Mtanga90
JF-Expert Member
- Nov 18, 2022
- 238
- 459
Km rais kabaliki yafanyike makamu wa rais angefanya nn?Kwanini na yeye si alikua sehemu ya wahusika
Wewe ni chawa mama?
Km rais kabaliki yafanyike makamu wa rais angefanya nn?Kwanini na yeye si alikua sehemu ya wahusika
Wewe ni chawa mama?
Uwezo alikuwa hana hayo mambo yamefanyika enzi za jpmUnajua kabisa mtu anaiba na una awezo wa kumzuia au kumfanya chochote halafu unakuja kutuambia sisi ili tufanyaje?
kwaiyo vice president angemzuia dikteta asiibeUnajua kabisa mtu anaiba na una awezo wa kumzuia au kumfanya chochote halafu unakuja kutuambia sisi ili tufanyaje?
AKIJIUZULU mwaka 2025 nachukua FOMU ya KUGOMBEA URAISLeo Januari 31, 2023 Rais Samia amezungumzia suala la Plea Bargain, utaratibu wa Makubaliano ya Kumaliza Kesi kwa Kulipa Fedha kwa Serikali ambao ulitumika wakati wa Utawala wa Hayati Rais Magufuli chini ya DPP Biswalo Mganga aliyeondolewa na kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu, huku akieleza kuwa Suala hilo limekuwa na utata ikiwemo baadhi ya pesa zilizolipwa kwenye akaunti zimeoneka kupelekwa Nchini China.
Ukiachana na hilo Jaji Biswalo amekuwa kwenye kashfa nyingi ikiwemo kuchukua mali za washtakiwa bila utaratibu wenye uwazi, bila uwepo wa sheria na akaunti maalumu ya Serikali inayokusanya fedha hizo.
Sasa kwa hili la leo, Jaji Biswalo anasubiri nini kuachia nafasi hiyo kuonesha Uwajibikaji? Lakini Pia, Rais Samia anasubiri nini kuunda Tume ya Majaji watatu wanaotakiwa kuchunguza suala hilo na kutoa uamuzi wa nini Rais afanye?
Anyway Taifa linasubiria ripoti ya matumizi ya fedha zaidi ya Tsh. Bilioni 50 zilizotokana na makubaliano ya washtakiwa na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS), Rais Samia Suluhu Hassan amesema ofisi hiyo ilipitia kipindi ambacho kuna michezo ilikuwa inafanyika ambayo iliharibu taswira ya taasisi hiyo.
Mkuu sasa ndyo muda wake wa kufanya kinachotakiwa kyfanyika kama kuna pesa ziliibiwa zirudishwe na walioiba wawajibishwe lakini akianza kutuambia sisi binafsi naona ni kama zile hadithi alizokuwa ananisimulia bibi yangu kule kijijiniHuyu maza ngoja nimtetee Kwa hili , kipindi cha Marehemu gaidi huyu maza hakua na nguvu yeyote ndio maana kuna kipindi alitaka hata kujiuzulu ila alipigwa biti.
Wacha tu nae ateme nyongo.
Ila Kwa mitazamo wangu maza inabidi mambo mengine ya hovyo yaliyofanyika kipindi cha Mwenda zake awe anayafanyia kazi kimyakimya bila kutaarifu umma kwani ni kama analeta taharuki na kuongeza kinyongo Kwa wananchi.
Namshauri wote waliofanikisha madhambi hayo awawajibishe kimya kimya
Kiuhalisia asingeweza lakini yy ndyo kila kitu kwa sasa kwahyo mimi na ww tulitegemea pesa zilizoibiwa zinarudishwa kokote zilipo na walioiba wanawajibishwakwaiyo vice president angemzuia dikteta asiibe
Una manisha akajiajiri?Leo Januari 31, 2023 Rais Samia amezungumzia suala la Plea Bargain, utaratibu wa Makubaliano ya Kumaliza Kesi kwa Kulipa Fedha kwa Serikali ambao ulitumika wakati wa Utawala wa Hayati Rais Magufuli chini ya DPP Biswalo Mganga aliyeondolewa na kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu, huku akieleza kuwa Suala hilo limekuwa na utata ikiwemo baadhi ya pesa zilizolipwa kwenye akaunti zimeoneka kupelekwa Nchini China.
Ukiachana na hilo Jaji Biswalo amekuwa kwenye kashfa nyingi ikiwemo kuchukua mali za washtakiwa bila utaratibu wenye uwazi, bila uwepo wa sheria na akaunti maalumu ya Serikali inayokusanya fedha hizo.
Sasa kwa hili la leo, Jaji Biswalo anasubiri nini kuachia nafasi hiyo kuonesha Uwajibikaji? Lakini Pia, Rais Samia anasubiri nini kuunda Tume ya Majaji watatu wanaotakiwa kuchunguza suala hilo na kutoa uamuzi wa nini Rais afanye?
Anyway Taifa linasubiria ripoti ya matumizi ya fedha zaidi ya Tsh. Bilioni 50 zilizotokana na makubaliano ya washtakiwa na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS), Rais Samia Suluhu Hassan amesema ofisi hiyo ilipitia kipindi ambacho kuna michezo ilikuwa inafanyika ambayo iliharibu taswira ya taasisi hiyo.
Na mimi nilielewa hivyo.Hawa walikuwa ni wezi halafu wababe, yani wanakuibia na ukijua wamekuibia ukataka kuwauliza wanakutishia na wakati mwingine wanakupiga kabisa.
Huyo Jaji aliteuliwa kwenye hiyo nafasi ili tu atoke kwenye ile nafasi ya DPP aliyokuwa anaitumia kujineemesha, hakuwa na sifa ya kuwa Jaji. Ilimpasa yeye mwenyewe kujipima na kuikataa nafasi ya Ujaji na kujiuzulu nafasi aliyokuwa nayo ya DPP.
Bora aweke wazi wahusika wajirekebisheHuyu maza ngoja nimtetee Kwa hili , kipindi cha Marehemu gaidi huyu maza hakua na nguvu yeyote ndio maana kuna kipindi alitaka hata kujiuzulu ila alipigwa biti.
Wacha tu nae ateme nyongo.
Ila Kwa mitazamo wangu maza inabidi mambo mengine ya hovyo yaliyofanyika kipindi cha Mwenda zake awe anayafanyia kazi kimyakimya bila kutaarifu umma kwani ni kama analeta taharuki na kuongeza kinyongo Kwa wananchi.
Namshauri wote waliofanikisha madhambi hayo awawajibishe kimya kimya
Hii ni sabuni ya kusafishia chamaLeo Januari 31, 2023 Rais Samia amezungumzia suala la Plea Bargain, utaratibu wa Makubaliano ya Kumaliza Kesi kwa Kulipa Fedha kwa Serikali ambao ulitumika wakati wa Utawala wa Hayati Rais Magufuli chini ya DPP Biswalo Mganga aliyeondolewa na kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu, huku akieleza kuwa Suala hilo limekuwa na utata ikiwemo baadhi ya pesa zilizolipwa kwenye akaunti zimeoneka kupelekwa Nchini China.
Ukiachana na hilo Jaji Biswalo amekuwa kwenye kashfa nyingi ikiwemo kuchukua mali za washtakiwa bila utaratibu wenye uwazi, bila uwepo wa sheria na akaunti maalumu ya Serikali inayokusanya fedha hizo.
Sasa kwa hili la leo, Jaji Biswalo anasubiri nini kuachia nafasi hiyo kuonesha Uwajibikaji? Lakini Pia, Rais Samia anasubiri nini kuunda Tume ya Majaji watatu wanaotakiwa kuchunguza suala hilo na kutoa uamuzi wa nini Rais afanye?
