MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,090
- 22,361
Ninawasalimu kwa jina la Chama Pendwa CCM.
Ninaandika nikiwa nina hasira kali sana dhidi ya mbunge aitwae Babu Tale kutokana na hoja zake zilizokosa weledi huko bungeni wakati akichangia bajeti ya wizara inayohusika na sanaa. Huyu babu kwa kukosa weledi alitaja majina ya wasanii katika hali iliyoonyesha kabisa ni chuki dhidi ya baadhi ya wasanii wakati alipaswa kuwa mwakilishi wa wasanii wote. Ni kauli ambazo sina haja ya kuzirudia hapa maana zinatrend kwa sasa.
Ninamkumbusha Babu Tale kujua kwamba anapokuwa bungeni anakuwa mwakilishi wa watanzania wote na sio mwakilishi wa WCB wala Tiptop. Kitendo cha kumtetea Kasim Mganga na kumponda Luludiva sio cha kiungwana. Pia ninamshauri mwaka 2025 atafute kazi nyingine za kufanya kwasababu wabunge mizigo hawatarudi bungeni.
Tunapaswa kubadili katiba ili angalau bungeni wasiingie vilaza kama kina Tale na kuchafua hadhi ya bunge.
Mbunge Babu Tale akichangia bajeti ya wizara ya utamaduni
Ninaandika nikiwa nina hasira kali sana dhidi ya mbunge aitwae Babu Tale kutokana na hoja zake zilizokosa weledi huko bungeni wakati akichangia bajeti ya wizara inayohusika na sanaa. Huyu babu kwa kukosa weledi alitaja majina ya wasanii katika hali iliyoonyesha kabisa ni chuki dhidi ya baadhi ya wasanii wakati alipaswa kuwa mwakilishi wa wasanii wote. Ni kauli ambazo sina haja ya kuzirudia hapa maana zinatrend kwa sasa.
Ninamkumbusha Babu Tale kujua kwamba anapokuwa bungeni anakuwa mwakilishi wa watanzania wote na sio mwakilishi wa WCB wala Tiptop. Kitendo cha kumtetea Kasim Mganga na kumponda Luludiva sio cha kiungwana. Pia ninamshauri mwaka 2025 atafute kazi nyingine za kufanya kwasababu wabunge mizigo hawatarudi bungeni.
Tunapaswa kubadili katiba ili angalau bungeni wasiingie vilaza kama kina Tale na kuchafua hadhi ya bunge.
Mbunge Babu Tale akichangia bajeti ya wizara ya utamaduni