no way out ya kumdhibiti mwanaume, ni yeye mwenyewe busara yake ndio anaweza kudhibiti hisia zake..
Kwa hakika japo mimi mwanamke lakini wanaume ndivyo walivyoumbwa kuwa na hisia za matamanio kushinda wanawake...Mwanamme anaweza toka fanya na wewe na baada ya masaa akatoka nje ya nyumba na kumuona mwanamke mwingine kutamani kufanya nae...Hiyo ni maumbile...
Ila sisi wanawake ni tofauti kidogo...Tukishapata baasi tunaridhika labda hadi kesho kutwa yake au kesho yake kama hujaridhishwa vizuri..
Ndio maana baadhi ya Tamaduni mfano za AFrica zinaruhusu mwanamme kuoa mke zaidi ya mmoja...Au baadhi ya Dini zinaruhusu mwanamme kumiliki mke zaidi ya mmoja sababu kuna wanaume wamepewa au wamejaliwa nguvu na matamanio makubwa mwanamke mmoja kumridhisha inakuwa issue la sivyo huyo mwanamke atakoma atatoka na pichu mkononi akimbie siku.....
Wanawake kinachopaswa ni kuwa wavumilivu, na kuwatimizia waume zetu, usimnyime mmeo akitaka wewe mwanamke, mpe kama ni mzima huumwi mpe mmeoana ili mpeane....Usipompa wewe watampa wengine...
Kuna wanaume ambao wamejaliwa busara ya kuweza kucontrol hisia zao, ila wengine hawapo hivyo ndipo ikisimama hutafuta tuu wakuwa nae...Hao ndio wale wanaopenda kuchapachapa hata ndugu wao twende...Hawana busara hawa wala heshima...
Haya yanayofanywa sasa hivi na wanaume wa leo Si kama hayakuwepo enzi za mama zetu, yalikuwepo ila yalikuwa yanafanywa kwa kificho, na mama akigundua alikuwa anastahmili sana...japo sasa imezidi ila ni sababu pia na hali ya maisha ilivyobadilika mfano; mavazi ya sasa ya sisi wanawake yanachangia kuongeza matamanio yao nk.
Mwanaume ni kiumbe amaye hutamani sehemu mbali mbali za mwanamke, mfano mwingine akiona Ziwa tuu yeye uuuhh hoi, mwingine paja yu hoi na hivi vimekuwa wazi sana katika enzi hizi...hasa hahahaha samahani kwa hili KWA WALE WAVAAJI mfano zile skin tight zetu ambazo enzi hizo zilikuwa zinavaliwa ndani sasa zinavaliwa nje na mtu kutembea nazo blouse ikiwa fupi....Dah utakuta mtu mshepu huo....amevaa ile, Vagina yoote shape yake inaonekana, Kalio linaonekana lilivyokaa, ziwa kaweka jeki loote lipo juu akiinama tuu limechomoka...Dah lazima wachepuke, lazima akikutana na mwanamke kama huyu na hisia zake zikiwa karibu ataharibu au atatamani....
Yatubidi sisi tukubali mazingira, tuongee na wenzetu hao wanaume, tuvumilie ndivyo hivyo tena...Ila na watoto tunaowakuza wakiume tuwalee katika mazingira ya kuwafahamisha hali ilivyo, wajitambue wawe wenye busara na kuelewa wanawake wapo hawaishi kila kukicha wanazaliwa, athamini mwanamke, athamini mwanamke mwenye tabia njema...nk...
NDIYO MAONI YANGU
Mi napenda tujadiliane sisi kwa sisi wanawake ivi ni kwa nini wanaume zetu hawatulii(dushelele zao hazitulii kwenye suruali) na mke au mwanamke mmoja?
Yaani utafiti unaonyesha hata ungeyafanya mazuri yote nje atatoka tu awe mlokole au sijui mswahilina.
Je dawa yao ni ipi? maana tukichekacheka ndo maukimwi hayataisha.
Tupeane mbinu pengine kuna mtu ana mbinu na amemdhibiti wa kwake ili nasi tuige.
Asanteni.