Kwa wanawake tu mwanaume usifungue hapa

Kwa wanawake tu mwanaume usifungue hapa

Hahaaaahahaaaaa! MARRIAGE IS A HYPOCRITICAL INSTITUTION INDEED! Basi yeyeakiwa ana dadisi K na wewe una dadisi. Sampuli za midushelele tu, akirudiunarudi ngoma droooo! Mwaga mboga nimwage ugali, Hii mambo unakaa kimya unaletewa watoto wa 3wa nje, mchezo sasa!

Shosti yangu Amber rose kimenuka tayari anamuacha Wiz khalifa! Hahaaa!

wengine kumwaga mboa haiwezekani kaolewa ndoa yenyewe kaibembeleza yeye ana watoto watatu na hapo baba ndo bread winner akishaamwaga mboga kifuatacho.............
 
hawa viumbe wameshindikana na hawana formula ya moja kwa moja kutokana na kutofautiana character , Kwa Mfano Mnywaji pombe na asiyekunywa , wanatofautiana jinsi wanavyohandle mipango yao ya michepuko hasa kwenye Muda , Wanawake tumetunukiwa hisia ambazo mara nyingi huwa ni za kweli , Kumfanya asichepuke pia ni Ndoto za Bunuwasi , Msisitizie tu avae Mpira aendako maana hata wewe unawavalisha Mipira unaokutana nao , halafu muanze wote kibarua cha kuchungana ..
 
Wanaume kuwatuliza ni.ngumu angalia viumbe vyote vya kiume huwa vinataka kuingiza kila shimo.... huwa nafananisha wanaume kama mabeberu wasinipe presha nikafa nikaacha watoto... atembezeeee mpaka ichoke aje ni mwandae kwa ajili ya kifo .... wamepewa utashi lakin wamejisahahu wamekuwa kama wanyama wasiyokuwa na utashi... mwanamke usiumize kichwa ukiona anakitembeza muumize mnunulie kabisa condom mwambie asikuletee ukimwii....
Binadamu tunakawaida ya kuchoka na kukinai hilo nalo ni shida.
Usijepe stress hawaridhiki na wabinafsi by nature
 
Huwezi kumthibiti binadamu regargless na jinsia yake..........

Unapoamua kuolewa uwe ushamjua nankumsoma vizuri mwenzio, usiolewe ili uvae shela.... uwe umemsoma vyema, umeyajua madhaifu yake na kuyakubali

Msimamo wako uwe wazi na yeye aukubali

Pili ukiwa ndoa tekeleza majukumu yako ya msingi kama mke.....

Shika nafasi yako haswa

Na misimamo yako aijue

#teamkukabampakapenati

#mradiyakoyanakunyookea

>>>>>> mradi hajakuonyesha kuwa anacheat presha ya nini???

Pia mumeo anahangout na watu wa aina gani???? Wanaume wanajua sana kushauriana upumbavu kuhusiana na sex... (refer upuuzi wa kula tigo ulivyosambaa)>>>>> #teamkukabampakapenati ; hapa marafiki vimeo automatically watakimbia

Mke ni mlinzi wa mumeo; hakikisha unamrudisha kwenye mstari anapotoka..... kwa #teamfbi >> ukiona dalili toa macho

All in all hakuna fomula.... anategemea ntu na ntu.......

Na wanawake muwe uptodate jamani....unakuta mtu kaolewa mko same age...mkipotezana miaka 3 baadae unaweza jikuta unamwamkia kwa jinsi anavyobadilika na kuwa bonge la mama kama kaenda age.....
 
Mi napenda tujadiliane sisi kwa sisi WANAWAKE ivi ni kwa nini WAUME ZETU hawatulii(dushelele zao hazitulii kwenye suruali) na mke au mwanamke mmoja?
yaani utafiti unaonyesha hata ungeyafanya mazuuuuuuuuuuri yote nje atatoka tu awe mlokole au sijui mswahilina..
JE dawa yao ni ipi?mana tukichekacheka ndo maukimwi hayataisha.
TUPEANE MBINU PENGINE kuna mtu ana mbinu na amemdhibiti wa kwake ili nasi tuige.
AKSANTE.

