Asienunua hasahishiwi daftariCheki na Evelyn Salt, mnafunga ubuyu mnaenda kuwauzia wanafunzi kwa lazima.
kawe fundi cherehani.. au uwe mvuviNina laki moja naweza kuiwekeza wapi ili nipate faida mara mbili au zaidi?
muombe mtu anaejua kukaanga karanga kwa kiwango kizuri akuelekeze kisha nunua uzinunue nunua karanga kwa jumla anza kukaanga na zifungashe vizuri kisha tafuta vijiwe maeneo ya stand,mashuleni,na sehemu zote zenye mkusanyiko wa watu,,kwa mtaji uo unatosha sana usione haya we fanya pia zingatia usafi na ww muda wote uwe smart,,,,ujasema uko wapi mimi niko arusha nauza karanga na mchele kwa bei ya jumla unaweza ukaniPMNina laki moja naweza kuiwekeza wapi ili nipate faida mara mbili au zaidi?
karanga na big gNi US dollar ama Tshs? Kama ni Tshs jaribu biashara ya ubuyu
***uza kachori mashuleni,baada ya wiki hihyo hela ita double
Unakaa wapi kwanza