Kwa wanawake tu mwanaume usifungue hapa

Kwa wanawake tu mwanaume usifungue hapa

Hahaaaahahaaaaa! MARRIAGE IS A HYPOCRITICAL INSTITUTION INDEED! Basi yeyeakiwa ana dadisi K na wewe una dadisi. Sampuli za midushelele tu, akirudiunarudi ngoma droooo! Mwaga mboga nimwage ugali, Hii mambo unakaa kimya unaletewa watoto wa 3wa nje, mchezo sasa!

Shosti yangu Amber rose kimenuka tayari anamuacha Wiz khalifa! Hahaaa!
Marriage is an institution of the blind! Jikausheni kama hamna kitu, vinginevyo! mwafaaaaa (in .... Voice)
 
Ngoja nielezee uzoefu wangu mimi na mume wangu niko nae sasa kwenye ndoa kwa miaka 9 sasa unaenda wa 10 lakini nauhakika he never cheat ...sababu zangu ni hizi tunafanya kazi sehemu moja yani tuna kampuni yetu wenyewe so kila siku asubuhi tunatoka wote kwenda ofisi kawaida hutoka nyumbani saa 4 coz kunawatu hufungua so mimi nitatayarisha chai mwenyewe naiyo niratiba yangu sikuzote hata chapati nitaipika iyo asubuhi nashukuru mungu mimi nimtu ninae penda kupika na najua sijisifii ....then tunaenda kwa ofisi mchana lunch tutaenda wote au tutatuma mtu haya jioni tutaondoka wote njiani kawaida yangu lazima nimuulize atakula nini usiku so kama hivyo vitu havipo home tutanunua wakati tunarudi ..sasa w.end wakati mwingine tuko home tu au tutawatoa watoto au yeye atabaki home mimi nitatoka na watoto sasa sijui mda gani huchepuka wallah...na hii biashara tunayofanya inahusu kusafiri sana nje hata akisafiri yeye mimi baada ya wiki nitaenda ...jingine anaamani na sm yake kuliko mfano nauwezo wakupokea sm yake ninavyotaka msg zikiingia atakwambia usome ujibu.....
Sorry nimeingia kucheki meeting minutes, baada ya kusoma hii post nimeona kama umenielezea mi kwa picha ya mumeo.
Kiukweli mi sijuagi kuchepuka nikiwa na mtu zaidi ya upendo tu...yani utanichoka wewe maana kila muda utaonihitaji nitajitahidi tuwe pamoja! Ofcourse sijisifii ila uwezo wangu unafikia expectation za mapenzi kwa 99%. Hitimisho ni kweli wanaume tusio malaya tupo, ila hatuna bahati ya kupata wanawake watulivu au ukimpata baada ya muda flani kupita atakupanda kichwani tu..
 
Hahaaaahahaaaaa! MARRIAGE IS A HYPOCRITICAL INSTITUTION INDEED! Basi yeyeakiwa ana dadisi K na wewe una dadisi. Sampuli za midushelele tu, akirudiunarudi ngoma droooo! Mwaga mboga nimwage ugali, Hii mambo unakaa kimya unaletewa watoto wa 3wa nje, mchezo sasa!

Shosti yangu Amber rose kimenuka tayari anamuacha Wiz khalifa! Hahaaa!
Hypocrite woman ever!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi ni ME samahani wamama kwa wadada ila nmeona hakuna muafaka na nina wazo la jumla ambalo laweza wasaidia.
Nadhani wote tunajua hakuna kitu kinazidi nguvu ya upendo hapa duniani. Naimani hamna mtu asiependa kuona kwamba ana thamani mbele ya mpenzi wake.

Labda tu kwa kuweka sawa, wanawake inabidi mjitathmini jinsi mnavyoishi na waume zenu hasa kwa kuzingatia upendo, msitukere waume zenu kwa kauli za hovyo, muache viburi na muwe wepesi kusamehe na pia kutoa ushauri wa kutujenga zaidi, naamini ukiwa karibu na mumeo ukamfanya kuwa rafiki yako wa pekee mna share everything bila ubinafsi, inapendeza na muda mwingi hatotaka akukose na hata kusameheana inakuwa rahisi endapo mtapishana.

