Kwa wanawake tu mwanaume usifungue hapa

Kwa wanawake tu mwanaume usifungue hapa

Jamani toka 2003, 3 yrs kabla ya ndoa na 9yrs sasa after ndoa sijawahi chepuka lknlkn kinachoniudhi no wanawake kudanganyana na kukosa kujiamini. Utasikia wanaume nyie mbwa tu, hakuna mwanaume asiye na mchepuko.ukishawaza tu hayo hutaishi kwa a man I wala kufurahia ndoa
 
Umenifurahisha ulipokumbushia kuhusu smile...

I love smiling...na wanagu wakiniona wana smile back...

Kununa ni kujingezea miaka kwenye umri ulonao...

Na uzee mwisho chalinze...
Last year nilikuwa na hubby mahali sa nikanyanyuka kwenda washroom nilikuwa ndani ya kigauni cha mini...niliporudi akanambia baby mwili wako sasa hivi umerudi kama nilipokuona first time...

Yani mpaka leo na rewind kichwani mwangu haya maneno...

Pigeni tizi wamama...hili na waume zenu wasione aibu kuongozana na nyie... japo mna watoto bado huko kwenye chati...
Wanaume wanasema hawajali hata mkiwa na miili iloharibika kwa uzazi...but deep inside wanajali sana...

Na kuhusu umri mi mume wangu kanizidi miaka 3 tu

umeongea kweli kabisa na wenye masikio wasikie. sio kujiachia ukiulizwa unasema hili tumbo limepitisha watoto watatu tena kwa ceasar yaani wanawake wanajipa excuse za ajabu. mimi na uzee wangu nimehakikisha na maintain shape mpk leo watoto wangu nawasema maana kuna waliojiachia wakitembea na mimi unajua ni wadogo zangu na si watoto wangu.
 
Wanawake kweli mmeamua hee,najuta kuifungua wakati c ke.
 
sasa kama unasema hamna warant kwamba he wont cheat sasa mwalalamika nini? just accept kuwa dushelele zetu penda bottow power lol...ni tamu

alafu ebu lets think about it, if every lady were to remain a virgin and stick to the principle ya no kugegedwa mpaka ndoa kusingekuwa na michepuko bana...so the reality is that u ladies are responsible for the creating the very problem u complaining about.

p.s i miss u

You always blaim ladies i proved you wrong more than once ila hutaki amini let me wait for my inlaw atakae kuja maana she has to be born for you
 
Nyumba kubwa, kama ndoa yako ndivyo ilivyo kama unavyoeleza hapa, piga goti kila siku na mwambie mungu ASANTE, kwani ndoa yako ni kati ya ndoa 1 kati ya 50 za waafrika. Muombe mungu pia ailinde iendelee kua hivyo hivyo. Usimshangae rafiki yako anayekuja mwenyewe club na watoto bila mume, si ajabu na yeye pia anakushangaa kua huyo mumeo hana marafiki, kutwa ubavuni kwa mkewe? maana kwa wanaume wa Kiswahili hii ni nadra sana. Shukuru mpendwa wangu tena usipite ukipiga maana shetani hupenda familia kama yako. Kukumbusha tu, shetani ni sisi wenyewe binadamu kama ulikua hujui.
Si kumbana wala kumwambia...si mtoto yeye...it comes so natural...
Ndio maana wanasema usikosee kuchagua mume...

Wewe utaanzia wapi kumwambia mumeo tangu leo jumamosi ni ya watoto na jumapili ya kwetu...
Kwanza ni yeye ndio anakukumbusha mbona bado hujajiandaa...

Nikisema wasukuma noma that is what I mean...

Hakikisha unaolewa na love of your life...usilazimishe ndoa...
Baada ya hapo penzi likichuja una haki ya kujikagua umeteleza wapi...maana kuna wanawake wenyewe ndio wanajiengua kwenye mitoko ya waume zao...bcos piga ua newly married couples wanatoka pamoja...baada ya muda mke anajito mwenyewe kwenye ratiba...sasa ukitaka kurudi ndio utakapo jua huna siti yako tena...

Mimi nilikuwa naenda bar na mimba yangu ya miezi nane...na si kujilazimisha...na enjoy company ya mume wangu...na inasaidia kumfanya mume awe na tabia ya kuwahi rudi home hata kama yuko mwenyewe siku zingine...na kuna vijiwe tunavyopenda...vyenye staa na playground ya watoto...na watoto sasa wameshajua haki yao...

Kuna shogangu uwa nakutana nae kwenye club fulani akiwa mwenyewe...au na watoto (ni family club) yani namshangaa simmalizi...mumewe namuona facebook tu sijawahi kumtia machoni...najiuliza uwa anamuacha wapi?

Wakati mwingine nikiona wanawake wanateseka afu nikiangalia dada zangu na mdogo wangu wanavyopeta natafuta reason...labda sisi tuna genes za ukali wa simba lakini anazaa...hii inafanya tuolewe na wanaume ambao wanajitambua na wanajua maana ya kuwa mume wa mtu ni nini...

