TUTUO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,251
- 2,035
Kwa kauli hii huwezi kuwa mwana usalama yeyoteHmm.. Huko mambo ya kufukiwa hapana asee. Yaan uhai wangu utoke kwa ajili ya manufaa ya watu wengine.? Big Noo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kauli hii huwezi kuwa mwana usalama yeyoteHmm.. Huko mambo ya kufukiwa hapana asee. Yaan uhai wangu utoke kwa ajili ya manufaa ya watu wengine.? Big Noo
Wala sihitaji kuwa mwanausalama
mimi isingekuwa my extended family na shida nyingi hizi, basi hadi kufikia umri huo ningekuwa na gari na nyumba and more Nashukuru Mungu niliwahi kusoma na kupata kazi nzuri katika umri mdogo, nilimaliza my master degree at the age of 24. Nikapata kazi ya kunilipa mshahara mzuri sana at the age of 25, now nina miaka 27. Namshukuru Mungu napata mshahara si haba, nikijibana naweza nunua gari, nikajenga nyumba na nyongeza kabla ya kufikia 30. Lakini doo, mshahara ukitoka tuu unapukutika hatare, Umtumie bi mdashi home, shangazi sijui mjomba nini na nini basi najukuta naendelea kuwa maskini tuu bila kupenda. saivi ndo nipo nawajengea wazazi nyumba, nimalizanane nao ndo nianze kujijenga mimi.
Huyu hajui kuna ile mitoto tipwatipwa 5yrs utafikiri ni 8yrs hahahaha natania mommy cku ziende maisha yashakuwa tait haya na Noah zetu ndo zinataka ziote mbawaNdo mana nimekuambia I was lucky, unlike others. Kila darasa nililopita i was the youngest student. Ndo mana natumia hii statement 'nilibahatika kuanza shule mapema '
Wengi waliofulia hua wanakuja na kisingizio hiki. Ila watu naowajua wengi wanapiga hela balaa na wanafurahia income yao imekua. Yaani ukiona unalalamika jua upo mwenyewe na wengine ambao ni wavivu wanasubiri mtu aje awagawie pesa au ajira. Kwa mtu anayejituma situation ya sasa hivi haimuaffect kabisa.[emoji12] [emoji12] [emoji12] mkuu umenena vyema.. Sio kwa Tanzania hii ya Magufuli aisee Maisha kwa sasa yamekuwa magumu kwelikweli
hahahahaha hii ndio JF HAHAHADuh! Apa kila mtu ana gari nyumba cjui biashara ya mil 50 ..mara nilipata nikiwa na miaka 24 wengine 26 duh! Aya banaa
Sent using Jamii Forums mobile app
HHAHAHAHAHAMbona huu uzi waliochangia wengine under 30 wanasema wana gari ila plofile zinaonesha umri umeenda
Mijitu miongo mijtu mizima ,hahaaaahhukitaka upate hivyo usipitie mfumo wa elimu mpaka degree uta fail....
usiogope wengi wanakutisha lakin hawajue umri wao halisi...wengi wamezaliwa hakuna hospital so usimuamin mtu akikwambia under 30....mijitu miongo ni mijitu mizima kabisa.........
Analopanga Mola huwa hakosei na ukipatacho ni bora kumshukuru Mola bila kujali amekupa kwa wakati gani kwa mfano anaweza kukupa mali kwa umri mdogo akakuchukua mapema na mali zako zikatawanyika na ukasahaulika milele au ukachelewa kupata mali ila ukaishi muda mrefu na ukapata wa kukuendelezea mali zako na ukaendelea kukumbukwa vizazi na vizazi. Mmiliki wa Kentuky Fried Chicken (KFC) amepata mali akiwa aged tayari but hadi kesho kizazi chake kitafaidi uwekezaji wako. So time ipo kwa kila mmoja uwe under 25 or above
Usimpeleke mwanao medical school , I'm all overwhelm and exhausted ,approaching 30 na bado bila bila, natamani kuliaWakuu naomba kuuliza hivi humu JamiiForums kuna kijana yeyote ambaye yupo chini ya miaka 30 ambae anamiliki gari na nyumba. Yani ambae ametafuta kwa jasho lake bila kupewa au kurithi.
Nimeuliza hivi kwa sababu mimi nina miaka 25 na ndoto zangu ni kumiliki gari na nyumba kabla Sijaoa. Lakini kila siku zinavyosogea naona ndoto inakua ngumu kutimia.
Nikipita barabarani au kwenye kumbi za starehe naona vijana wadogo wamepaki magari yao, basi roho yangu inaumia sana.
Hivi inawezekana kweli au ni ndoto za mchana hizi ninazoota.