BILGERT
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 6,532
- 11,028
Rudi ukasome comment yako.Nadhan we ndo wa bush....unakurupuka...tunazungumzia maendeleo b4 30yrs....we unashangaa nini...
Rudi ukasome comment yako.Nadhan we ndo wa bush....unakurupuka...tunazungumzia maendeleo b4 30yrs....we unashangaa nini...
Wakuu naomba kuuliza hivi humu jamiiforum kuna kijana yeyote ambaye yupo chini ya miaka 30 ambae anamiliki gari na nyumba.Yani ambae ametafuta kwa jasho lake bila kupewa au kurithi.
Nimeuliza hivi kwa sababu mimi nina miaka 25 na ndoto zangu ni kumiliki gari na nyumba kabla Sijaoa.Lakini kila siku zinavyo sogea naona ndoto inakua ngumu kutimia.
Nikipita barabarani au kwenye kumbi za starehe naona vijana wadogo wamepaki magari yao, basi roho yangu inaumia sana.
Hivi inawezekana kweli au ni ndoto za mchana hizi ninazo ota.
Mkuu naomba nije pm tuyajengeNgoja nikueleze kidogo, nilimaliza chuo kikuu nikiwa na miaka 26 tayari nilikuwa na biashara yangu ya insurance agency na gari nilikuwa nayo aina ya Nissan March.
Nilifanya marketing nikapata kazi kubwa kwenye kampuni fulani sitaitaja wana malori na tanker trucks nilipokatia bima nilipata faida milioni 40 na ushehe maana alikuwa na lorry zaidi ya mia.
Nilijenga nyumba ndogo nikahamia kwangu mbezi juu interchick. Mwaka uliofata nilipata tena hiyo kazi nikabadilisha gari na miradi ikaanza nikaona nimesimama ilipofika nina miaka 29 nilioa na mpaka sasa nimerudi kwenye profession yangu ya Uwakili na maisha yanaendelea.
So amini kwenye hilo
Kwa wale ambao nilisoma lao wakaishia std 7 wengi sasa wana nyumba na gariNimesoma comments za wachangiaji wa huu mjadala, wengi sana ni waongo ama hawakumuelewa mleta hoja.
Jamani, bila back up ya familia ni ngumu sana kumiliki gari na nyumba kwa under 30! Si semi hawapo, ila sio wengi kiivyo kama walivyo jinasibu humu.
Wengi familia zetu ni zile ukipata kazi tu, macho yote kwako kitu kinachokuchelewesha kuwekeza
Fikiria bei za viwanja hapa mjini, tafakari mishahara ambayo wengi wanaanza nayo! Halafu angalia uhalisia wa namna watu wanavyochangia mjadala huu! Labda kama tunaongelea kujenga huko kijijini kwenye viwanja vya wazee!
Kwa wale wakishua, at the age of 22 - 25 wengi hapa bado hawajawaza kujitegemea tuseme ukweli!!!! Wengi hapa wanakuwa wamekazana na dady i want this, mom I want that, oh dad I want to study masters sijui of what and what na wanakuwa bise na magari na nyumba za wazazi wao!
In reality, ni wachache sana at the age of under 30! Namaanisha, under 30! Wanakuwa na vitu vyote hivyo! Ni wachache sana!
Ni pesa yangu bro, kufungua kampuni hauhitaji kuwa na mamilioni. Nilikuwa nalima mahindi na maharage toka ujanani mwangu nikiwa nyumbani kwetu na ninauza. Nimekuwa nahangaika na biashara za kila aina ndugu yangu.Mkuu kabla haujamiliza chuo ulikuwa na gari na kampuni....mtaji wa kuanzisha kampuni na kununua gari ulitoka mfukoni mwako au support ya family??
Mtoa mada kasema vitu vya kwako si support (kupewa mtaji) au vya kurithi...hapa tunazungua wale waliostruggle wenyewe tu hao wengne ni out of this
Karibu mzeeMkuu naomba nije pm tuyajenge
kuna porojo ziko humu, kila mmoja maisha mazuri under 30 ana kila kituMkuu humu kila mtu atakwambia anavyo wakati wengine ni family relay au wa kuishi kwa shemeji. Cha msingi pambana tu utavipata achana na story za watu wa JF wengi ni waongo
kuna watu ni wagonjwa humu, usiwaamini kila wasemalo yaani wote wanaendesha gari kali wana nyumba kali duuu??Hapa watu wengi ni majigambo tu hamna lolote
Mpe mbinu na yeye amilikiNdio ninavyovyote hivyo na ni under 27.
Toa mbinu ulianzaje anzaje nayeye ajue100% truth; I was 25 niliponunua gari yangu ya kwanza, nilianza ujenzi nilipofika 27. So, inawezekana. Ila sio rahisi sana
Mkuu vipii naweza kukUfata PM ukanipa maujanja kidogoo. .Nina 24 nimemaliza mwaka jana ndo nyumba yangu ipo kwenye lenta, mambo yamebana ila mwakan namalizia, ikiisha nanunua mchuma. Nilianza biashara ya mazao nikiwa first year
Inawezekana.
Sent From Ikulu-Magogoni street
Mm nilifukuzwa nyumbani nikiwa 19 yrs nikaowa wen i was 21 nikiwa na escudo bro nikahama bara zima la africa na wife nikiwa 26 yrs nimejenga kigamboni tuna watoto 2 na sijutii uamuzi wakuowa na changamoto zake she is all i needed in life and she has sharpen my mind get a wife utapata vyote .....and more