Kwanini hivi jamani...

Kwanini hivi jamani...

Ila Mimi mkuu nimeshindwa kuelewa kitu Fulani hivi.

Baada ya kuufatilia huu Uzi vizuri.

Mbona watu wanaichukia tabia ya Ku expose mambo ya pm Ila still wana expose wanayokutana nayo huko pm.

Aiseeee.....! Au kuna ya kuwa exposed na yasioyotakiwa kuwa exposed.???

Kama mtu anaweza kuexpose kusema anasalimiwa deile

Mwingine anaexpose Fulani ana pua nyeupe

Mbona hapa naona ngoma droo.

Anyway we can't solve problem by the same level of thinking.
mimi kwa kweli naheshimu sana PM

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
Another series.
Unafiki haujawahi kumwacha Mtu salama. Kwenye ule Uzi wa daby wa kujitetea niliona anajitetea kwa kutoa siri za watu za pm.
Halafu Leo anaandika upupu.
Ubuyu hahaha Leo naweka kijiwe hapa mtu anashikwa umbea.
Episode imeanza...
Umbea gani mnanishika? Wewe ndiyo mnafiki unashindwa kuonyesha unafiki Wa Daby.

Siri zipi nilitoa au unaandika tu ilimradi umeandika? Kumwambia mtu fulani anakuja kujitetea nazo ni siri?

Kumbe uzi wa Daby uliusoma eeh. Haya msomaji wa Nyuzi zangu.
 
Umenifanya nikafuatilie convs zetu kisha nirudi. Ni kweli nilivujisha. Hizo zilikuwa tuhuma and JF public talk. Ukaniahidi mtetewa atajitokeza umeshakubaliana naye ila kumbe hatokei.





And I was not going to reveal that.



Niliongea vingi tu ikiwemo wanawake waliokuwa wananinafikia humu na ndicho kilichopelekea nikafungue uzi ili waje wathibitishe walichokuwa wanaongea kuhusu mimi.

Labda ndiyo hicho au kuna kingine maana sikutoka nje ya mada.


Unao uhuru wa kuuliza just go on
Mbona haukuandika kwamba "na Mimi nikamwambia Fulani na Fulani ni wanafiki sana"? Mbona hicho haukukiandika kwenye Uzi wako.?
Daby wewe na mbea na hiyo ndiyo fact.
Kwanza kumbuka Mimi nilikuja jf nikakuta tayari wewe ni MSHUTUMIWA na wala siyo kwa sababu yangu ulishutumiwa.
Aje asije haihusiani na wewe kutoa pm za siri na kwenda kuzipachika kwenye Uzi wako kutafuta huruma za wana jf..
Haya hizo huruma ulizipata?
Na Leo unaandika hapa utoko tuu.
" eti mvujisha siri na mvujishiwa wote matahira"
Ulikuwa na namna ya kujitetea bila kuanza kusema hata Fulani alisema hivi.. Pambana na hali yako ndiyo uanaume huo.
Huu Uzi una kuhusu wewe 100 percent.
Dada Gen asante..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona haukuandika kwamba "na Mimi nikamwambia Fulani na Fulani ni wanafiki sana"? Mbona hicho haukukiandika kwenye Uzi wako.?
Daby wewe na mbea na hiyo ndiyo fact.
Kwanza kumbuka Mimi nilikuja jf nikakuta tayari wewe ni MSHUTUMIWA na wala siyo kwa sababu yangu ulishutumiwa.
Aje asije haihusiani na wewe kutoa pm za siri na kwenda kuzipachika kwenye Uzi wako kutafuta huruma za wana jf..
Haya hizo huruma ulizipata?
Na Leo unaandika hapa utoko tuu.
" eti mvujisha siri na mvujishiwa wote matahira"
Ulikuwa na namna ya kujitetea bila kuanza kusema hata Fulani alisema hivi.. Pambana na hali yako ndiyo uanaume huo.
Huu Uzi una kuhusu wewe 100 percent.
Dada Gen asante..

Sent using Jamii Forums mobile app

Duh!

Sisteri naona una hasira naye kweli jamaa.
 
Mbona haukuandika kwamba "na Mimi nikamwambia Fulani na Fulani ni wanafiki sana"? Mbona hicho haukukiandika kwenye Uzi wako.?
Daby wewe na mbea na hiyo ndiyo fact.
Kwanza kumbuka Mimi nilikuja jf nikakuta tayari wewe ni MSHUTUMIWA na wala siyo kwa sababu yangu ulishutumiwa.
Aje asije haihusiani na wewe kutoa pm za siri na kwenda kuzipachika kwenye Uzi wako kutafuta huruma za wana jf..
Haya hizo huruma ulizipata?
Na Leo unaandika hapa utoko tuu.
" eti mvujisha siri na mvujishiwa wote matahira"
Ulikuwa na namna ya kujitetea bila kuanza kusema hata Fulani alisema hivi.. Pambana na hali yako ndiyo uanaume huo.
Huu Uzi una kuhusu wewe 100 percent.
Dada Gen asante..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ohoooo...@Shunie@Maserati

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
Umbea gani mnanishika? Wewe ndiyo mnafiki unashindwa kuonyesha unafiki Wa Daby.