Anyway Taifa linasubiria ripoti ya matumizi ya fedha zaidi ya Tsh. Bilioni 50 zilizotokana na makubaliano ya washtakiwa na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS), Rais Samia Suluhu Hassan amesema ofisi hiyo ilipitia kipindi ambacho kuna michezo ilikuwa inafanyika ambayo iliharibu taswira ya taasisi hiyo.
Kampa ujaji, na wamewapa majaji kinga, hii kwa comedy tupo vizuri sanaLeo Januari 31, 2023 Rais Samia amezungumzia suala la Plea Bargain, utaratibu wa Makubaliano ya Kumaliza Kesi kwa Kulipa Fedha kwa Serikali ambao ulitumika wakati wa Utawala wa Hayati Rais Magufuli chini ya DPP Biswalo Mganga aliyeondolewa na kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu, huku akieleza kuwa Suala hilo limekuwa na utata ikiwemo baadhi ya pesa zilizolipwa kwenye akaunti zimeoneka kupelekwa Nchini China.
Ukiachana na hilo Jaji Biswalo amekuwa kwenye kashfa nyingi ikiwemo kuchukua mali za washtakiwa bila utaratibu wenye uwazi, bila uwepo wa sheria na akaunti maalumu ya Serikali inayokusanya fedha hizo.
Sasa kwa hili la leo, Jaji Biswalo anasubiri nini kuachia nafasi hiyo kuonesha Uwajibikaji? Lakini Pia, Rais Samia anasubiri nini kuunda Tume ya Majaji watatu wanaotakiwa kuchunguza suala hilo na kutoa uamuzi wa nini Rais afanye?
Anyway Taifa linasubiria ripoti ya matumizi ya fedha zaidi ya Tsh. Bilioni 50 zilizotokana na makubaliano ya washtakiwa na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS), Rais Samia Suluhu Hassan amesema ofisi hiyo ilipitia kipindi ambacho kuna michezo ilikuwa inafanyika ambayo iliharibu taswira ya taasisi hiyo.
Ndiyo maana huwezi akamlaumu Hayati JPM kwa kuuza nyumba za Serikali alipokuwa ni Waziri wa Ujenzi kwa sababu aliyetoa amri ya nyumba hizo kuuzwa alikuwa ni boss wa JPM. Huwezi pia ukamlaumu mama katika hili. Yaani aogope kurekebisha kitu akiwa Rais kisa wakati kinafanyika alikuwa mmojawapo kwenye Serikali?Kwanini na yeye si alikua sehemu ya wahusika
Wewe ni chawa mama?
Kwanini na yeye si alikua sehemu ya wahusika
Wewe ni chawa mama?
Mama huwezi jisafisha wakati naye alikuwa kwenye hilo hilo jahazi. Kiongozi makini alipaswa awe amesha jiuzulu zamani.
Yeye kuendelea kukaa hapo, na hao waliofanya haya madudu kuendelea kuwateua ni ishara kwamba yeye kiongozi anabariki hayo madudu.
Kulialia na kutafuta sympathy hakuta msaidia, ni heri akae kimya sio kusema halafu huwa uwezo wa kuchukua hatua. Watanzania sio wajinga.
Ni vizuri yote yasemwe na kuwekwa wazi ili yasijirudie tena kamwe.Huyu maza ngoja nimtetee Kwa hili , kipindi cha Marehemu gaidi huyu maza hakua na nguvu yeyote ndio maana kuna kipindi alitaka hata kujiuzulu ila alipigwa biti.
Wacha tu nae ateme nyongo.
Ila Kwa mitazamo wangu maza inabidi mambo mengine ya hovyo yaliyofanyika kipindi cha Mwenda zake awe anayafanyia kazi kimyakimya bila kutaarifu umma kwani ni kama analeta taharuki na kuongeza kinyongo Kwa wananchi.
Namshauri wote waliofanikisha madhambi hayo awawajibishe kimya kimya