Kwa wanawake tu mwanaume usifungue hapa

Kwa wanawake tu mwanaume usifungue hapa

Aisee sasa nyie kina mama na kina dada mbona ni kama mmewaweka wanaume wote kundi moja?!!!! Kuna wanaume hawatoki bwana, sio kila mwanaume ni mtu wa wanawake wengi!! Halafu na nyie mbona mmejifanya malaika. Siku hizi si mnasema ngoma droo mmeamua kukigawa njea kama kawa kama dawa!

By the way samahanini kwa kuwaingilia kunako mjadala.

kweli aisee... Wenyewe wanatoa nje kama hawana akili nzuri siku hizi. Sasa mumeo kama alikuwa anachepuka na mchepuko mmoja halafu akakukuta wewe mwanamke unachepuka na mtu mmoja... Basi hapo ni sawa na umempa ruksa mumeo kuchepuka na michepuko kumi. Siku hizi kama unataka demu wa kugegeda wa fasta fasta bora utongoze mke wa mtu atakukubalia ki urahisi kuliko demu ambaye hajaolewa. Mambo ya kusema oooh eti mnajiachia mnanenepeana sio sababu ya wanaume wengi kutoka nje. Sababu kuu ni nyie wenyewe tabia mbovu, hamjiheshimu.. Biiiiiize kwenye magroup ya whatsapp na facebook na mitandao mingine ya kuuzia sura kuchat na wanaume na kuongelea ngono. Jiheshimuni kwanza ndio muheshimiwe msijidai ninyi ni malaika. Kwani hao wanaume mnaosema wanapenda michepuko mnadhani wanachepuka na akina nani haswa? Ni tunachepuka na wake za watu sana tuuu.... Najua mtanimind lakini poa tu.. Vitu vingine inabidi tuchangie tu hata kama haturuhusiwi.
 
Bora hata mdogo wa kiume unaweza fikiri mtu na mama yake! Kuna siku tulipeleka mjukuu hospital tukakuta me na ke wako na mtoto mgonjwa tukaanza kujiuliza maskini sijui mama wa mtoto yuko wapi mpk kaletwa na bibiyake na baba ake heee kuja kushtuka ile ni couple! Loooh kijana mrefu mwembamba mke ni tinginya akikulia lazima upelekwe MOI!
Jamani kinamam mpendezeeeee!! Punguzeni miili na matumbo hayavutiii kabisa!! Yaani mtu hueleweki kama ni kitunguu au biringanya mme hata hajui aanzie wapi kushika!

Kitu kingine ata sisi wanawake tunayataka jamani... Unakuta MTU anaolewa na kijana mdogo au unaelingana nae miaka... Eti mapenzi hayachagui!! Huo ni msemo tu matokeo yake tukishazaa mtoto moja tunaanza kuonekana kama vile mamdogo wa mume..... Nakujisahau juu hakuna cha make up wala usafi wa kucha muda wote hupo tu kama mama ntilie wa uswazi.... Embu tutafakali basi.......
 
Bora hata mdogo wa kiume unaweza fikiri mtu na mama yake! Kuna siku tulipeleka mjukuu hospital tukakuta me na ke wako na mtoto mgonjwa tukaanza kujiuliza maskini sijui mama wa mtoto yuko wapi mpk kaletwa na bibiyake na baba ake heee kuja kushtuka ile ni couple! Loooh kijana mrefu mwembamba mke ni tinginya akikulia lazima upelekwe MOI!
Jamani kinamam mpendezeeeee!! Punguzeni miili na matumbo hayavutiii kabisa!! Yaani mtu hueleweki kama ni kitunguu au biringanya mme hata hajui aanzie wapi kushika!

Lol!, eti kitunguu...lol!, ni kweli dear!
 
Nadhani mnavyolalamika kuchepuka, mngeelewa kwanza kuwa kikulacho ki nguoni mwako, yaani huyo anayekuibia ni mwanamke mwenzako, kwa hiyo mi nadhani mngekabiliana wenyewe kwanza muweke tabia zenu vizuri halafu tuone sasa wanaume watachepukia wapi, yani kila ukitaka kuchepuka ukutane na mchepuko umetia ngumu unakurudishia kwa mumeo hapo nadhani mngekuwa mmedhibiti kikamilifu hiyo tabia. Ni mtizamo tuu, nina girlfriend wala sio mke ila sijawahi kuchepuka na sitegemei kuchepuka.

Mbaya zaidi wakiona mafanikio tu, wanajileta wenyewe bila hata ya kutongozwa!

Mie nimuoa mwanamke mwenzie nikiwa sina kitu, tumepambana pamoja mpaka tumefanikiwa sasa hivi wanapambana wanawake kwa bidii zote ili wampindue mwenzao!! Tatizo lao wanapenda mwanaume aliyekwisha fanikiwa na si wa kukaa nae pamoja wakazisaka.

Tatizo lipo kwa wanawake wenyewe na si wanaume.
 
Cheating ni stage katika ndoa...what matters ni aftermath...
Ukisusa wenzio wala...

Kwanza kuwa na msimamo; na usipanic...mwanaume ku sex nje ya ndoa inaweza isimaanishe kuwa hampendi mkewe...ni udadisi tu...wakisikia wanawake wa Tanga sijuhi nini wanataka wajaribu...wakisikia wa bara sijuhi nini wanataka wajaribu...wakisikia wenye wowowo sijuhi wakoje wanajaribu...

Na in all these experiments wanakuta hakuna jipya...lakini usipotumia busara wanaondoka kimoja japo aendako anajua fika hakuna la ziada...

Ila ukigundua unachitiwa na ukatumia busara kumrudisha mumeo kwenye mstari...itakuwa historia...

Siri kubwa ni kutotoa nafasi...kaba mpaka penati...jumamosi ni mtoko wa familia (na watoto) jumapili ni wa baba na mama...huyo wa pembeni ata enjoy mda gani?

Ukiona mabadiliko jigeuze FBI...si kumlilia Mungu wakati katupa mbinu za kuwalinda waume zetu...

Kingine jipende ili aogope kuwa akikuacha asubuhi jioni umeshapata mume mwingine...

Lazima ujiweke in such a way mumeo anakuwa na wasiwasi wa kukupoteza...ukiona wivu mumeo hana jiulize...labda umejiachia umechuja...
naomba shulee uliyosoma na mm nikasomee bwanah,samahani kwa kuchangia ila mm sio mwenzenu mm nakojoa nmesimama
 
wanaume mmmh Ni viumbe wengine.

Siku moja tumemaliza Meeting ofisini ,baada ya hapo tukawa na break fupi kurefresh mind zetu kabla hatujarudi maofisini
eeeeh story za wanaume ni kasheshe tupu
Mmoja anasemaje yaani mie mke wangu amenyonyesha watoto watatu manyonyo yamelalala so nataka kitu kipya na kila ninayekutana nae lazima ziwa liwe saa sita ,siwezi acha mke ndani nyonyo limelala na mie natafuta mtu nyonyo limelala hata awe mzuri vip simtaki,
Mwingine ooh mie mwanamke naemtaka kwanza namfanyia evaluation awe mkali kuliko wife la sivyo simuhitaji

mwingine ooh mke wangu sasa ana tumbo kubwa baada ya kujifungua watoto wawili ingawa ni mrembo na mie nataka kitu cha flat unapapasa ,unakamatia tumbo bila karaha

Mungu aingilie kati tu

Ni juu ya nini lakini??

Ni kweli #firstLady mengine kumwachia Mungu, ME wengine ni tabia zao and then the company they keep, kuonekana vzr au at least kujaribu kunakupa pia confidence, am sure akikuona na msimamo wako without doubt atajiuliza kwanza mara mbili aendelee na upuuzi ama asiendelee.
 
Mi napenda tujadiliane sisi kwa sisi wanawake ivi ni kwa nini wanaume zetu hawatulii(dushelele zao hazitulii kwenye suruali) na mke au mwanamke mmoja?

Yaani utafiti unaonyesha hata ungeyafanya mazuri yote nje atatoka tu awe mlokole au sijui mswahilina.

Je dawa yao ni ipi? maana tukichekacheka ndo maukimwi hayataisha.

Tupeane mbinu pengine kuna mtu ana mbinu na amemdhibiti wa kwake ili nasi tuige.

Asanteni.
mama la mama wahi huku, kikao cha wanawake unaitwa.
 
Last edited by a moderator:
Nyumba kubwa, ushukuru kama utampata mwanaume ambae utamuambia Weekend ni siku ya familia na anakubali. Wanaume wa Tz weekend ni siku ya mchepuko. Wewe kaa ukidhani utambana weekend. Kama wako yuko hivyo shukuru mungu tena omba mungu aendelee kukunusuru kwa hili. Ukimpata mwenye huruma basi siku ya familia ni Jumapili, tena hapo vile anajua mchepuko unashinda salon kwa kugharamia yeye. hapo ndio utamkuta anacheza na watoto, ila ikifika jioni, tayari atakuambia niko bar ya jirani, katoka na ndala na pensi, kumbe saa nyingi yuko mtaa wa 4 kwa mchepuko wake. wewe unajipa matumaini leo kashinda hapa nimempikia pilau. Chezea wanaume wa kibongo wewe...!!! wewe ukijua hivi yeye anajua vile.... Mradi anakupa matumizi na kulipia school fees za watoto, kubali yote. lakini binadamu hafugwi. Unaweza kujipenda sana na wala yeye asi notice mabadiliko uako. wanaume ni viumbe wa ajabu sana. vaa sana, kua msafi sana, mjali sana, lakini wala hashtuki. mnyenyee sana lakini wapi. mchepuko wake kutwa ni kumuamrisha na si ajabu hata kauli kule hakuna, lakini haachi kwenda. acha kabisa hii kitu inaitwa mwanamme, hakuna formula ya kuishi nao, ni kuomba mungu tu.
Cheating ni stage katika ndoa...what matters ni aftermath...
Ukisusa wenzio wala...

Kwanza kuwa na msimamo; na usipanic...mwanaume ku sex nje ya ndoa inaweza isimaanishe kuwa hampendi mkewe...ni udadisi tu...wakisikia wanawake wa Tanga sijuhi nini wanataka wajaribu...wakisikia wa bara sijuhi nini wanataka wajaribu...wakisikia wenye wowowo sijuhi wakoje wanajaribu...

Na in all these experiments wanakuta hakuna jipya...lakini usipotumia busara wanaondoka kimoja japo aendako anajua fika hakuna la ziada...

Ila ukigundua unachitiwa na ukatumia busara kumrudisha mumeo kwenye mstari...itakuwa historia...

Siri kubwa ni kutotoa nafasi...kaba mpaka penati...jumamosi ni mtoko wa familia (na watoto) jumapili ni wa baba na mama...huyo wa pembeni ata enjoy mda gani?

Ukiona mabadiliko jigeuze FBI...si kumlilia Mungu wakati katupa mbinu za kuwalinda waume zetu...

Kingine jipende ili aogope kuwa akikuacha asubuhi jioni umeshapata mume mwingine...

Lazima ujiweke in such a way mumeo anakuwa na wasiwasi wa kukupoteza...ukiona wivu mumeo hana jiulize...labda umejiachia umechuja...
 
Nyumba kubwa, ushukuru kama utampata mwanaume ambae utamuambia Weekend ni siku ya familia na anakubali. Wanaume wa Tz weekend ni siku ya mchepuko. Wewe kaa ukidhani utambana weekend. Kama wako yuko hivyo shukuru mungu tena omba mungu aendelee kukunusuru kwa hili. Ukimpata mwenye huruma basi siku ya familia ni Jumapili, tena hapo vile anajua mchepuko unashinda salon kwa kugharamia yeye. hapo ndio utamkuta anacheza na watoto, ila ikifika jioni, tayari atakuambia niko bar ya jirani, katoka na ndala na pensi, kumbe saa nyingi yuko mtaa wa 4 kwa mchepuko wake. wewe unajipa matumaini leo kashinda hapa nimempikia pilau. Chezea wanaume wa kibongo wewe...!!! wewe ukijua hivi yeye anajua vile.... Mradi anakupa matumizi na kulipia school fees za watoto, kubali yote. lakini binadamu hafugwi. Unaweza kujipenda sana na wala yeye asi notice mabadiliko uako. wanaume ni viumbe wa ajabu sana. vaa sana, kua msafi sana, mjali sana, lakini wala hashtuki. mnyenyee sana lakini wapi. mchepuko wake kutwa ni kumuamrisha na si ajabu hata kauli kule hakuna, lakini haachi kwenda. acha kabisa hii kitu inaitwa mwanamme, hakuna formula ya kuishi nao, ni kuomba mungu tu.
Da Asia mbona unapotea sana Jamani
 
Last edited by a moderator:
Si kumbana wala kumwambia...si mtoto yeye...it comes so natural...
Ndio maana wanasema usikosee kuchagua mume...