Kisaikolojia Unapozuia Mtu Fulani Asipate Access Ya Jambo au Kitu Fulani Ndiyo Kwanza Unamchochea Na Kumtia Ndimu Yeye Akifanye au Akijaribu. Sasa Mimi GENTAMYCINE Dume La Mbegu Nimefungua Thread Yako Na Nachangia Kwako Dada Yangu Na Dada Zangu Wengine Wote Na Wengi Wapendwa Humu JF Kwamba HEBU ACHENI KUISHI MAISHA YA FILAMU. Kwa Mfano Sisi Akina Poti Wa Vita Ni Vita Mura MNATULETEA MALAVIDAVI YENU YA FILAMU Hivi Mnategemea TUSIWAKATE VIBAO au TUSIWAPE NAKOZ ZA Kutosha Bila Kusahau Na KUWAGECHA? Acheni Hizo Dada Zetu Hebu Badilikeni! Kingine Siku Hizi Nanyi MNAPENDA KUTOKA SARE KIMATOKEO NA SISI WANAUME ( Kushindana KUCHEPUKA ). Kamwe HAMUWEZI KUSHINDANA na SISI na Mkae MKIJUA KUWA MWANAUME YOYOTE AMEUMBWA NA TABIA ZA MNYAMA Shupavu CHUI ( Hapa Namaanisha Kwamba MWANAUME YOYOTE HATA AWE AMEOA ILA KUWA NA MICHEPUKO NI KITU CHA LAZIMA ILA WANAUME WENZANGU WANACHOKOSEA NI KUTOJIHESHIMU na KUJIONYESHA ) Chui Hata Kama Kakamata Mnyama Na Anapanda Nae Mtini Akiona Mnyama Mwingine Chini Atamuhifadhi Yule Aliyempata Na KUJA au KUANZA KUMNYEMELEA Huyo Mnyama Mwingine. Namalizia Kwa Kusema Tu Kuwa HAKUNA MWANAUME RIJALI HUMU JF ASIYE NA MCHEPUKO au MICHEPUKO na KAMA YUKO BASI HUYO NI BONGE LA BOYA au POPOMA. Na Mchepuko au Kuchepuka Kunamwongezea MWANAUME MAUJUZI na MAUTUNDU Haswa ktk 6*6. Wanaume Wenzangu TUENDELEE TU KUCHEPUKA na HAKUNA KUBAKI NJIA KUU. ( Nimelianzisha Leo NITAKOMA Humu ila Poa Tu )
 
Nawaza jinsi ya kumlinda mwanaume hata sipati majibu nimlindeje.Nashindwa kwasababu sijawai kumshtukia kama anachepuka.Na kama anachepuka basi labda ni kwa dkk 5.Na anachepuka kwa usiri wa hali ya juu.
Cha msingi katika haya maisha ya ndoa kila mtu amuone mwenzake ni wa thamani asikubali kujishusha au kumshusha mwenzie thamani kwa kuchepuka.

Na sisi wanawake sehemu ambazo tunaona ni vyema kuwa na wenzi wetu basi tusikae mbali nao.Katika hili tuwe tunamshirikisha pia Mungu.
 
For better for worse asili ya wanaume wana kiburi ukimuona mstaarabu ujue anapretend tu..waongo..wanafiki...wazinzi...tamaaa...na mengine mabaya mabaya tu wamepewa wao..kupenda nako wameumbiwa thats why wanapendapenda hovyo wao hufikiri na kuamua nasi tunahis kisha tunafikiri hapo ndo tofauti..halafu wanawaheshim sana marafik na kuwaamini kuliko wake zao thats why weng wao hujikuta wanapotoka bila kujua ushaur wanaopeana huko mabaa ama vijiweni ni useful kias gani.
cha muhim ni maombi tu i swear hakuna kitu kingine kinachoweza kuwabadilisha ama kuwazuia.unakuta mtu ni mrembo mashallah umejaliwa everything..unajitahid nyumba yako iwe na heshima zote kama mwanaume atakavyo..u give him everything......unatafuta unapigana..i mean sio tegemez lakin baado tu atatoka na secretary...hilousegurl...vishankupe..yaan baasi tu baasi tu...nilikua nanunua gazet mahali siku moja nkakuta wale wanaume wanaokaaga kwenye vijiwe vya magazet wakijadili mpira na siasa etc..wanajadili et nyumba ndogo..mara likoja likaaema toka lakin mheshim mkeo..ukizaa utakua umemkosea heshima usizae nje..we nenda gonga rud home saafi...yaani nilikasirika mpaka nikasahau chenji....
u can see how these men act...yaani anakuheshim anakupa kila kitu lakin badooo anatoka tu...only God Almighty! can solve this...
 