Wanawake wengi siku hizi wanafeli sehemu ndogo mno ambayo ni ubinafsi mwingi,
kutokuwa romantic na kuwa na gubu la mara kwa mara, yani inakuwa kama routine..mwanamke hajui kusema samahani wala asante zaidi ukimsema atajinunisha bila sababu, siku za mke kumnunia mume ni nyingi kuliko wanazocheka...Haya huwa yanatokeaga baada ya mwanamke kupata ndoa tu ambapo anaona hana haja ya kukip effort tena. Siku kidume unastimu unaomba gemu unapewa ilimradi tu, mtu atikisiki au anakwambia nmechoka bhana ntakupa kesho.

Hamjui tu ila men like to be appreciated sana na pia kupewa treatment special pia. Sio unarudi salamu hakuna, hupokelewi yani ni unaanza pewa stori za matatizo tu...Stress mtindo mmoja, mwanamke kang'ang'ania umpe hela hajali tupo nyakati gani yani sio muelewa! Apo kashakuharibia siku hamna stori tena ye yupo busy na simu full time hataki jua umeshindaje yan kero tu.

Hapa ndipo michepuko wanapowin waume zenu, utakuta mchepuko anamfanyia vyote ambavyo we hufanyi. Anamkirimu mume vyema na pia anampa utamu kwa staili ya kipekee bila kuchoka huku akimlevya na maneno matamu. Mchepuko hana gubu yeye ni kutumia ulimi vyema tu mpaka anajikuta kajengewa nyumba kabisa. Anacho offer ni kitu kidogo ila kina thamani kubwa sana kwa mwanaume.

Nadhani wanawake wengi mkizingatia jinsi ya ku handle wanaume zenu itasaidia mno.
 
Ndio sio wote mamanzara ila hapa nasemea wale ambao kutwa house gal anashika kila kitu had maji ya mume kuoga atenge housegal unadhan ataona mke anahudumia au housegal wengine.hawawapi waume.zao.mahitaj.stahiki kwa nin.astoke nje akatafte anapopewa ya kustahili wanaume nao sio wote wachepukao
Haya mambo ya kutenga tenga maji ni kuendekeza umaskini, shower kazi yake nini?
 
Hahahaaaaaaaa! Ndo mmefikia hapa wanawake wenzangu? Loooooh! (Siwanangi wenzangu, ninestuka tu!)

Naonaga watu wanaombe boxer za waume zao, mara sijui kupaka mafuta ya mzeituni, ilimradi tu hali si shwari! Hahaaaaaaaaa! Wangejua kina Yuda nao wamo katikati yao kwenye maombi duuuuuuuh!

DAWA KWA YESU TU! Akichepuka tu ataona kama anaweza na kumchepuka Yesu! Akifika huko hana HAMU kabisaaaa! Itaimbiwa mpaka simama dede kitu zzzzzzzzzzzzz! Concious inawaka moto! Sugua goti dada hilo! Oooooooooh! Wake za watu siku hizi jmosi huwakuti majumbani, wapo kwenye MAOMBIIIIII!

Nyumbq ndogo nazo hazikai jmosi, kwenye VILINGE VYA WAGANGAAA! Wanamaliza tu nazi njia panda! Hahahaaaaaaa! Hawakaubali kushindwaaa! Wewe uwe na mume mzuri hivo una nini, yeye adode ana nini? Mtabanana hapo hapo! Anakurushia kimavi hata cheo hupandi, mumeo anakuona big simba wakati uzazi umekuongeza kidogo tu, anakuona bibi yake si bibi yake kumbe midawa ile! Hahaaaa! (Its not a laughing matter!)
duuuh gud pint to learn on it.

asante Lara 1

BTW ulipotelea wapi? nilikumisi mie
 
Mi ni ME samahani wamama kwa wadada ila nmeona hakuna muafaka na nina wazo la jumla ambalo laweza wasaidia.
Nadhani wote tunajua hakuna kitu kinazidi nguvu ya upendo hapa duniani. Naimani hamna mtu asiependa kuona kwamba ana thamani mbele ya mpenzi wake.

Labda tu kwa kuweka sawa, wanawake inabidi mjitathmini jinsi mnavyoishi na waume zenu hasa kwa kuzingatia upendo, msitukere waume zenu kwa kauli za hovyo, muache viburi na muwe wepesi kusamehe na pia kutoa ushauri wa kutujenga zaidi, naamini ukiwa karibu na mumeo ukamfanya kuwa rafiki yako wa pekee mna share everything bila ubinafsi, inapendeza na muda mwingi hatotaka akukose na hata kusameheana inakuwa rahisi endapo mtapishana.

Wanawake wengi siku hizi wanafeli sehemu ndogo mno ambayo ni ubinafsi mwingi,
kutokuwa romantic na kuwa na gubu la mara kwa mara, yani inakuwa kama routine..mwanamke hajui kusema samahani wala asante zaidi ukimsema atajinunisha bila sababu, siku za mke kumnunia mume ni nyingi kuliko wanazocheka...Haya huwa yanatokeaga baada ya mwanamke kupata ndoa tu ambapo anaona hana haja ya kukip effort tena. Siku kidume unastimu unaomba gemu unapewa ilimradi tu, mtu atikisiki au anakwambia nmechoka bhana ntakupa kesho.

Hamjui tu ila men like to be appreciated sana na pia kupewa treatment special pia. Sio unarudi salamu hakuna, hupokelewi yani ni unaanza pewa stori za matatizo tu...Stress mtindo mmoja, mwanamke kang'ang'ania umpe hela hajali tupo nyakati gani yani sio muelewa! Apo kashakuharibia siku hamna stori tena ye yupo busy na simu full time hataki jua umeshindaje yan kero tu.

Hapa ndipo michepuko wanapowin waume zenu, utakuta mchepuko anamfanyia vyote ambavyo we hufanyi. Anamkirimu mume vyema na pia anampa utamu kwa staili ya kipekee bila kuchoka huku akimlevya na maneno matamu. Mchepuko hana gubu yeye ni kutumia ulimi vyema tu mpaka anajikuta kajengewa nyumba kabisa. Anacho offer ni kitu kidogo ila kina thamani kubwa sana kwa mwanaume.

Nadhani wanawake wengi mkizingatia jinsi ya ku handle wanaume zenu itasaidia mno.

Onyo umeliona na bado umeingia hahahaha
 
Kumbe ndio mipango yenu...? Nimeamini wanawake hamna huruma kwa wanawake wenzenu wanaume tunahurumia wanawake sana
 
Mi ni ME samahani wamama kwa wadada ila nmeona hakuna muafaka na nina wazo la jumla ambalo laweza wasaidia.
Nadhani wote tunajua hakuna kitu kinazidi nguvu ya upendo hapa duniani. Naimani hamna mtu asiependa kuona kwamba ana thamani mbele ya mpenzi wake.

Labda tu kwa kuweka sawa, wanawake inabidi mjitathmini jinsi mnavyoishi na waume zenu hasa kwa kuzingatia upendo, msitukere waume zenu kwa kauli za hovyo, muache viburi na muwe wepesi kusamehe na pia kutoa ushauri wa kutujenga zaidi, naamini ukiwa karibu na mumeo ukamfanya kuwa rafiki yako wa pekee mna share everything bila ubinafsi, inapendeza na muda mwingi hatotaka akukose na hata kusameheana inakuwa rahisi endapo mtapishana.

Wanawake wengi siku hizi wanafeli sehemu ndogo mno ambayo ni ubinafsi mwingi,
kutokuwa romantic na kuwa na gubu la mara kwa mara, yani inakuwa kama routine..mwanamke hajui kusema samahani wala asante zaidi ukimsema atajinunisha bila sababu, siku za mke kumnunia mume ni nyingi kuliko wanazocheka...Haya huwa yanatokeaga baada ya mwanamke kupata ndoa tu ambapo anaona hana haja ya kukip effort tena. Siku kidume unastimu unaomba gemu unapewa ilimradi tu, mtu atikisiki au anakwambia nmechoka bhana ntakupa kesho.

Hamjui tu ila men like to be appreciated sana na pia kupewa treatment special pia. Sio unarudi salamu hakuna, hupokelewi yani ni unaanza pewa stori za matatizo tu...Stress mtindo mmoja, mwanamke kang'ang'ania umpe hela hajali tupo nyakati gani yani sio muelewa! Apo kashakuharibia siku hamna stori tena ye yupo busy na simu full time hataki jua umeshindaje yan kero tu.

Hapa ndipo michepuko wanapowin waume zenu, utakuta mchepuko anamfanyia vyote ambavyo we hufanyi. Anamkirimu mume vyema na pia anampa utamu kwa staili ya kipekee bila kuchoka huku akimlevya na maneno matamu. Mchepuko hana gubu yeye ni kutumia ulimi vyema tu mpaka anajikuta kajengewa nyumba kabisa. Anacho offer ni kitu kidogo ila kina thamani kubwa sana kwa mwanaume.

Nadhani wanawake wengi mkizingatia jinsi ya ku handle wanaume zenu itasaidia mno.
Leo umeamua kufungukaaaaaaa
Haya tuliosikia tumesikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom