Kwaheri 2013 karibu sana 2014

Kwaheri 2013 karibu sana 2014

Mkuu BAK, kula tano.

Unafahamu kitu kimoja, yees old skool umenikumbusha mbali sana masuala ya Casanova.

Unafahamu miaka ile kati ya 80s na 90s muziki ulikuwa ni wa nje tu, kila ukiingia nyumba za walokuwa na uwezo, seti za televisheni zao zilikuwa zikipiga miziki tu ni miziki kwa sana.

Vikao kwenye magogo vya washikaji, mechi za mpira pale Gymkhana, Muhimbili au Oysterbay (pale kwenye kamzunguko kelekea shuleni) na stories za ngumi za hapa na pale kugombania totos kati ya washikaji enzi zile akina Kinje ( huyu kaanza ukorofi miaka mingi) Idi Janguo na vijana wengine wenzetu wengi tu.

Saramanda pale makutano ya Mansfield na Mkwepu pamoja na Snow Cream, pia umenikumbusha enzi zangu za kuhakikisha magazeti yote ya mzee wangu (Mungu amrehemu huko mbele ya haki alikotangulia) aliyokuwa akileta nyumbani ninayakusanya na kuyauza kwa akina mama ntilie kwa ajili ya kupakia maandazi na vitumbua.

Nilikuwa sikosi angalau shilingi ishirini mfukoni ili niwahi Avalon au Empire Cinemas kama sio Drive Inn.

Aisee we acha tu, vijana wa miaka ile tulijifunza kushughulika na kuchakarika na hapa tulipo leo kwenye mid 40s tunapaswa kujikumbusha mambo haya na kuwasimulia wanetu na kuwafunza kuwa wastahamilivu kwenye maisha.

Namtakia kila mwana JF kheri ya mwaka Mpya wenye furaha na amani miyoyoni na kwa wewe BAK na wale wapenzi wa mpira wengine basi kesho tukutane pale kwenye jukwaa letu tukufu la Arsena Thread.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ahsante sana Husninyo 🙂🙂

mwaka 2013 kweli ulikuwa mwaka mzuri, natumai na huo ujao hautotuangusha.maanjumati yapo. karibu sana.... leo na kesho nashinda jikoni tu. staki masihara. lol
 
Last edited by a moderator:
Mhhhhh! Haya banaaa....ukinuna unapendeza sana lol! ila tu huo mwanya wa kupendeza unakuwa hauonekani hahahahaha 🙂🙂



mi sikuji sijaitwa!
NIMENUNAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA AAJE!
 
Last edited by a moderator:
achana na Paw wewe!! mtu mwenyewe hajui hata kubembeleza!! sauti mikwaruuuzo kama nini!

yeye kidogo tu kakupiga ban!

mimi walah! hio mambo sina! ntakulisha, ntakuogesha na stage mpya ntakununulia!
Daah aisee una moyo mkubwa weye hehehehe

Ile kitu ya mtu kwenda maliwato kufanya PEE, wanatoa dagaa tena kwa rivas siyo story ujue.

Just DARE more kisha next step unahamia JF Dokta kusaka solution ya kitakachojiri.

 
Hahahahaha lol!!! Kiasi tu si sana 🙂🙂.....mimi kwenye simu yangu natumia pc version hiyo mob version sina access na likes pia siupendi muonekano wake na haiko user friendly. Mara nyingi system huniforce nitumie mob version lakini hurudi kwenye pc version ambayo mimi naiona bomba maana huweza kutoa hata likes halafu muonekano wake pia naupenda. Kama unataka maelezo shuka PM nikupe instructions za jinsi ya kutumia pc version kwenye simu yako.

BAK lazima ulikuwa mtundu wewe

Wapsite (haina notifications) ni my fav kwa simu, so nitawalike later mie hata app yao sijarudiga kuitumia na ile ya touch mob edition nayo mmmhh. Cheers BAK and EMT
 
Nitakuja kuzisimamia hizo push ups nione kama za kweli au unafanya utani tu lol!!!! utakoma ubishi hakuna kucheka 🙂🙂

Mmmh mwenzangu wee nianze kupiga push-up.....
 
Haya lala eeeeeh!!!! farkhina lol!!!!! 🙂🙂



Yeah nampenda sana massari yaani apo ukiweka na za jay sean hususan ile na pitbull i'm all yours nalala apa apa lol...
 
Last edited by a moderator:
nipo pacha.....
wiki ya xmas nilikuwa break ya mtandao, lol!
mwenzio hiyo sherehe ya kuikana empty wallet niliiadhimisha mwaka 1999, nilipoingia 2000 ni full wallet........ sina haja ya kuiadhimisha tena.
Nikutakie heri ya mwaka mpya pia my dearest pacha
Hahahahahahahaha asante dear kumbe wewe ulishaga adhimisha siku nyingi. Nakutakia sikukuu njema na Mungu awabariki wote wa familia yako na wanaoizunguka nyumba yako.
 
BAK nakushukuru sana kwa kuniitia twin wangu hakika wewe ni rafiki na kaka wa kweli. Unajua tena kimeo changu kiliingia virus hivyo nililazimika kutoka bila kuaga.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Daah aisee una moyo mkubwa weye hehehehe

Ile kitu ya mtu kwenda maliwato kufanya PEE, wanatoa dagaa tena kwa rivas siyo story ujue.

Just DARE more kisha next step unahamia JF Dokta kusaka solution ya kitakachojiri.

ha haaa, nimeuona mkwara, lol!
cc. my dearest best King'asti.....
happy new year kwa hii familia
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Paw
asante mwaya kunikaribisha nakutakia mwaka mpya mwema wewe na familia yako
Yaani hii thread imenifanya nimekodoa macho maana nasikiliza nyimbo zote za humu kuania ya kwanza hadi ya mwisho.
Hope 2014 will be good to me.
nawe pia na familia yako
 
ha haaa, mwenzio siku hizi naishi uzunguni, no madebe.....
si nilikuambia sherehe ya full wallet niliifanya 1999?
Hahahahahahahahaha lkn unakosa vingi huku kitaani kuna raha yake huko uzunguni kila mtu kivyake hata debe hampigi . Basi huku kwetu full kujiachia tena ukikaa vibaya unaweza kupigwa jiwe si unajua excitement ya kuuona mwaka mpyaaaaa.
 
Hahahahahahahahaha lkn unakosa vingi huku kitaani kuna raha yake huko uzunguni kila mtu kivyake hata debe hampigi . Basi huku kwetu full kujiachia tena ukikaa vibaya unaweza kupigwa jiwe si unajua excitement ya kuuona mwaka mpyaaaaa.
ha haaa, enjoy my dear.....
enzi zangu za kuenjoy kihivyo zilipita......
sasa naandaa fireworks na champagne tu, hakuna debe
 
Daah aisee una moyo mkubwa weye hehehehe

Ile kitu ya mtu kwenda maliwato kufanya PEE, wanatoa dagaa tena kwa rivas siyo story ujue.

Just DARE more kisha next step unahamia JF Dokta kusaka solution ya kitakachojiri.


Khaaaaaa!!!!!!!!!!!!
Hivi hujui kuwa serikali siku hizi inaukubali uchawi?

Huu ni ushahidi tosha wa kukutia hatiani
Hata uwe na wakili kama Tundu Lissu lazima ile kwako tu....!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom