ameline
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 2,292
- 1,152
mmmh tabia ya mtu pia ina matter, mtu hata umpende vipi, kiuno umkatie kama feni mbovu, ukabe vipi asubuhi umuage na mabusu na uchi umempa jioni umpokee na mabusu sekunde atakayoipata ataenda kutiana tu!!!!
mungu anipunguzie tu wivu mie nisijekufa na presha mboo yake bana acha aitembeze atakavyo...
bad enough ni pale unadhibiti nje ila atamtia hata mtu aliepo ndani ya nyumba shemeji, ndugu wote halali yake
hahahaha shogaa umenifurahisha sana..umeongea na kahasira na kukata katamaa na kawivu na kakiburi hahaha..
sometimea namm huwa nasema sitaki mapresha nikianza kuwaza ntajikuta nakufa na mapresha na kuwakosesha wanangu malez ya.mama huku nikimwacha akiendelea kutesa..ni kumwacha tu maana ipo siku atachoka mwenyewe..usiogope kufaa mamy hakuna atakaedumu hapa duniani what matters ni kwamva muda tu wa kuondoka ndo unatofautiana..
mim atakuja saa saba ntamsubiri mpaka aje namfungulia namwandalia everything tunalala..siuliz chochote..ataamka kesho atarud saa nne siulizi..anaona aibu keshokutwa anarud saa mbili..we kaa kimya tu uone atakavyopata presha akijiuliza ni kitu gani ananiwazia huyu mtu..ila ukiwa mkorofi kugombana sijui nn atakudharau...