Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,109
- 53,626
Bulldog avatar yako inaonesha wewe ni Me.soma heading hapo juu..dont do this at home!...
Kausha, kufungua haimaanishi jinsia yangu imebadilika
Bulldog avatar yako inaonesha wewe ni Me.soma heading hapo juu..dont do this at home!...
Hahahaaaaaaaa! Ndo mmefikia hapa wanawake wenzangu? Loooooh! (Siwanangi wenzangu, ninestuka tu!)
Naonaga watu wanaombe boxer za waume zao, mara sijui kupaka mafuta ya mzeituni, ilimradi tu hali si shwari! Hahaaaaaaaaa! Wangejua kina Yuda nao wamo katikati yao kwenye maombi duuuuuuuh!
DAWA KWA YESU TU! Akichepuka tu ataona kama anaweza na kumchepuka Yesu! Akifika huko hana HAMU kabisaaaa! Itaimbiwa mpaka simama dede kitu zzzzzzzzzzzzz! Concious inawaka moto! Sugua goti dada hilo! Oooooooooh! Wake za watu siku hizi jmosi huwakuti majumbani, wapo kwenye MAOMBIIIIII!
Nyumbq ndogo nazo hazikai jmosi, kwenye VILINGE VYA WAGANGAAA! Wanamaliza tu nazi njia panda! Hahahaaaaaaa! Hawakaubali kushindwaaa! Wewe uwe na mume mzuri hivo una nini, yeye adode ana nini? Mtabanana hapo hapo! Anakurushia kimavi hata cheo hupandi, mumeo anakuona big simba wakati uzazi umekuongeza kidogo tu, anakuona bibi yake si bibi yake kumbe midawa ile! Hahaaaa! (Its not a laughing matter!)
Lol!, leo bahati mbaya kibao humu ndani...lol!
Umeambiwa wanawake tu we umekuja kutafuta nini huku????
Kwahyo mjomba anapewa mzigo hadi asubuhi?
Sasa hayo mengine sasa lol.....nsimpe kisa nini
Sio asubuhi tu! Mda wowote akitaka anadanda
Hata mimi hapa jimeingia kwa bahati mbaya... na hiyo imesababishwa na kutak kumkosoa mwanzisha mada kwenye TITLE ya thread... badala ya kuiita kwa wanawake tu... angeandika .... KWA NYUMBA KUBWA NA MICHEPUKO TU....
Eti polisi wana kikao na majambazi kujadiri namna ya kupunguza au kuuondoa kabisa ujambazi...... MWEEEH MNACHEKESHA.....
YAANI MNACHOFANYA NI KAMA MATAJIRI WANAPOKAA VIKAO VYA KUMALIZA UMASKINI BILA KUWASHIRIKISHA MASKINI WENYEWE.... hapo ni ndoto kuuondoa umaskini....
MWISHO WA BAHATI MBAYA
Nimepiga chabo maana naona mmesahau kufunga mlango!Mie nauliza hawa wanaume wanachepuka na kina nani?
Hata mimi hapa jimeingia kwa bahati mbaya... na hiyo imesababishwa na kutak kumkosoa mwanzisha mada kwenye TITLE ya thread... badala ya kuiita kwa wanawake tu... angeandika .... KWA NYUMBA KUBWA NA MICHEPUKO TU....
Eti polisi wana kikao na majambazi kujadiri namna ya kupunguza au kuuondoa kabisa ujambazi...... MWEEEH MNACHEKESHA.....
YAANI MNACHOFANYA NI KAMA MATAJIRI WANAPOKAA VIKAO VYA KUMALIZA UMASKINI BILA KUWASHIRIKISHA MASKINI WENYEWE.... hapo ni ndoto kuuondoa umaskini....
MWISHO WA BAHATI MBAYA
.......Samahani kwa kuingian bila ya hodi...nilikuwa namuulizia miss chagga.....
kama yupo namuomba kidogo nje nina maongezi nae.....
Hata mimi hapa jimeingia kwa bahati mbaya... na hiyo imesababishwa na kutak kumkosoa mwanzisha mada kwenye TITLE ya thread... badala ya kuiita kwa wanawake tu... angeandika .... KWA NYUMBA KUBWA NA MICHEPUKO TU....
Eti polisi wana kikao na majambazi kujadiri namna ya kupunguza au kuuondoa kabisa ujambazi...... MWEEEH MNACHEKESHA.....
YAANI MNACHOFANYA NI KAMA MATAJIRI WANAPOKAA VIKAO VYA KUMALIZA UMASKINI BILA KUWASHIRIKISHA MASKINI WENYEWE.... hapo ni ndoto kuuondoa umaskini....
MWISHO WA BAHATI MBAYA
.......Samahani kwa kuingian bila ya hodi...nilikuwa namuulizia miss chagga.....
kama yupo namuomba kidogo nje nina maongezi nae.....
.......Samahani kwa kuingian bila ya hodi...nilikuwa namuulizia miss chagga.....
kama yupo namuomba kidogo nje nina maongezi nae.....
kunguru hafugiki..
hii thread si nimeona imeandikwa
[h=2]Kwa wanawake tu mwanaume usifungue hapa[/h]sasa mbona kuna mabeberu humu nao washaanza!!!