Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

Hiyo kawaida sana nakumbuka mie nilikua na gari katika age ya 26 nikahamia kwangu at age of 28
 
100% truth; I was 25 niliponunua gari yangu ya kwanza, nilianza ujenzi nilipofika 27. So, inawezekana. Ila sio rahisi sana
Asante mkuu nahitaji kununua gari ndo nijenge

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Mi nina 28 nna nyumba tatu mbili zipo Dar (moja mbezi nyingine chanika), Nna nyumba moja Mwanza, nna gari mbili za kutembelea na tatu za biashara, nina biashara ambayo mtaji wake kwa sasa ni zaidi ya million 80. Na cjawahi kupewa mtaji na mtu wala familia sijawahi kukopa popote, pia sina urithi means familia yangu inanitegemea Mimi. This means kwenye haya maisha kila kitu kinawezekana, the only thing work hard and smart!

Sent from my HTC One A9 using JamiiForums mobile app
I mean nina miaka 28
 
Mimi nina 26 nina gari na nyumba na bajaji 4 sijazi this popote
 
Kwa cc wakulima wa korosho simple sana nyie kaeni mjini msubiri zari la mentali. Mm mna miaka 29 mna nyumba mbili, duka la million 15 hiyo fremu ni yangu na viwanja vitatu sijajenga Wilayani Tandahimba .Hakuna cha kurithi hapo baba na mama bado wanadunda tu.

Sent from my GT-I8190 using JamiiForums mobile app
 
Za urithi zipo kibao

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
Analopanga Mola huwa hakosei na ukipatacho ni bora kumshukuru Mola bila kujali amekupa kwa wakati gani kwa mfano anaweza kukupa mali kwa umri mdogo akakuchukua mapema na mali zako zikatawanyika na ukasahaulika milele au ukachelewa kupata mali ila ukaishi muda mrefu na ukapata wa kukuendelezea mali zako na ukaendelea kukumbukwa vizazi na vizazi. Mmiliki wa Kentuky Fried Chicken (KFC) amepata mali akiwa aged tayari but hadi kesho kizazi chake kitafaidi uwekezaji wako. So time ipo kwa kila mmoja uwe under 25 or above
 
Nimesoma comments za wachangiaji wa huu mjadala, wengi sana ni waongo ama hawakumuelewa mleta hoja.

Jamani, bila back up ya familia ni ngumu sana kumiliki gari na nyumba kwa under 30! Si semi hawapo, ila sio wengi kiivyo kama walivyo jinasibu humu.

Wengi familia zetu ni zile ukipata kazi tu, macho yote kwako kitu kinachokuchelewesha kuwekeza

Fikiria bei za viwanja hapa mjini, tafakari mishahara ambayo wengi wanaanza nayo! Halafu angalia uhalisia wa namna watu wanavyochangia mjadala huu! Labda kama tunaongelea kujenga huko kijijini kwenye viwanja vya wazee!

Kwa wale wakishua, at the age of 22 - 25 wengi hapa bado hawajawaza kujitegemea tuseme ukweli!!!! Wengi hapa wanakuwa wamekazana na dady i want this, mom I want that, oh dad I want to study masters sijui of what and what na wanakuwa bise na magari na nyumba za wazazi wao!

In reality, ni wachache sana at the age of under 30! Namaanisha, under 30! Wanakuwa na vitu vyote hivyo! Ni wachache sana!
 
Niliweka target ya kununua gari katika umri wa miaka 25 na nimefanikiwa sasa nna target ya kujenga nyumba kabla sijafika 30 na nna kiwanja tayari. Usiishi kwa kukariri

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Mi nina 28 nna nyumba tatu mbili zipo Dar (moja mbezi nyingine chanika), Nna nyumba moja Mwanza, nna gari mbili za kutembelea na tatu za biashara, nina biashara ambayo mtaji wake kwa sasa ni zaidi ya million 80. Na cjawahi kupewa mtaji na mtu wala familia sijawahi kukopa popote, pia sina urithi means familia yangu inanitegemea Mimi. This means kwenye haya maisha kila kitu kinawezekana, the only thing work hard and smart!

Sent from my HTC One A9 using JamiiForums mobile app
I mean nina miaka 28
sawa bwashee jiandae uko pm
 
Mi nina 28 nna nyumba tatu mbili zipo Dar (moja mbezi nyingine chanika), Nna nyumba moja Mwanza, nna gari mbili za kutembelea na tatu za biashara, nina biashara ambayo mtaji wake kwa sasa ni zaidi ya million 80. Na cjawahi kupewa mtaji na mtu wala familia sijawahi kukopa popote, pia sina urithi means familia yangu inanitegemea Mimi. This means kwenye haya maisha kila kitu kinawezekana, the only thing work hard and smart!

Sent from my HTC One A9 using JamiiForums mobile app
I mean nina miaka 28
Na shule yako ipoje kama darasa la saba nitaamini
Analopanga Mola huwa hakosei na ukipatacho ni bora kumshukuru Mola bila kujali amekupa kwa wakati gani kwa mfano anaweza kukupa mali kwa umri mdogo akakuchukua mapema na mali zako zikatawanyika na ukasahaulika milele au ukachelewa kupata mali ila ukaishi muda mrefu na ukapata wa kukuendelezea mali zako na ukaendelea kukumbukwa vizazi na vizazi. Mmiliki wa Kentuky Fried Chicken (KFC) amepata mali akiwa aged tayari but hadi kesho kizazi chake kitafaidi uwekezaji wako. So time ipo kwa kila mmoja uwe under 25 or above
 
Kama Upo ndani ya Rat Race hutakuja kumiliki hivyo vitu ndani ya 30. Ila kwa wafanyabiashara ni kwaida. Under. Rat race wengi hujenga wanapofikisha 50s pale wabapopokea za kiinua mgongo.
Mm ntakua in rat race na nitajenga na kuwa na gari under 30... Ntakupa mrejesho ukitaka.. Mwaka 2026

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom