ha haaaa, jana na-discuss na binti yangu vyakupika kanigomea kabisa kuona pilau sikukuu hii, anasema kwani bila pilau sikukuu haiendi? yaani hapa nakuna kichwa nipike nini ili watoto na wakubwa wote mfurahi, msaada wako tafadhali..... na recipe, lol!Fixed Point njoo huku umenialika uje uniambie muda muafaka wa kuja kula mahanjumati....
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
ha haaaa, jana na-discuss na binti yangu vyakupika kanigomea kabisa kuona pilau sikukuu hii, anasema kwani bila pilau sikukuu haiendi? yaani hapa nakuna kichwa nipike nini ili watoto na wakubwa wote mfurahi, msaada wako tafadhali..... na recipe, lol!
Muda wooooteee utakuwa wa kula na kunywa tu, yaani hata ukitaka kuja leo ulale hapa hapa karibu sana.
ha haaaa, jana na-discuss na binti yangu vyakupika kanigomea kabisa kuona pilau sikukuu hii, anasema kwani bila pilau sikukuu haiendi? yaani hapa nakuna kichwa nipike nini ili watoto na wakubwa wote mfurahi, msaada wako tafadhali..... na recipe, lol!
Muda wooooteee utakuwa wa kula na kunywa tu, yaani hata ukitaka kuja leo ulale hapa hapa karibu sana.
Vile vya kuagiza hakuna leo!? Mie naomba pilau ya kuku wa kienyeji na chapati 🙂🙂
nipo pacha.....Ushukuru ulikua na wazazi wapole ungempata mzee wangu ungesoma number chezea zee la kisukuma weye . Nakutakia kila la kheri na wewe . Hivi pacha wangu Fixed Point yu wapi wajameni kila nkimtafuta simuoni au ndo ashaanza sherehe za kufunga mwaka. Kuna sherehe nimesikia itaadhimishwa kesho ya kuikana empty wallet sijui umeisikia nina wasi wasi pacha huenda yuko huko.
ha haaa, BAK anapenda sana kudoea, lol!
umenikumbusha chapati.....Vile vya kuagiza hakuna leo!? Mie naomba pilau ya kuku wa kienyeji na chapati 🙂🙂
hahahahahah lol!!!! Nimecheka kweli lol!!!! Tena ngoja nitafute card yangu kabisa nisije kuzuiliwa mlangoni 🙂🙂
ha haaa, BAK anapenda sana kudoea, lol!
tumwonee huruma rafiki, tumkaribishe tu. anavyopenda misosi anaweza atununie mwaka mpya ukiisha bila mwaliko
ha haaa, BAK anapenda sana kudoea, lol!
tumwonee huruma rafiki, tumkaribishe tu. anavyopenda misosi anaweza atununie mwaka mpya ukiisha bila mwaliko
Alafu ulivombishi yaani huwezi kukosa kwenda.... Fixed Point siku hiyo ntapika mie nitie chakula mapilipili tumkomoe🙄🙄🙄
Naona umeamua kukesha leo lol!!!! Haya banaaaa we rusha madongo tu lol 🙂🙂
Weye si unanijua miye ninavyopenda pilipili!? Tafuta lingine la kunizuia kutozuka kwenye mnuso lol!!!