Ngoja nichaji simu nadhani nitakuwa humu kwa muda sana
W/end muwe mnaleta mambo haya jamani nasikia rahaaaa

I see you.Mkuu huyu ni zaidi ya muuaji.Duh!
Sisteri naona una hasira naye kweli jamaa.
Cc DabyHapa tatizo kila mtu ataziponda hizo tabia na kuweka taswira kuwa yeye hanazo ila wengine ndo wanazo.
It's life!
Mwaga maneno mama
😀😀😀Mkuu mbuzi kufia kwa muuza supu sio kosa...
Huyu kaka ni mnafiki.
Ukisoma ule Uzi wake ndiyo malumbano ya Jana kati ya cute b na mhenga mwenzetu rubii kupamba moto.
Alitoa siri pm na kwenye kuwasilisha akawasilisha kana kwamba cute na Raimundo ni wapenzi. ( baadae akasema siyo wapenzi) rubii bila kujua akamwita cute wifi . vita ikaanza.
Sasa hapo ni wazi licha ya unafiki pia ni mchochezi.
Cc maserati.
Shost huku umeme umekatika movie na watch hapaaaa
ya leo kali mhenga wewee...ni wa kwenye matukio tuu!!!mhimu tuuWw ni kabila gani?Huyu kaka ni mnafiki.
Ukisoma ule Uzi wake ndiyo malumbano ya Jana kati ya cute b na mhenga mwenzetu rubii kupamba moto.
Alitoa siri pm na kwenye kuwasilisha akawasilisha kana kwamba cute na Raimundo ni wapenzi. ( baadae akasema siyo wapenzi) rubii bila kujua akamwita cute wifi . vita ikaanza.
Sasa hapo ni wazi licha ya unafiki pia ni mchochezi.
Cc maserati.
Shost huku umeme umekatika movie na watch hapaaaa
Hao hao wanaopiga Vita ni wa kuchunguzwa.Ila Mimi mkuu nimeshindwa kuelewa kitu Fulani hivi.
Baada ya kuufatilia huu Uzi vizuri.
Mbona watu wanaichukia tabia ya Ku expose mambo ya pm Ila still wana expose wanayokutana nayo huko pm.
Aiseeee.....! Au kuna ya kuwa exposed na yasioyotakiwa kuwa exposed.???
Kama mtu anaweza kuexpose kusema anasalimiwa deile
Mwingine anaexpose Fulani ana pua nyeupe
Mbona hapa naona ngoma droo.
Anyway we can't solve problem by the same level of thinking.
Asalalaleeeeeeeeee!!!!Siri ulitoa maana uliandika ulichoambiwa pm. Kingekuwa siyo siri angekuambia kwenye Uzi.
Wewe ni sababu kubwa ya hayo mambo kutokuisha hadi Leo kwa sababu mods walifuta nyuzi zote wewe ukafukua mpya. Na ugomvi wa cute b na rubii ndiyo ulianzia pale.
Pata ukweli shushia na Pepsi.
kwa uwezo wako wa un'gamuzi eeh... then you're right.Huyu kaka ni mnafiki.
Daby aanzishe uzi walumbane wengine... hii kali ya mwakaUkisoma ule Uzi wake ndiyo malumbano ya Jana kati ya cute b na mhenga mwenzetu rubii kupamba moto.
Kama haujui kitu uliza hata kwenye groups zenu za whatsap. Mwenzako alihusishwa na Raimundo uzi wa kwanza kabisa labda hapa unapaka rangi tu.Alitoa siri pm na kwenye kuwasilisha akawasilisha kana kwamba cute na Raimundo ni wapenzi. ( baadae akasema siyo wapenzi) rubii bila kujua akamwita cute wifi.
Kweli nitakuwa mchochezi wa kumbukumbu za Dunia mimi kuanzisha uzi halafu watu nisiajuana nao angalau pm wagombane kwa uzi wangu.vita ikaanza.
Sasa hapo ni wazi licha ya unafiki pia ni mchochezi.
Cc maserati.
Shost huku umeme umekatika movie na watch hapaaaa
Nimeshindwa hadi kunyonyesha mtoto kwa umbeya, kuna mambo humu ntarudi kusoma taratibu na karanga za dimondo pembeni geniveros waambie ndugu zako wasiufunge huu uzi.
my angelita kwani honeymoon tayari usharudii...?!!!Ohoooo...@Shunie@Maserati
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Hapa leo aliyeua nae auwawe...![]()
![]()
![]()
![]()
Hapa n ku refreshi tu uz mzee
Mwenzang bundle n lile la
Halichach![]()
![]()
![]()
[Color= yellow]Triple A[/color]