Kwanini Bado una namba ya EX wako?

Kwanini Bado una namba ya EX wako?

Na kipondo juu😂

Kuna jamaa yangu mmoja, yeye ilikuwa ikifika muda wa kulipa ada, sio matusi yale anatukanwa. Simu kila muda. Nikamwambia, mwanangu utapata ugonjwa wa moyo. Peleka mtoto shule unayoweza imudu, usipangiwe shule ya mamilioni na mama wa mtoto, hataki usilipe ada, tia msimamo.
Ilibidi mtoto apelekwe shule ya chini kidogo mshikaji anayomudu. 😊
 
Kuna jamaa yangu mmoja, yeye ilikuwa ikifika muda wa kulipa ada, sio matusi yale anatukanwa. Simu kila muda. Nikamwambia, mwanangu utapata ugonjwa wa moyo. Peleka mtoto shule unayoweza imudu, usipangiwe shule ya mamilioni na mama wa mtoto, hataki usilipe ada, tia msimamo.
Ilibidi mtoto apelekwe shule ya chini kidogo mshikaji anayomudu. 😊
Kuna mshkaji wangu mmoja alikuwa analea mimba, yuko bk dem yuko dar lol hajawahi ona mimba wala mtoto, alipelekeshwa vibaya sana! Nikamwambia wewe unamlea huyo mjinga, kuna kiamba haifanyi hiyo kazi ya kipuuzi, eti anaambiwa tuma ela mtoto analia njaa, imagine mtoto wa miezi mi4 analiaje njaa? Anatuma 200k hata week mbili haziishi anasema ela imeisha! Aisee nilimwambia huyu ukimchekea atakumyoosha, piga kimya mtoto peleka kwenu, mama yako si yukohome tu! Hakuna mtoto alopelekea wala nini, mbona mpaka leo ananishukuru anasema nilimsaidia! Huwa tu apima uzito kwakweli..😁
 
Kuna mshkaji wangu mmoja alikuwa analea mimba, yuko bk dem yuko dar lol hajawahi ona mimba wala mtoto, alipelekeshwa vibaya sana! Nikamwambia wewe unamlea huyo mjinga, kuna kiamba haifanyi hiyo kazi ya kipuuzi, eti anaambiwa tuma ela mtoto analia njaa, imagine mtoto wa miezi mi4 analiaje njaa? Anatuma 200k hata week mbili haziishi anasema ela imeisha! Aisee nilimwambia huyu ukimchekea atakumyoosha, piga kimya mtoto peleka kwenu, mama yako si yukohome tu! Hakuna mtoto alopelekea wala nini, mbona mpaka leo ananishukuru anasema nilimsaidia! Huwa tu apima uzito kwakweli..😁

Seran, hiyo ya kupeleka mtoto kwa bibi yake, ulimshauri vibaya mshikaji. 😊
Angemwacha kwa mama yake; ila awe bandidu, hela itumwe ila isiwe nongwa!
Mimi huwa siamini sana malezi ya mabibi, wanadekeza sana watoto. 😊
 
Seran, hiyo ya kupeleka mtoto kwa bibi yake, ulimshauri vibaya mshikaji. 😊
Angemwacha kwa mama yake; ila awe bandidu, hela itumwe ila isiwe nongwa!
Mimi huwa siamini sana malezi ya mabibi, wanadekeza sana watoto. 😊
Hii ya kupeleka watoto Kwa wazee wetu sio fair
Tuwaache wazee wafurahie uzee wao.
Me nikija kuzeeka sitaki kulea mjukuu huku wazazi wake wakiwa hai
 
Back
Top Bottom