Na fomula ya maisha yangu ni kutojiangaisha na vitu nisovijua...zile za kukaa na kuwaza negatively kuwa hata kama sijui huyu mume atakuwa na kimada tu hazina nafasi kwenye maisha yangu...and that is why I enjoy my marriage to the fullest...
 
and one should know the time to stay, walk away and to run...

Ingawa hawa ma star wana run hata pale walipotakiwa ku stay...sijui jeuri ya feza au umaarufu? ndio maana ndoa zao hazidumu kabisa...

Mfano Gabrielle alichitiwa na jamaa yake...japo hawakuwa kwenye ndoa...the girl is humble ndio maana leo ameolewa...
Jamaa inawezekana alikuwa trapped mpaka kuzaa lakini his love for Gabby bado iko pale pale....kwa wanaume sex should not be equated with love... a man can have sex with one lady while his heart is with someone else...

Ndio maana kuna wengine wanakuja wanalia humu nimempa mimba binti nisiyempenda nifanyeje...watu mnashangaa...kumbe yeye alikuwa after sex service....


asante nyumba kubwa kwa kutambua hilo hapo juu(bolded),

wanawake wengi ndo ugonjwa huu wasioutambua katika fikra zao
 
Jamani toka 2003, 3 yrs kabla ya ndoa na 9yrs sasa after ndoa sijawahi chepuka lknlkn kinachoniudhi no wanawake kudanganyana na kukosa kujiamini. Utasikia wanaume nyie mbwa tu, hakuna mwanaume asiye na mchepuko.ukishawaza tu hayo hutaishi kwa a man I wala kufurahia ndoa


duh....kaka umejitahidi,

mie ikizidi sana miezi 3....................mungu aniepushie mbali lol...
 
mie sijautambua na wala haunihamasishi hata kidogo


samahani FirstLADY1, ukiondoa fikra gandamizi kichwani kwako,

na kuufanya moyo kuwa mwepesi wa kutaka kujua basi utafahamu tu alichokiandika NYUMBA KUBWA kinamaanisha nini,

By the way, Siruhusiwi kuingia huku jikoni, nimepita kuchukua glass ya kunywea maji tu jameni,

tchaoooo..........
 
The biggest success on solving the problem is first of all understanding it.je wanawake mnawaelewa vizuri wanaume?tunavyorelay kwenye masuala ya uchawi mara maombi je hio ndo sababu ya wanaume kucheat?wako wanaosema wanaume wanapenda wanawake wanaojua mgegedo,wengine wamasema wanapenda mapishi.je ni kweli?basi Tanga kusingekua na talaka ama strippers na hookers wasingelia kilio hichi au basi machef wangekua asilani.binafsi naamini mwanamke akisimamia nafasi yangu ana uwezo mkubwa wa kupunguza majaribu kwa mumewe,ila mkiendeleza za english medium basi suruali zitaendelea kuvaliwa magotini tu
 
Biblia inasema
' aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo ilivyo'
Kwahyo wale wanaoona na kuamini mwanaume hawawezi kubadirika, itabaki hivyo!

'Vile unavyokiri ndivyo unavyopekea'
Dunia iliumbwa kwa neno!
Tunepewa mamlaka, so unapokiri mwanaume wako hawez kubadirika itakuwa hivyo!

'Mungu ameumba jambo jipya duniani, mwanamke atamlinda mwanaume ( mume ).
Kumlinda huku sio kumfuatilia nk..
Omba Mungu atashughulika nae na hatachepuka!Mungu c mwanadamu hata aseme uongo!

'Mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe'

Ndio!
Mwanamke ndo mlinzi ndo mbeba maono ya familia Ndo maana ndoa ikiyumba lawama kwa mama Yes!
Kwa sbb mama hajacheza kwenye nafasi yake.....

Siamini kuwa.mume wangu atacheat kamwe km Mungu aishivyo.

Tatizo letu tukishaolewa basi ht maombi watu wanasahau mpaka mume aanze kuzingua ....
Muda wa kulalamika kuwa.mumeo hajatulia sema na Mungu omba kwa ajili ya mume
Huko nje vimada wanachofanya wanaenda kwa waganga then wananuiza.maneno yao basi!
Nothing new, shetani hana jipya
So nafsi ya.mumeo ikishabebwa u a in trouble!

Raha ya maombi ni silaha na ulinzi wa familia
Na adui anapopanga unaonyeshwa kwny ulimwengu wa roho na unaomba basi na.ukishaonyesha ni kuwa ushamshinda adui!
Coz Mungu hawatupi walio wake atakufunulia tu yajayo.

Omba omba omba hyo ndo dawa

Coz lucifer sshiv ana dili na hii institutions kuliko mnavyofikiria.

Maoni yangu!

Nimekupenda bure! Nina imani kwa mane no haya umeponya wengi
 
Back
Top Bottom