Siri zipi nilitoa au unaandika tu ilimradi umeandika? Kumwambia mtu fulani anakuja kujitetea nazo ni siri?

Kumbe uzi wa Daby uliusoma eeh. Haya msomaji wa Nyuzi zangu.
Siri ulitoa maana uliandika ulichoambiwa pm. Kingekuwa siyo siri angekuambia kwenye Uzi.
Wewe ni sababu kubwa ya hayo mambo kutokuisha hadi Leo kwa sababu mods walifuta nyuzi zote wewe ukafukua mpya. Na ugomvi wa cute b na rubii ndiyo ulianzia pale.
Pata ukweli shushia na Pepsi.
 
Siri ulitoa maana uliandika ulichoambiwa pm. Kingekuwa siyo siri angekuambia kwenye Uzi.
Wewe ni sababu kubwa ya hayo mambo kutokuisha hadi Leo kwa sababu mods walifuta nyuzi zote wewe ukafukua mpya. Na ugomvi wa cute b na rubii ndiyo ulianzia pale.
Pata ukweli shushia na Pepsi.
Mwaga maneno mama
 
Mbona haukuandika kwamba "na Mimi nikamwambia Fulani na Fulani ni wanafiki sana"?
hili halikuwa na maana kwenye kuweka sawa nilichoweka. Ni zamu yako kusema... na niwanafiki walininafikia kwangu lipo wazi.

Mbona hicho haukukiandika kwenye Uzi wako.?
Daby wewe na mbea na hiyo ndiyo fact.
Daby ni mbeya kwa lipi? Labda kwa tafsiri yako akilini mwako na sio akilini mwangu. Pm nilikuita au uliniita? Nani mbeya kati yangu na wewe. Uliyeniletea taarifa za uongo au niliyesema ukweli.



Kwanza kumbuka Mimi nilikuja jf nikakuta tayari wewe ni MSHUTUMIWA na wala siyo kwa sababu yangu ulishutumiwa.
Aje asije haihusiani na wewe kutoa pm za siri na kwenda kuzipachika kwenye Uzi wako kutafuta huruma za wana jf..
Nani kasema alishutumiwa kwa ajili yako. Ulikuja kusema mtuhumiwa atakuwa na press cha Ajabu hakutokea na watu walikuwa wanasubiri. Sasa huoni ulikuwa na cha kujibu? Ulitoa feedback gani baada ya mtuhumiwa kutokuja?


Haya hizo huruma ulizipata?
Na Leo unaandika hapa utoko tuu.
" eti mvujisha siri na mvujishiwa wote matahira"
Huruma za nani? Ili iweje? Kuna wa kunihurumia humu? Naona hauna pointi zaidi ya kulalamika kutajwa palipostahili wewe kutajwa.

Ulikuwa na namna ya kujitetea bila kuanza kusema hata Fulani alisema hivi.. Pambana na hali yako ndiyo uanaume huo.
Huu Uzi una kuhusu wewe 100 percent.
Dada Gen asante..
namna ipi? Namna zako na namna zangu ni lazima ziwe sawa ili iweje? Na wewe una namna yako ya kujitetea jitetee.
 
Siri ulitoa maana uliandika ulichoambiwa pm. Kingekuwa siyo siri angekuambia kwenye Uzi.
Wewe ni sababu kubwa ya hayo mambo kutokuisha hadi Leo kwa sababu mods walifuta nyuzi zote wewe ukafukua mpya. Na ugomvi wa cute b na rubii ndiyo ulianzia pale.
Pata ukweli shushia na Pepsi.
Hii ni fallacy. Asante kwa kuqoute
 
geniveros Shunie huyu muhenga hajawahi muacha mtu salama

dark angel hebu nitag huko
Huyu kaka ni mnafiki.
Ukisoma ule Uzi wake ndiyo malumbano ya Jana kati ya cute b na mhenga mwenzetu rubii kupamba moto.
Alitoa siri pm na kwenye kuwasilisha akawasilisha kana kwamba cute na Raimundo ni wapenzi. ( baadae akasema siyo wapenzi) rubii bila kujua akamwita cute wifi . vita ikaanza.
Sasa hapo ni wazi licha ya unafiki pia ni mchochezi.
Cc maserati.
Shost huku umeme umekatika movie na watch hapaaaa
 
Back
Top Bottom