wivu muhimu, ndio upendo wenyewe huo.una wivu sana mpk kwa mashemeji zako!!!
Pambana na hali yakoMs. Lincoln atakuja kunisaidia hapa
Naona unataka kurogwa... so burehuo wivu..wa kiwango cha standard gauge...!!!
muambie mimi ni mjengezi mwenziee...
Siku jifanye kama umesahau vile....ndipo utaiona nguvu ya Shan na comp yakeniliowatongoza wakija hapa si jukwaa litajaa?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent from Kiwatengu 7 using jamiiforums app
Bahati mbaya siku moja box za pm zifunguke jukwaani kwa kila member...aiseee nadhani watu siku hiyo wapo watakaokunywa sumu kabisa.Ndo hivyo wifii hata wakikulana pia