Wewe utaanzia wapi kumwambia mumeo tangu leo jumamosi ni ya watoto na jumapili ya kwetu...
Kwanza ni yeye ndio anakukumbusha mbona bado hujajiandaa...

Nikisema wasukuma noma that is what I mean...

Hakikisha unaolewa na love of your life...usilazimishe ndoa...
Baada ya hapo penzi likichuja una haki ya kujikagua umeteleza wapi...maana kuna wanawake wenyewe ndio wanajiengua kwenye mitoko ya waume zao...bcos piga ua newly married couples wanatoka pamoja...baada ya muda mke anajito mwenyewe kwenye ratiba...sasa ukitaka kurudi ndio utakapo jua huna siti yako tena...

Mimi nilikuwa naenda bar na mimba yangu ya miezi nane...na si kujilazimisha...na enjoy company ya mume wangu...na inasaidia kumfanya mume awe na tabia ya kuwahi rudi home hata kama yuko mwenyewe siku zingine...na kuna vijiwe tunavyopenda...vyenye staa na playground ya watoto...na watoto sasa wameshajua haki yao...

Kuna shogangu uwa nakutana nae kwenye club fulani akiwa mwenyewe...au na watoto (ni family club) yani namshangaa simmalizi...mumewe namuona facebook tu sijawahi kumtia machoni...najiuliza uwa anamuacha wapi?

Wakati mwingine nikiona wanawake wanateseka afu nikiangalia dada zangu na mdogo wangu wanavyopeta natafuta reason...labda sisi tuna genes za ukali wa simba lakini anazaa...hii inafanya tuolewe na wanaume ambao wanajitambua na wanajua maana ya kuwa mume wa mtu ni nini...

Na fomula ya maisha yangu ni kutojiangaisha na vitu nisovijua...zile za kukaa na kuwaza negatively kuwa hata kama sijui huyu mume atakuwa na kimada tu hazina nafasi kwenye maisha yangu...and that is why I enjoy my marriage to the fullest...




Nyumba kubwa, ushukuru kama utampata mwanaume ambae utamuambia Weekend ni siku ya familia na anakubali. Wanaume wa Tz weekend ni siku ya mchepuko. Wewe kaa ukidhani utambana weekend. Kama wako yuko hivyo shukuru mungu tena omba mungu aendelee kukunusuru kwa hili. Ukimpata mwenye huruma basi siku ya familia ni Jumapili, tena hapo vile anajua mchepuko unashinda salon kwa kugharamia yeye. hapo ndio utamkuta anacheza na watoto, ila ikifika jioni, tayari atakuambia niko bar ya jirani, katoka na ndala na pensi, kumbe saa nyingi yuko mtaa wa 4 kwa mchepuko wake. wewe unajipa matumaini leo kashinda hapa nimempikia pilau. Chezea wanaume wa kibongo wewe...!!! wewe ukijua hivi yeye anajua vile.... Mradi anakupa matumizi na kulipia school fees za watoto, kubali yote. lakini binadamu hafugwi. Unaweza kujipenda sana na wala yeye asi notice mabadiliko uako. wanaume ni viumbe wa ajabu sana. vaa sana, kua msafi sana, mjali sana, lakini wala hashtuki. mnyenyee sana lakini wapi. mchepuko wake kutwa ni kumuamrisha na si ajabu hata kauli kule hakuna, lakini haachi kwenda. acha kabisa hii kitu inaitwa mwanamme, hakuna formula ya kuishi nao, ni kuomba mungu tu.
 
fungeni miguu yenu mpaka muolewe

Ha ha ha wewe huku umetoka wapi?
Tuongelea life after marriage and not before even he marries yu a virgin that doesnt give a warrant he wont ever cheat on.you
 
Kitu kingine ata sisi wanawake tunayataka jamani... Unakuta MTU anaolewa na kijana mdogo au unaelingana nae miaka... Eti mapenzi hayachagui!! Huo ni msemo tu matokeo yake tukishazaa mtoto moja tunaanza kuonekana kama vile mamdogo wa mume..... Nakujisahau juu hakuna cha make up wala usafi wa kucha muda wote hupo tu kama mama ntilie wa uswazi.... Embu tutafakali basi.......

my dear hata sio kuolewa na kijana wa umri mdogo kuna wanawake wamepishana hata miaka 10 na waume zao lakini bado hao wanawake wanaonekana wazee. Ni jinsi ya kujitunza jamani msijiachie, msile ovyo, mfanye mazoezi na msipende kununa nuna kila wkt uwe unacheka uso hauta zeeka looooooh!!
 
my dear hata sio kuolewa na kijana wa umri mdogo kuna wanawake wamepishana hata miaka 10 na waume zao lakini bado hao wanawake wanaonekana wazee. Ni jinsi ya kujitunza jamani msijiachie, msile ovyo, mfanye mazoezi na msipende kununa nuna kila wkt uwe unacheka uso hauta zeeka looooooh!!