mmmh tabia ya mtu pia ina matter, mtu hata umpende vipi, kiuno umkatie kama feni mbovu, ukabe vipi asubuhi umuage na mabusu na uchi umempa jioni umpokee na mabusu sekunde atakayoipata ataenda kutiana tu!!!!
mungu anipunguzie tu wivu mie nisijekufa na presha mboo yake bana acha aitembeze atakavyo...
bad enough ni pale unadhibiti nje ila atamtia hata mtu aliepo ndani ya nyumba shemeji, ndugu wote halali yake
 
Kisaikolojia Unapozuia Mtu Fulani Asipate Access Ya Jambo au Kitu Fulani Ndiyo Kwanza Unamchochea Na Kumtia Ndimu Yeye Akifanye au Akijaribu. Sasa Mimi GENTAMYCINE Dume La Mbegu Nimefungua Thread Yako Na Nachangia Kwako Dada Yangu Na Dada Zangu Wengine Wote Na Wengi Wapendwa Humu JF Kwamba HEBU ACHENI KUISHI MAISHA YA FILAMU. Kwa Mfano Sisi Akina Poti Wa Vita Ni Vita Mura MNATULETEA MALAVIDAVI YENU YA FILAMU Hivi Mnategemea TUSIWAKATE VIBAO au TUSIWAPE NAKOZ ZA Kutosha Bila Kusahau Na KUWAGECHA? Acheni Hizo Dada Zetu Hebu Badilikeni! Kingine Siku Hizi Nanyi MNAPENDA KUTOKA SARE KIMATOKEO NA SISI WANAUME ( Kushindana KUCHEPUKA ). Kamwe HAMUWEZI KUSHINDANA na SISI na Mkae MKIJUA KUWA MWANAUME YOYOTE AMEUMBWA NA TABIA ZA MNYAMA Shupavu CHUI ( Hapa Namaanisha Kwamba MWANAUME YOYOTE HATA AWE AMEOA ILA KUWA NA MICHEPUKO NI KITU CHA LAZIMA ILA WANAUME WENZANGU WANACHOKOSEA NI KUTOJIHESHIMU na KUJIONYESHA ) Chui Hata Kama Kakamata Mnyama Na Anapanda Nae Mtini Akiona Mnyama Mwingine Chini Atamuhifadhi Yule Aliyempata Na KUJA au KUANZA KUMNYEMELEA Huyo Mnyama Mwingine. Namalizia Kwa Kusema Tu Kuwa HAKUNA MWANAUME RIJALI HUMU JF ASIYE NA MCHEPUKO au MICHEPUKO na KAMA YUKO BASI HUYO NI BONGE LA BOYA au POPOMA. Na Mchepuko au Kuchepuka Kunamwongezea MWANAUME MAUJUZI na MAUTUNDU Haswa ktk 6*6. Wanaume Wenzangu TUENDELEE TU KUCHEPUKA na HAKUNA KUBAKI NJIA KUU. ( Nimelianzisha Leo NITAKOMA Humu ila Poa Tu )

you know what??? ngoja nikuache tu
 
Nawaza jinsi ya kumlinda mwanaume hata sipati majibu nimlindeje.Nashindwa kwasababu sijawai kumshtukia kama anachepuka.Na kama anachepuka basi labda ni kwa dkk 5.Na anachepuka kwa usiri wa hali ya juu.
Cha msingi katika haya maisha ya ndoa kila mtu amuone mwenzake ni wa thamani asikubali kujishusha au kumshusha mwenzie thamani kwa kuchepuka.

Na sisi wanawake sehemu ambazo tunaona ni vyema kuwa na wenzi wetu basi tusikae mbali nao.Katika hili tuwe tunamshirikisha pia Mungu.

Muda anaochepuka hata huwezi kuudhania
 
Back
Top Bottom