Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,352
Kagame yule pale anaua watu kila siku ila huwezi sikia wakimpigia kelele unajua kwanjni .
Anawapa wanachotaka siku akiacha ndio utawasikia.
American interests.
Laiti Iraq isingekuwa na mafuta marekani Wala asingejisumbua kuivamia .
Kainyonya wewe Sasa anasepa
Anawapa wanachotaka siku akiacha ndio utawasikia.
American interests.
Laiti Iraq isingekuwa na mafuta marekani Wala asingejisumbua kuivamia .
Kainyonya wewe Sasa anasepa