Umenifurahisha ulipokumbushia kuhusu smile...

I love smiling...na wanagu wakiniona wana smile back...

Kununa ni kujingezea miaka kwenye umri ulonao...

Na uzee mwisho chalinze...
Last year nilikuwa na hubby mahali sa nikanyanyuka kwenda washroom nilikuwa ndani ya kigauni cha mini...niliporudi akanambia baby mwili wako sasa hivi umerudi kama nilipokuona first time...

Yani mpaka leo na rewind kichwani mwangu haya maneno...

Pigeni tizi wamama...hili na waume zenu wasione aibu kuongozana na nyie... japo mna watoto bado huko kwenye chati...
Wanaume wanasema hawajali hata mkiwa na miili iloharibika kwa uzazi...but deep inside wanajali sana...

Na kuhusu umri mi mume wangu kanizidi miaka 3 tu
 
Ha ha ha wewe huku umetoka wapi?
Tuongelea life after marriage and not before even he marries yu a virgin that doesnt give a warrant he wont ever cheat on.you

sasa kama unasema hamna warant kwamba he wont cheat sasa mwalalamika nini? just accept kuwa dushelele zetu penda bottow power lol...ni tamu

alafu ebu lets think about it, if every lady were to remain a virgin and stick to the principle ya no kugegedwa mpaka ndoa kusingekuwa na michepuko bana...so the reality is that u ladies are responsible for the creating the very problem u complaining about.

p.s i miss u
 
Hahahaaaaaaaa! Ndo mmefikia hapa wanawake wenzangu? Loooooh! (Siwanangi wenzangu, ninestuka tu!)

Naonaga watu wanaombe boxer za waume zao, mara sijui kupaka mafuta ya mzeituni, ilimradi tu hali si shwari! Hahaaaaaaaaa! Wangejua kina Yuda nao wamo katikati yao kwenye maombi duuuuuuuh!

DAWA KWA YESU TU! Akichepuka tu ataona kama anaweza na kumchepuka Yesu! Akifika huko hana HAMU kabisaaaa! Itaimbiwa mpaka simama dede kitu zzzzzzzzzzzzz! Concious inawaka moto! Sugua goti dada hilo! Oooooooooh! Wake za watu siku hizi jmosi huwakuti majumbani, wapo kwenye MAOMBIIIIII!

Nyumbq ndogo nazo hazikai jmosi, kwenye VILINGE VYA WAGANGAAA! Wanamaliza tu nazi njia panda! Hahahaaaaaaa! Hawakaubali kushindwaaa! Wewe uwe na mume mzuri hivo una nini, yeye adode ana nini? Mtabanana hapo hapo! Anakurushia kimavi hata cheo hupandi, mumeo anakuona big simba wakati uzazi umekuongeza kidogo tu, anakuona bibi yake si bibi yake kumbe midawa ile! Hahaaaa! (Its not a laughing matter!)

well said mkuu lara umegusa point muhimuuuu
suluhisho n kumkimbilia mungu atete ndoaaa
 
Wiki hii nimesoma masaibu ya ndoa za watu huko fb mpaka nikahuzunika

Wanawake wanapitia magumu sana

Huu uvumilivu utawaua

Na ambao hamjaolewa jamani kama mwanaume hasomeki sepa... unaolewa na mwanaume anafunua tupu yake kila mahali...wengine wanaletewa hadi maradhi haifai jamani
 
Yani kuna watu wanasimulia matatizo yao ya ndoa facebook au?

Wiki hii nimesoma masaibu ya ndoa za watu huko fb mpaka nikahuzunika

Wanawake wanapitia magumu sana

Huu uvumilivu utawaua

Na ambao hamjaolewa jamani kama mwanaume hasomeki sepa... unaolewa na mwanaume anafunua tupu yake kila mahali...wengine wanaletewa hadi maradhi haifai jamani
 
Samahani. Sikusoma title. Nimesoma body...
 
Back
Top Bottom